Elimu kwa walevi wa pombe kali

Elimu kwa walevi wa pombe kali

Sasa we jamaa umenichosha, pombe na hayo mazoezi wapi na wapi ?
Link nadhani imeleta shida. Naiweka tena

From Wine to Whiskey: 7 Crazy Health Benefits of Alcohol

Screenshot hii hapa chini.. Pia unasisitizwa unywaji kiasi…

d5bfd3bcd9e27f46634d10b57e5707c4.jpg
 
Mi kwangu madhara ya pombe ni bajeti tu... Hila sijawahi hata kupepesuka au kufanya kitu cha tofauti ktk jamii
Inadhohofisha Pancreas (Kongosho) na kuharibu mfumo wa uchujaji sukari mwilini.Siyo suala la kupepesuka tu.Mm mwenyewe naelekea Bar sasa hivi ila nimeambiwa ile bia yenye jina la moja ya.mbuga maarufu TZ eti haina madhara!!!Vituko vya ulevi.
 
Inadhohofisha Pancreas (Kongosho) na kuharibu mfumo wa uchuchaji sukari mwilini.Siyo suala la kupepesuka tu.Mm mwenyewe naelekea Bar sasa hivi ila nimeambiwa ile bia yenye jina la moja ya.mbuga maarufu TZ eti haina madhara!!!Vituko vya ulevi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hila mi najua always too much is harmful, km tukawa tunakunywa, then tunatumia maji ya kunywa kwa wingi tutapunguza zaid sumu mwilin... Mi nipo tangu saa kumi, now nataka niende om sasa..
 
Uliwezaje? Inanifilisi ujue
Hatua hizi zilinisaidia

1. Kuachana na marafiki
walevi.

2. Kujiunga na kanisa
la kilokole

3. Kuwa mtu wa maombi daily

4. Kupokea maombezi /
ushauri kutoka kwa pastor.

5. Ujazo wa Roho Mtakatifu.

Kwa kifupi niliweka kambi kanisani mpaka alcohol yote ikatoweka mwilini.

Kama upo Dar njoo pm nikuelekeze pahali unapoweza kupewa uponyaji bure kabisa.

Yaani ulevi wa pombe itabaki kuwa historia kwako
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hila mi najua always too much is harmful, km tukawa tunakunywa, then tunatumia maji ya kunywa kwa wingi tutapunguza zaid sumu mwilin... Mi nipo tangu saa kumi, now nataka niende om sasa..
Haaa haaa umenifurahisha nije tuendeleze moto?Yeah maji ya kunywa muhimu sana.
 
Hatua hizi zilinisaidia

1. Kuachana na marafiki
walevi.

2. Kujiunga na kanisa
la kilokole

3. Kuwa mtu wa maombi daily

4. Kupokea maombezi /
ushauri kutoka kwa pastor.

5. Ujazo wa Roho Mtakatifu.

Kwa kifupi niliweka kambi kanisani mpaka alcohol yote ikatoweka mwilini.

Kama upo Dar njoo pm nikuelekeze pahali unapoweza kupewa uponyaji bure kabisa.

Yaani ulevi wa pombe itabaki kuwa historia kwako
Weeh mie nishamwacha Dem wangu kiss kusoma bibilia kila siku kabla ya kulala,
 
Back
Top Bottom