Eliza na Ex-Boyfriend wake

Eliza na Ex-Boyfriend wake

Njia Nyepesi ya Kugundua Kama unaibiwa ni kumdukua mhusika. Utapata tarifa za kina zenye kuthibitisha Hali halisi ya mkeo.

mfano, kuna mtu nilimdukua aisee tulikuwa Kama watanoo ivii na kila mmoja anapewa mzigo

Mwengine nilikua napata picha zake akipiga dah picha za ovyo Sana.

Kudukua njia nyepesi ya kupata taarifa za mke wako Sema Kama unamoyo Kama wa biskuti usifanye ni hatari Afya yako
 
Njia Nyepesi ya Kugundua Kama unaibiwa ni kumdukua mhusika. Utapata tarifa za kina zenye kuthibitisha Hali halisi ya mkeo.

mfano, kuna mtu nilimdukua aisee tulikuwa Kama watanoo ivii na kila mmoja anapewa mzigo

Mwengine nilikua napata picha zake akipiga dah picha za ovyo Sana.

Kudukua njia nyepesi ya kupata taarifa za mke wako Sema Kama unamoyo Kama wa biskuti usifanye ni hatari Afya yako
Njia gani hiyo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ex Hellow, mambo..!!?
Girl: poa tu nani..?
Ex: aah!! ulifuta hadi namba yangu au sababu umeolewa...?
Girl: hayo hayakuhusu sema we nani...?

Ex: mi Mcharo
Girl: OMG!! mzima wewe?
za siku?
Ex: nzuri tu nimekumiss..
Girl: we si uliniacha bwana...
Ex: hapana, hujajua tu ninavyoumia hasa nilivyosikia umeolewa.
Girl: ndio hivyo ningefanyaje sasa?

Ex: bado unaishi kwenye moyo wangu.
Girl: mmh!! asante
Ex: Niko mkoani kwenu hapa...
Girl: mmh!! kweli umefikia wapi?
Ex: lodge tu. lodge flan huku chuda. nimekuja kwenye seminar mara moja..
Girl: haya bwana karibu kwetu...

Ex: mmh!! namuogopa mumeo
Girl: hofu yako tu...
Ex: njoo hata unisalimie jamani... nimekumiss sana.
Girl: mmh wa kunimiss ntakuwa mimi.

Ex: Niamini bado nakupenda naomba uje...
Girl: mmh!! kutoka hapa ishu labda kesho mume wangu akienda kazini...
Ex: poa saa ngap...?
Girl: Anaenda kazini asubuhi hivyo mi nitatoka saa nne.
Ex: poa ntakuambia chumba nilichopo.
Girl: wee tafadhali Sana babu siingii lodge mimi.. mimi mke wa mtu usijisahaulishe
Ex: please sitakufanya chochote... siwez kukuforce kitu usichopenda kufanya niamini.
Girl: we... ndio mnasemaga hivyo hivyo
Ex: pleas siwez niamini
Girl: sawa lakini sitakaa sana.... Na Ni story tu sitaki mambo mengine.
Ex: poa usijar mamy
Girl: sawa..

Hivi ndivyo ma ex wanavyoharibu ndoa za watu/mkeo akishaanza kuchat na EX WAKE UMEKWISHA NDUGU YANGU.....ni ngumu kuushinda ushawishi wa EX labda kwa mwanamke matuared!!!...... fuatiliaa hii

BAADA YA KUONANA HIYO KESHO

Girl: ila sijapenda uliniambia hutanifanya kitu afu umenilazimisha mpaka tumesex.. sijapenda kiukweli
Ex: Nisamehe wangu.. nilishindwa si unajua tuliko toka.. lakini asante nimeenjoy sana. Bado uko na utamu wako mamiii

Girl: sijapenda unadhani mume wangu akijua ntafanyaje
Ex: Hawezi kufahamu atajuaje sasa!!
Girl: tambua tu hivyo...
Ghafla usitume text amekuja...
Ex : poa usiku mwema.

BAADAYE BAADA YA MWANAUME KUONDOKA
Girl: nambie
Ex: poa kaondoka
Girl: ndio ila akija ntakuambia.
Ex: poa ila mi naondoka kesho kutwa uje uniage.
Girl: ntaangalia asipokuwepo.
Ex: mmh Jamani sasa akiwepo je!!?
Girl: mmh sijui ntaaga naenda kwa rafiki yangu. ntakuja ila sitakaa
Ex: sawa.. nakupenda sana
Girl: nakupenda pia, ila usirudie kuniumiza.
Ex: sitaweza rudia tena dear!!!

