Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,431
Ndoa isiyo na msingi wa Kristo ni chaka la shetani. Kuwa na Kristo ni tofauti na kuwa Mkristo.
SIO KILA MKRISTO ANA KRISTO
SIO KILA MKRISTO ANA KRISTO
Ndoa isiyo na msingi wa Kristo ni chaka la shetani. Kuwa na Kristo ni tofauti na kuwa Mkristo.
SIO KILA MKRISTO ANA KRISTO
Kiongozi.Mi sijui kwanini nikishaachanaga na mwanamke hata nikija kukutana nae nakua sina mzuka tena wa kumtafuna.
Ndoa isiyo na msingi wa Kristo ni chaka la shetani. Kuwa na Kristo ni tofauti na kuwa Mkristo.
SIO KILA MKRISTO ANA KRISTO
Njia gani hiyo mkuuNjia Nyepesi ya Kugundua Kama unaibiwa ni kumdukua mhusika. Utapata tarifa za kina zenye kuthibitisha Hali halisi ya mkeo.
mfano, kuna mtu nilimdukua aisee tulikuwa Kama watanoo ivii na kila mmoja anapewa mzigo
Mwengine nilikua napata picha zake akipiga dah picha za ovyo Sana.
Kudukua njia nyepesi ya kupata taarifa za mke wako Sema Kama unamoyo Kama wa biskuti usifanye ni hatari Afya yako
Hellow, mambo..!!?
: poa tu nani..?
: aah!! ulifuta hadi namba yangu au sababu umeolewa...?
: hayo hayakuhusu sema we nani...?
: mi Mcharo
: OMG!! mzima wewe?
: nzuri tu nimekumiss..
: we si uliniacha bwana...
: hapana, hujajua tu ninavyoumia hasa nilivyosikia umeolewa.
: ndio hivyo ningefanyaje sasa?
: bado unaishi kwenye moyo wangu.
: mmh!! asante
: Niko mkoani kwenu hapa...
: mmh!! kweli umefikia wapi?
: lodge tu. lodge flan huku chuda. nimekuja kwenye seminar mara moja..
: haya bwana karibu kwetu...
: mmh!! namuogopa mumeo
: hofu yako tu...
: njoo hata unisalimie jamani... nimekumiss sana.
: mmh wa kunimiss ntakuwa mimi.
: Niamini bado nakupenda naomba uje...
: mmh!! kutoka hapa ishu labda kesho mume wangu akienda kazini...
: poa saa ngap...?
: Anaenda kazini asubuhi hivyo mi nitatoka saa nne.
: poa ntakuambia chumba nilichopo.
: wee tafadhali Sana babu siingii lodge mimi.. mimi mke wa mtu usijisahaulishe
: please
sitakufanya chochote... siwez kukuforce kitu usichopenda kufanya niamini.
: we... ndio mnasemaga hivyo hivyo
: pleas
siwez niamini
: sawa lakini sitakaa sana.... Na Ni story tu sitaki mambo mengine.
: poa usijar mamy
: sawa..
: ila sijapenda uliniambia hutanifanya kitu afu umenilazimisha mpaka tumesex.. sijapenda kiukweli
: Nisamehe wangu.. nilishindwa si unajua tuliko toka.. lakini asante nimeenjoy sana. Bado uko na utamu wako mamiii
: sijapenda unadhani mume wangu akijua ntafanyaje
: Hawezi kufahamu atajuaje sasa!!
: tambua tu hivyo...
: poa usiku mwema.
: nambie
: poa kaondoka
: ndio ila akija ntakuambia.
: poa ila mi naondoka kesho kutwa uje uniage.
: ntaangalia asipokuwepo.
: mmh Jamani sasa akiwepo je!!?
: mmh sijui ntaaga naenda kwa rafiki yangu. ntakuja ila sitakaa
: sawa.. nakupenda sana
: nakupenda pia, ila usirudie kuniumiza.
: sitaweza rudia tena dear!!!
Ama nipunguze kidogoVirse versa is TrueMwanamke hajawahi achwa salama na EX wake. Tatizo linaanza hapa....
Mwanamke ni ngumu kumuacha x wake, tena kama jamaa alikua anamkojoza mwanamke hata aaachwe vipiii, mawazo na akili vipo kwa x wake. Tofauti na sisi wanaume ukimwacha mwanamke hata iwe alikuwa anauzungusha kama feni akiachwa ameachwa mazima....
Though mawazo yangu hayapo practical kwa baadhi ya binadamu
wee boya sana ujue





inahitaji kiwango kikubwa kabisa chaakili kufanya haya ukiona unafanya haya kama kweli unafanya ujue ushafikia stage yajuu kabisa yautu uzima nabusara.Ex wangu huwa akiwa na shida na akahisi mimi ni msaada kwake huwa ananitafuta... sijawahi kufikiria kuvunja mwiko wa ndoa yake... Uzuri hatukuachana kwa shari... Tulikubaliana tuachane... Pia huwa sina mazoea ya kuwasiliana naye... Hadi anitafute yeye tena kwa dharura... Namuheshimu sana sana sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwanza kusoma sana sio kua na akili nakumuona mtu kama ana akili sio kua na akiliMkuu hakuna kitu kama hicho ,mwanamke ni mwanamke tu hata iweje,,mimi niliwahi kutoka na EX wangu mmoja hv ana akili na kasoma balaa na ukimwangalia hv huwez kudhani kuwa atakua anasaliti ndoa yake lakn akija kwangu ni mwendo wa kupiga machine tu,
Kinachotakiwa ni mwanamme uliyeoa kuwa jasiri wa kila kitu kuzuia mwanamke kutoka nje kumbuka kua MA EX WANANGUVU SANAAA KULIKO KITU CHOCHOTE NA SHETANI NDIPO ANAPOINGILIA HAPO KUHARIBU NDOA ZA WATU NA KUMTEKA MWANAMKE.
NIMEONA MENGI SANAA KATIKA NDOA ZA WATU NA NITAENDELEA KUONA MENGI KWENYE NDOA ZA WATU MI SIPO KUOA KWASASA BADO MDOGO SANAAAA.
Sent using Jamii Forums mobile app
vp bado anakuja tuMimi nina ex.anakuja kwa kasi ya 5G naona siku mbili hizi ntamlima block ya nguvu...
Sirudiagi makombo mm


