Elimu kwa walevi wa pombe kali

Elimu kwa walevi wa pombe kali

Arafu anasema kama hutaki pombe acha kuleta giza hpa BT ka unataka kunywa sasa muombe hta ela ukanunua unga atakwambia hanaaa hili ndo ttzo lilipoanziaga LA walevi na bila shaka aliewaloga alikufa zaman Sana'a na hta kaburi lake pia halijulikan lilipo hta wakasome jina alikuwa anaitwa nan
mbona tunakunywa na familia zetu hazijawahi kulia shida
 
Yalikuwa ni matatizo yasababishwayo na pombe, nilipoacha kunywa tu hali yangu ya afya ikarudi kawaida, no kitambi uchwara wala bp nipo fit sasa.
uliyapata wewe tu? au wote uliokua unakunywa nao?
 
Swali zuri nadhani kongoshi pia inategemea na chakula.Kama yupo kijijini lazima atakuwa anakula mboga za majani kwa sana na vyakula asili.Kama yuko mjini kwenye kukaangiza tunaweza kuweka mjadala.Mama yangu ana miaka karibu 90 anasoma vizuri mm napata tabu kusoma presha yake 120/80 na anakula gongo hatari.Usipime
@kasongo umenifanya nicheke kwa sauti...
 
Swali zuri nadhani kongoshi pia inategemea na chakula.Kama yupo kijijini lazima atakuwa anakula mboga za majani kwa sana na vyakula asili.Kama yuko mjini kwenye kukaangiza tunaweza kuweka mjadala.Mama yangu ana miaka karibu 90 anasoma vizuri mm napata tabu kusoma presha yake 120/80 na anakula gongo hatari.Usipime
@kasongo umenifanya nicheke kwa sauti...
 
Niliokunywa nao wala sijui walipo maana niliachana na hao wachochezi wa ulevi.

I think they're dead
i think na wao pia wanathink your dead ila kiuhalisia kila mtu anaishi maisha yake ya amani mpaka pale mola atakapoamua kuchua roho yake either uanze wewe au mmoja wao
 
wengine wanaishi siku zipi mkuu kama sio za maisha yao
Hujawahi kukutana na kibabu wa miaka 30 wewe.

Maana pombe inazeesha kabla ya wakati.

Ndivyo vijana wetu wa leo walivyo yaani ni vibabu na vibibi vya kujitakia.
 
i think na wao pia wanathink your dead ila kiuhalisia kila mtu anaishi maisha yake ya amani mpaka pale mola atakapoamua kuchua roho yake either uanze wewe au mmoja wao
Wameondoka mie nipo gado najiachia na juice ya miwa kwa raha zangu.
 
Mwanaume ambaye hanywi pombe ni KENGE

kwenye msafara wa mamba
.
256a3a77b8358f8d820af5d2e8bd9142.jpg
 
Yabanike tu yakiiva minyoo itakula
hahahaaaa.....
kiukweli kuchanganya pombe kali na kinywaji kingine ndo siwezi labda johnwolker ndo naekaga malimao ya kutosha
acha tuu minyoo wafanye yao..... sasa wote amtaki kutangulia.. ngoja mi nianze nkawawekee nafasi!!
sjazoea kuchanganya na siwezi
 
hahahaaaa.....
kiukweli kuchanganya pombe kali na kinywaji kingine ndo siwezi labda johnwolker ndo naekaga malimao ya kutosha
acha tuu minyoo wafanye yao..... sasa wote amtaki kutangulia.. ngoja mi nianze nkawawekee nafasi!!
sjazoea kuchanganya na siwezi
Unaifahamu hii?
s-l300.jpg
 
Back
Top Bottom