Eliza na Ex-Boyfriend wake

Eliza na Ex-Boyfriend wake

Kwahiyo dawa ni kuoa bikra mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
1.Ndilo suluhisho la kwanza. Ukimuanza bikra kwa kiasi kikubwa hatojua mambo mengi na nakuhakikishia atakuwa mwoga wa kusaliti.

2. Uaminifu bado ni tatizo kubwa sana miongoni mwa wanandoa.
Yakishawakuta ndiyo hujutia makosa yao.

3. Upendo wa dhati haupo na hofu ya Mungu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio Maana kila Nilifikiria kuoa Nasikia sauti ya malaika wanasema Acha kuwaza upumbavu Utakufa mapema... Haah
 
Hiyo story ni uhalisia tupu, yaani X awe me au ke ni rahisi sana kuingia kwenye mtego. Hata mimi miaka hiyo X aliniingiza kwenye mtego nikamla, japo nilikuwa singo so sikuwa na guilty yoyote.
 
Kwa hiyo mume akilega unamkaza kwa kuchat na ex?

Hapo ndipo wanawake mnapokosea....kosa likifanyika usilimalize kwa hasira utasababisha madhara ambayo utakuja kushindwa kuyatatua maisha yako yote.
...yani bidada kamaliza akili zake zote afu umemuonesha kwa akili hizo hata yeye anaweza kuliwa kirahisi tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapenzi huwa hawaachani,huwa wanatofautiana tu ndio maana X wangu aliniita majina yote mabaya na kujiapiza kwa kila viapo kuwa haitatokea hata siku moja akanikumbuka kwa lolote,,
Sasa jana nashangaa kaniomba urafiki Fb na kunitumia sms yaani wewe ,basi mpaka muda huu Mimi namchora tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapenzi huwa hawaachani,huwa wanatofautiana tu ndio maana X wangu aliniita majina yote mabaya na kujiapiza kwa kila viapo kuwa haitatokea hata siku moja akanikumbuka kwa lolote,,
Sasa jana nashangaa kaniomba urafiki Fb na kunitumia sms yaani wewe ,basi mpaka muda huu Mimi namchora tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Usipoteze fursa tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naamini ukioa mwanamke mwenye akili na matured hawezi kuyumbishwa na ex Ila ukioa mwanamke ambaye hajui ndoa ni nn lazma akapashe kiporo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema vizuri,swala hapa ni kama ukioa mwanamke ambaye hajui ndoa ni nini wala thamani yake,hapa lazima utachapiwa mpaka ukome.Yaani Ex kila akimkumbuka anapanga tu miadi wanaendelea,na mara nyingi hawa ni wale wanawake vichwa maji....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku zote nasemaga akili kwa mwanamke ni kila kitu, ukioa kichwa panzi utato.mbewa tu.

Kuna ex wangu mmoja alikua ananipenda mbaya nikamzingua tukaachana, Nna uhakika 100% bado yuko single lakini siku nikimtext hajawahi hata siku moja kujibu meseji au kupokea simu.
Namtaka huyo nimfanye mke.
 
UKIONA MKEO /MUMEO ANAMAWASILIANO NA EX WAKE UJUE MTU ATALIWA TU SONGA NA HII STORY HAPA (nimetoa sehemu na kuileta kwenu Kama funzo )

NERRIE :-salama mambo

SALOME:- poa tu nani

NERRIE :- aah ulifuta hadi namba yangu au sababu umeolewa.

SALOME:-hayo hayakuhusu sema we nani.

NERRIE :--mi Nerry

SALOME:--jamn mzima wewe za siku

NERRIE :--nzur tu nimekumiss.

SALOME:--we si uliniacha bwana...

NERRIE :--hapana hujajua tu ninavyoumia hasa nilivyosikia umeolewa.

SALOME:--ndio hivyo ningefanyaje sasa

NERRIE :--bado unaishi kwenye moyo wangu.

SALOME:--mmh asante

NERRIE :--Niko MOROGORO kwenu.

SALOME:--mmh kweli umefikia wapi.

