Elimu kwa walevi wa pombe kali

Elimu kwa walevi wa pombe kali

Mshana, ulichozungumza, mm ni practical wa pombe kali tangu mwaka 2014. naweza kuzichambua vizuri faida na hasara za whisky, brandy na spirit.

binafsi n mtumiaji mkubwa wa brandy hasa Valuer inayotengenezwa kwa zabibu za dodoma.

spirit springs kama vile Konyagi n mbaya sana kitabibu.. sijui kwann inapigiwa chepuo
Tuambie tunywe nini kizuri sasa
 
Sitakufa bali nitaishi kuyasimulia matendo ya BWANA.

Mungu sio Mungu wa wafu,
Walevi wa pombe wote ni wafu.
Hapana nadhani panahitaji maelezo zaidi mkuu.. Manake vitabu vina sehemu vinaacha maswali (grey areas) .. kwa maelezo yako naamini wewe ni mkristo mzuri. Embu soma hizi aya halafu tujadiliane

Mwanzo 14:18
Nehemia 2:1
Esther 5:6, 7:1-2
Ayubu: 1:13
Daniel 10:3
1 timotheo 5:23
 
Hapana nadhani panahitaji maelezo zaidi mkuu.. Manake vitabu vina sehemu vinaacha maswali (grey areas) .. kwa maelezo yako naamini wewe ni mkristo mzuri. Embu soma hizi aya halafu tujadiliane

Mwanzo 14:18
Nehemia 2:1
Esther 5:6, 7:1-2
Ayubu: 1:13
Daniel 10:3
1 timotheo 5:23
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
.
IMG-20180314-WA0064.jpg
 
Kaka yangu mshana jr unataka kuishi milele ?
Acha tugonge vyombo tupunguze mawazo ya uyu jamaa mwenye frustration aliyesukumiziwa kwenye kiti cha enzi
 
Back
Top Bottom