Elimu kwa walevi wa pombe kali

Elimu kwa walevi wa pombe kali

Mtu mwenye diabetes anaweza kunywa pombe gani?
 
Daah! Hapo si ni bia moja tu kiongozi? Wale wazee wa kata mti panda mti hawawezi hii.

hahaha. Yah hyo ni chupa moja tu- na hyo ni kiafya.. Sema kinga moja kubwa ni maji, ukishapiga kinywaji hakikisha kabla ya kulala umetumia walau 1 litre ya maji.
 
Wewe unaekunywa Maji na Maziwa Unafikiri Ini na figo zako zita last forever? Waiter lete Dragon na Konyagi kubwa, Mleta mada mletee Fanta aache UKUDA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Asante kwa Somo.Vipi Whisky na Beer kipi kinaumiza ini/figo haraka?Wengine wanasema whisky hazina wanga kwa hiyo si mbaya na hasa kwenye Suala la Blood Sugar.Karibu
Sometimes afadhali bia kwakuwa kuna watu hiyo whisky huipiga dry
 
Inadhohofisha Pancreas (Kongosho) na kuharibu mfumo wa uchujaji sukari mwilini.Siyo suala la kupepesuka tu.Mm mwenyewe naelekea Bar sasa hivi ila nimeambiwa ile bia yenye jina la moja ya.mbuga maarufu TZ eti haina madhara!!!Vituko vya ulevi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Bro Mshana leo hajatinga kwenye mambo yetu. ana kazi kubwa ya kuratibu ishu za kikao kule kilingeni msataaa [emoji12] [emoji12] [emoji12] !!!
Ndio narudi hewani jana nilikula jibapa, Dompo viceroy nikamalizia na mchina.. Hapa nahisi huu mwili si wangu
 
Back
Top Bottom