NERRIE :--lodge tu nimekuja kwenye seminar mara moja ..lodge flan huku Misufini

SALOME:--haya bhna karibu kwetu.

NERRIE :--mmh namuogopa mumeo

SALOME:--hofu yako tu

NERRIE :-njoo hata unisalimie jamani.nimekumiss sana.

SALOME:--mmh wa kunimiss ntakuwa mimi.

NERRIE :--Niamini bado nakupenda naomba uje.

SALOME:--mmh kutoka hapa ishu labda kesho mume wangu akienda kazini...

NERRIE :--poa saa ngap...

SALOME:- -Anaenda kazini asubh ko mi ntatoka saa nne.

NERRIE :--poa ntakuambia chumba nilichopo.

SALOME:--wee siingii lodge mimi..mi mke wa mtu usijisahaulishe

NERRIE :--please sitakufanya chochote ..siwez kukuforce kitu usichopenda kufanya niamini.

SALOME:--wee ndio munasemaga hivyo hivyo

NERRIE :--please siwez niamini

SALOME:--sawa lakini sitakaa sana....story tu sitaki mambo mengine.

NERRIE :--poa usijar mamy...

SALOME:--sawa .

Hivi ndivyo ma NERRIE wanavyoharibu ndoa za watu/mkeo akishaanza kuchat na EX WAKE UMEKWISHA NDUGU YANGU.....ni ngumu kuushinda ushawishi wa EX wake labda kwa mwanamke matuared!!!......fuatiliaa hii

BAADA YA KUONANA HIYO KESHO

SALOME:--ila sijapenda uliniambia hutanifanya kitu afu umenilazimisha mpaka tumesex..sijapenda kiukweli

NERRIE:-Nisamehe mpz wangu.. nilishindwa si unajua tuliko toka mbali ..asante nime enjoy sana

SALOME:--sijapenda unadhani mume wangu akijua ntafanyaje

NERRIE-:- awez jua atajuaje sasa!!

SALOME:--jua hivyo tu....usitume text amekuja...

NERRIE😛oa usiku mwema.

BAADAYE BAADA YA MWANAUME KUONDOKA

SALOME:--nambie

NERRIE😛oa kaondoka

SALOME:--ndio ila akija ntakuambia.

NERRIE😛oa ila mi naondoka kesho kutwa uje uniage.

SALOME:--ntaangalia asipokuwepo.

NERRIE:-mmh ko akiwepo

SALOME:--mmh sijui ntaaga naenda kwa rafiki yangu ntakuja ila sitakaa

NERRIE:-sawa..nakupenda sana

SALOME:--nakupenda pia ila usirudie kuniumiza.

NERRIE:-sitaweza dear!!!

Hivyo ndivyo mwnaamke akiingia kwenye mtego wa ex inavyokuwa ngumu kuutoka!!!

kumbukumbu zikirusdishwa nyuma ni ngumu kuepuka huu mtego!!! Na haya mahusiano yanaweza kudumu hata miaka sita mwanaume asijue!!....,

dada heshimu ndoa yako!!huyo ex angekuwa anakupenda sana angekuoa basi, !!

anarudi sababu umeolewa anajua hutamsumbua atakuwa mpigaji tu na hakuna mapenzi hapo...!!!!

na wewe mwanaume anayetembea na mke wa mtu kisa ex wako ..fikiria tu mkeo ww ndio anakufanyia hivyo!!

maumivu utayoyapta ndio atayopitia mume wa ex wako akijua!!when goes around comes arounds unayomfanyia mke wa mwenzio hata mkeo anafanyiwa hivyo hivyo sema hujui tu!!hakuna ubaya unaoenda bure.....

Jr
 
Mwanaume anitwa Nerrie.?
Si ndio maajabu ya Vicent K. Kujiita Ray..!!
 
Ndo nipo namuhoji shetani hapa nimemuuliza ati kupasha kipolo ni dhambi..?? Kanikazia jicho kisha kanijibu "Nani kasema!!"
Almanusura anitie kwenye likikaango la motoni!! Nimeona nile kona nisimtie stress baba wa watu..
 
Back
Top Bottom