Elimu kwa walevi wa pombe kali

Elimu kwa walevi wa pombe kali

Kunywa maji kwa wingi hasa baada ya pombe kali ni mandatory, tena ikibidi pumzika hata siku 5 au 7, mwili ukae vizuri tena, pombe kali ukifufuliza kila siku lazima uvune maradhi tu...
 
Kula chakula kingi na cha aina tofauti tofauti,kufanya mazoezi sahihi na ya kutosha,kunywa maji mengi kadiri ya mwili wako na kwa kulingana na chakula unachokula na mazoezi unayofanya,kulala usingizi wa kutosha kwa muda ule ule kila siku,tumia pombe kwa kiwango kidogo sana .Ndio suluhisho.
 
Badala ya kutumia red bull kuchanganyia pombe nawashauri watumie tonic na pombe ikiisha watumie club soda ili kutoa lock badala ya pombe!
 
Au dem[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kaka mkubwa hilo jina tu asili yake na totoz haviachani. ila duh !! Unanikata stimu, maana hapa nina jibapa nimelilaza si unajua bro weekend tunamaliza hesabu mapema ili kesho alfajiri tuwahi ?
 
Badala ya kutumia red bull kuchanganyia pombe nawashauri watumie tonic na pombe ikiisha watumie club soda ili kutoa lock badala ya pombe!
Mzoefu asante sana kwa elimu
 
Back
Top Bottom