Elimu kwa walevi wa pombe kali

Elimu kwa walevi wa pombe kali

Inadhohofisha Pancreas (Kongosho) na kuharibu mfumo wa uchuchaji sukari mwilini.Siyo suala la kupepesuka tu.Mm mwenyewe naelekea Bar sasa hivi ila nimeambiwa ile bia yenye jina la moja ya.mbuga maarufu TZ eti haina madhara!!!Vituko vya ulevi.
Serengeti
 
Eeeh mhudumu naomba konyagi ndogo moja na safari tano, bili mpelekee Cc: mshana jr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan hapo ndio umenigusa, ebu agiza na nyama choma kilo hapo
 
Ni wangapi kati yetu wanajua kuwa pombe kali.. Whisky, brandy na spirit hazitaki msosi wa mawazo.? Kwamba ikishuka tumboni ni moja kwa moja kwenye ini na figo?
Ni wangapi kati yetu wanajua kwamba unaweza ukanywa dawa (kuacha fragile) kisha ukaendelea na pombe bila kuhisi madhara lakini kumbe umeumiza ini na figo zako huku dawa ikishindwa kufanya kazi?
Tuachane na hayo... Upo mtindo wa watu kupenda pombe kali kwa kuchanganya na Red bull (kiswazi red blu)... Pombe inageuka kuwa tamu, ukakasi unaisha na inaongezea nguvu ya kuperfom.. Kuna baadhi huitumia kama booster sawa na viagra..
Nisikilize kwa makini... Unaweza kufanya hivyo mara moja moja lakini isiwe ndio mazoea.... Utajikuta pombe ikiisha mwilini na red bull ikiisha nguvu hupata uchovu wa ajabu na kama ulikunywa zaidi ya red bull mbili basi pamoja na uchovu utajihisi viungo kuuma na misuli kukaza... Discomfort fulani hivi mwilini
Ni vema ukajitibia kwa kunywa maji mengi uondoe sumu mwilini kuliko kwenda kuzimua.... Ukizimua utajisikia vizuri uchovu utaisha viungo na misuli vitarudi katika hali yake... Lakini ndio mwanzo wa kuingia kwenye madawa ya kulevya
Ni ushauri kidogo tu.. Kunywa kwa tahadhari kunywa kwa kipimo figo, ini havina spare
Bora bia na mbege havijahusika na huu utafiti!

Ningezimia.
 
Inadhohofisha Pancreas (Kongosho) na kuharibu mfumo wa uchujaji sukari mwilini.Siyo suala la kupepesuka tu.Mm mwenyewe naelekea Bar sasa hivi ila nimeambiwa ile bia yenye jina la moja ya.mbuga maarufu TZ eti haina madhara!!!Vituko vya ulevi.
Nilikua mtumiaji mzuri sana wa Serengeti kabla sijaamua kupata break kwa muda.
 
daah imenigusa hii post.
mimi nimetumia sana pombe. sasa nimeacha nakula sana matunda, maji na maziwa. nataka nikafanye full body check up kwa viungo kama ini, figo, moyo, kibofu nione kama nimeathirika kiasi gani ili hii inipe nguvu zaidi ya kutorudi nyuma.
 
Inadhohofisha Pancreas (Kongosho) na kuharibu mfumo wa uchujaji sukari mwilini.Siyo suala la kupepesuka tu.Mm mwenyewe naelekea Bar sasa hivi ila nimeambiwa ile bia yenye jina la moja ya.mbuga maarufu TZ eti haina madhara!!!Vituko vya ulevi.
...ni pale wanachama wanapotumia nguvu ya ushawishi....
 
Ujumbe mzuri kwa wale walevi, Mkuu hii inawahusu walevi wote though wanakuja kupata same problem

yani mlevi ukimfata kumweleza haya anakwambia unataka pombe [emoji15] [emoji15]
Hahahaaa!
 
Back
Top Bottom