MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,578
aaaaa wewe kunywa mpaka figo zife ndo ushauri. ila mimi msosi lazima na nikijua naenda kunywa makali huwa nagonga msosi wa kutosha maji kisha na pumzika then naenda nafuta ka nyama hata nusu kakuchoka kisha ndo naanza kunywa na nikipiga k vant ndogo inanitosha sana ndo naanza na bia mbili siku imeisha nikienda kula kula nakunywa maj ya moto kama glasi nzima kisha nakula nalala.