SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 8,077
- 13,951
1.Ndilo suluhisho la kwanza. Ukimuanza bikra kwa kiasi kikubwa hatojua mambo mengi na nakuhakikishia atakuwa mwoga wa kusaliti.
2. Uaminifu bado ni tatizo kubwa sana miongoni mwa wanandoa.
Yakishawakuta ndiyo hujutia makosa yao.
3. Upendo wa dhati haupo na hofu ya Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app