kiumbe kipya
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 2,831
- 1,304
Kwa hiyo mshana hizi safari zangu mbili nazokunywa kila siku jioni zina madhara?
Ukiwa mtu wa maombi daily, pombe unaiachaHatua hizi zilinisaidia
1. Kuachana na marafiki
walevi.
2. Kujiunga na kanisa
la kilokole
3. Kuwa mtu wa maombi daily
4. Kupokea maombezi /
ushauri kutoka kwa pastor.
5. Ujazo wa Roho Mtakatifu.
Kwa kifupi niliweka kambi kanisani mpaka alcohol yote ikatoweka mwilini.
Kama upo Dar njoo pm nikuelekeze pahali unapoweza kupewa uponyaji bure kabisa.
Yaani ulevi wa pombe itabaki kuwa historia kwako
Uliover drunkren[emoji23] [emoji23]Ni kwel ni kunywa kistaharabu tu, mi nilijitahid kweli kuacha lakin dah ni km nlikua likizo, siku nilipofungulia dah
Mmmh kwanini mkuu?Hiyo ni mbaya kuliko beer
Altar wine ilivyo na sukari bado unamix na misoda?Swali nje ya mada! Altar wine + Pepsi or coke? Is it bad!?
[emoji23][emoji23][emoji23] witness badala ya kufungulia koki, mi nikang'oa kabisa [emoji23][emoji23]Uliover drunkren[emoji23] [emoji23]
Ndo siku zote inakuwa hivyo...usiombe upumzike siku ukifungulia ni balaa[emoji23][emoji23][emoji23] witness badala ya kufungulia koki, mi nikang'oa kabisa [emoji23][emoji23]
Kunywa maji kwa wingi hasa baada ya pombe kali ni mandatory, tena ikibidi pumzika hata siku 5 au 7, mwili ukae vizuri tena, pombe kali ukifufuliza kila siku lazima uvune maradhi tu...
Teh teh teh, kuna watu wanajiunga halichachi, mda wote kalewaNdo siku zote inakuwa hivyo...usiombe upumzike siku ukifungulia ni balaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora ujisemee ukweli tuMkuu upumzike siku tano pombe kali au upumzike pombe kabisa? Duh siku saba (7) hujanywa pombe, unaishije sasa? Ngumu sana kwangu.
Pombe hatari sana boss, hizo siku tano uwe unakula vizuri na kunywa maji mengi sana, bila kusahau usingizi mno mno, baada ya siku tano unaingia mzigoni tena, weekend, hivyo hivyo boss...Maana pombe ni sumu, uzeeni lazima itaonyesha ilivyo kali, usipoangalia ukijaliwa hai mpaka uzeeni itabidi uwategemee watoto, mke na ndugu kujihudumia...Pombe si mchezo boss achana nayo kabisa, iheshimu kama wanyama wakali..Mkuu upumzike siku tano pombe kali au upumzike pombe kabisa? Duh siku saba (7) hujanywa pombe, unaishije sasa? Ngumu sana kwangu.
Hiyo mbaya...jiwekee kabisa usiwe mtumwa wa alcohol mpaka unakuwa intoxicated, tafuta hobby zingine tuuTeh teh teh, kuna watu wanajiunga halichachi, mda wote kalewa
Ni kwel kabisa ni kutumia tu kiasHiyo mbaya...jiwekee kabisa usiwe mtumwa wa alcohol mpaka unakuwa intoxicated, tafuta hobby zingine tuu