Eliza na Ex-Boyfriend wake

Eliza na Ex-Boyfriend wake

Ex Hellow, mambo..!!?
Girl: poa tu nani..?
Ex: aah!! ulifuta hadi namba yangu au sababu umeolewa...?
Girl: hayo hayakuhusu sema we nani...?

Ex: mi Mcharo
Girl: OMG!! mzima wewe?
za siku?
Ex: nzuri tu nimekumiss..
Girl: we si uliniacha bwana...
Ex: hapana, hujajua tu ninavyoumia hasa nilivyosikia umeolewa.
Girl: ndio hivyo ningefanyaje sasa?

Ex: bado unaishi kwenye moyo wangu.
Girl: mmh!! asante
Ex: Niko mkoani kwenu hapa...
Girl: mmh!! kweli umefikia wapi?
Ex: lodge tu. lodge flan huku chuda. nimekuja kwenye seminar mara moja..
Girl: haya bwana karibu kwetu...

Ex: mmh!! namuogopa mumeo
Girl: hofu yako tu...
Ex: njoo hata unisalimie jamani... nimekumiss sana.
Girl: mmh wa kunimiss ntakuwa mimi.

Ex: Niamini bado nakupenda naomba uje...
Girl: mmh!! kutoka hapa ishu labda kesho mume wangu akienda kazini...
Ex: poa saa ngap...?
Girl: Anaenda kazini asubuhi hivyo mi nitatoka saa nne.
Ex: poa ntakuambia chumba nilichopo.
Girl: wee tafadhali Sana babu siingii lodge mimi.. mimi mke wa mtu usijisahaulishe
Ex: please sitakufanya chochote... siwez kukuforce kitu usichopenda kufanya niamini.
Girl: we... ndio mnasemaga hivyo hivyo
Ex: pleas siwez niamini
Girl: sawa lakini sitakaa sana.... Na Ni story tu sitaki mambo mengine.
Ex: poa usijar mamy
Girl: sawa..

Hivi ndivyo ma ex wanavyoharibu ndoa za watu/mkeo akishaanza kuchat na EX WAKE UMEKWISHA NDUGU YANGU.....ni ngumu kuushinda ushawishi wa EX labda kwa mwanamke matuared!!!...... fuatiliaa hii

BAADA YA KUONANA HIYO KESHO

Girl: ila sijapenda uliniambia hutanifanya kitu afu umenilazimisha mpaka tumesex.. sijapenda kiukweli
Ex: Nisamehe wangu.. nilishindwa si unajua tuliko toka.. lakini asante nimeenjoy sana. Bado uko na utamu wako mamiii

Girl: sijapenda unadhani mume wangu akijua ntafanyaje
Ex: Hawezi kufahamu atajuaje sasa!!
Girl: tambua tu hivyo...
Ghafla usitume text amekuja...
Ex : poa usiku mwema.

BAADAYE BAADA YA MWANAUME KUONDOKA
Girl: nambie
Ex: poa kaondoka
Girl: ndio ila akija ntakuambia.
Ex: poa ila mi naondoka kesho kutwa uje uniage.
Girl: ntaangalia asipokuwepo.
Ex: mmh Jamani sasa akiwepo je!!?
Girl: mmh sijui ntaaga naenda kwa rafiki yangu. ntakuja ila sitakaa
Ex: sawa.. nakupenda sana
Girl: nakupenda pia, ila usirudie kuniumiza.
Ex: sitaweza rudia tena dear!!!

*Hivyo ndivyo mwanamke akiingia kwenye mtego wa ex inavyokuwa ngumu kuutoka!!! kumbukumbu zikirudishwa nyuma ni ngumu kuepuka huu mtego!!! Na haya mahusiano yanaweza kudumu hata miaka sita mwanaume asijue..

Dada heshimu ndoa yako!! huyo ex angekuwa anakupenda sana angekuoa basi, anarudi sababu umeolewa anajua hutamsumbua atakuwa mpigaji tu na hakuna mapenzi hapo...!!!!

na wewe mwanaume anayetembea na mke wa mtu kisa eti ni ex wako... fikiria tu mke wako anakufanyia hivyo!! maumivu utakayoyapata ndio anayopitia mume wa ex wako akijua!! when goes around comes arounds unayomfanyia mke wa mwenzio hata mkeo anafanyiwa hivyo hivyo sema hujui tu!! hakuna ubaya unaoenda bure... Amini kwamba.

Sauti iko sawa!!? Ama nipunguze kidogo
 
INANIUMA SANA AISEE.VIJANA WAMEANDAMANA KUTOA YA MOYONI WAMEISHIA KUFUKUZWA KABISA.NACHOOGOPA WAKIAMUA KUANZA KUKABA RAIA SIJUI ITAKUWAJE
 
Convo umeiandika kitoto toto ila ni mule mule na hawa ndiyo wanakua michepuko sugu.

Hamuwasiliani hata miaka 2 siku mmoja akiwa mkoa wa mwenzake anamshtua tu wanakutana wanamegana na kuapiana kua sijakutana na mtamu kama wewe hapo kila mmoja kaacha mwenza nyumbani.
 
Convo umeiandika kitoto toto ila ni mule mule na hawa ndiyo wanakua michepuko sugu.

Hamuwasiliani hata miaka 2 siku mmoja akiwa mkoa wa mwenzake anamshtua tu wanakutana wanamegana na kuapiana kua sijakutana na mtamu kama wewe hapo kila mmoja kaacha mwenza nyumbani.
Mbona vidole kwa ke tu..je ww unayemconvice aje room?
 
Naona ni mwanamke tu


Vipi wanaume chat zenu na ma Ex huku mnajijua mmeoa.
Mmh!
JamiiForums-473009322.jpg
 
Kwa mimi hata kama sina shaka na mke wangu ila kwa dunia ilipofika ya wanawake,ikitokea jambo baya limepita na nyumba yangu ikavunjika kwa maana ya kuachana na mke nasema SITAOA MKE MWINGINE TENA.

Nasema hivyo kwa sababu mimi ni dereva wa mashirika na ninasafiri kila uchao,ninaona tabia za ajabu za watu ktk maeneo tofauti tofauti

Itoshe kusema tu kwamba heshima ya muafrika imebaki kama 25% tu. TV na SIMU za kupangusa zimechangia pakubwa kuondoka kwa maadili ya muafrika.
 
Kwa mimi hata kama sina shaka na mke wangu ila kwa dunia ilipofika ya wanawake,ikitokea jambo baya limepita na nyumba yangu ikavunjika kwa maana ya kuachana na mke nasema SITAOA MKE MWINGINE TENA.

Nasema hivyo kwa sababu mimi ni dereva wa mashirika na ninasafiri kila uchao,ninaona tabia za ajabu za watu ktk maeneo tofauti tofauti

Itoshe kusema tu kwamba heshima ya muafrika imebaki kama 25% tu. TV na SIMU za kupangusa zimechangia pakubwa kuondoka kwa maadili ya muafrika.
Very true! Ukiachana na mke kuoa tena ni kujitafutia mashaka tu. Sema kuna wapo hawawezi kuishi bila mke ndani.
 
Back
Top Bottom