*Hivyo ndivyo mwanaamke akiingia kwenye mtego wa ex inavyokuwa ngumu kuutoka!!! kumbukumbu zikirudishwa nyuma ni ngumu kuepuka huu mtego!!! Na haya mahusiano yanaweza kudumu hata miaka sita mwanaume asijue..

Dada heshimu ndoa yako!! huyo ex angekuwa anakupenda sana angekuoa basi, anarudi sababu umeolewa anajua hutamsumbua atakuwa mpigaji tu na hakuna mapenzi hapo...!!!!

Na wewe mwanaume anayetembea na mke wa mtu kisa eti ni ex wako... fikiria tu mke wako anakufanyia hivyo!! maumivu utakayoyapata ndio anayopitia mume wa ex wako akijua!! when goes around comes arounds unayomfanyia mke wa mwenzio hata mkeo anafanyiwa hivyo hivyo sema hujui tu!! hakuna ubaya unaoenda bure... Amini kwamba.

Sauti iko sawa!!? Ama nipunguze kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke hajawahi achwa salama na EX wake. Tatizo linaanza hapa....
Mwanamke ni ngumu kumuacha x wake, tena kama jamaa alikua anamkojoza mwanamke hata aaachwe vipiii, mawazo na akili vipo kwa x wake. Tofauti na sisi wanaume ukimwacha mwanamke hata iwe alikuwa anauzungusha kama feni akiachwa ameachwa mazima....

Though mawazo yangu hayapo practical kwa baadhi ya binadamu
 
Mwanamke hajawahi achwa salama na EX wake. Tatizo linaanza hapa....
Mwanamke ni ngumu kumuacha x wake, tena kama jamaa alikua anamkojoza mwanamke hata aaachwe vipiii, mawazo na akili vipo kwa x wake. Tofauti na sisi wanaume ukimwacha mwanamke hata iwe alikuwa anauzungusha kama feni akiachwa ameachwa mazima....

Though mawazo yangu hayapo practical kwa baadhi ya binadamu
Virse versa is True

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha watu wapashe "viporo" erooo, na wanasemaga kiporo hakihitaji moto mwingi hata kwa mshumaa tu inatosha
 
Ukiwa unaangalia muvi za kizungu au season utaona kuna hawa jamaa wanajiita PRIVATE DETECTIVE hata kwenye novel za JAMES HADLEY CHASE nimewakuta sana. Nauliza hivi bongo napo wapo??????
Maana huko mambele ukimuajiri huyo ukampa kazi unadaka details zoote za mwanandoa mwenzako. Cyber crime act imekaaje kwenye hili la PRIVATE DETECTIVE
 
Ex wangu huwa akiwa na shida na akahisi mimi ni msaada kwake huwa ananitafuta... sijawahi kufikiria kuvunja mwiko wa ndoa yake... Uzuri hatukuachana kwa shari... Tulikubaliana tuachane... Pia huwa sina mazoea ya kuwasiliana naye... Hadi anitafute yeye tena kwa dharura... Namuheshimu sana sana sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
inahitaji kiwango kikubwa kabisa chaakili kufanya haya ukiona unafanya haya kama kweli unafanya ujue ushafikia stage yajuu kabisa yautu uzima nabusara.
 
Mkuu hakuna kitu kama hicho ,mwanamke ni mwanamke tu hata iweje,,mimi niliwahi kutoka na EX wangu mmoja hv ana akili na kasoma balaa na ukimwangalia hv huwez kudhani kuwa atakua anasaliti ndoa yake lakn akija kwangu ni mwendo wa kupiga machine tu,

Kinachotakiwa ni mwanamme uliyeoa kuwa jasiri wa kila kitu kuzuia mwanamke kutoka nje kumbuka kua MA EX WANANGUVU SANAAA KULIKO KITU CHOCHOTE NA SHETANI NDIPO ANAPOINGILIA HAPO KUHARIBU NDOA ZA WATU NA KUMTEKA MWANAMKE.

NIMEONA MENGI SANAA KATIKA NDOA ZA WATU NA NITAENDELEA KUONA MENGI KWENYE NDOA ZA WATU MI SIPO KUOA KWASASA BADO MDOGO SANAAAA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwanza kusoma sana sio kua na akili nakumuona mtu kama ana akili sio kua na akili

Namwisho kabisa mwanamke ama sisi wanaume kutoka nje ya ndoa nikukosa akili kwenye upande huo wandoa lakini

Ukiisaliti ndoa yako hatakama ulisoma vp basi huna akili.
 
Back
Top Bottom