jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 11,442
- 11,416
Figo kuacha kufanya kazi, ikitokea hapo kazi unayo, itabidi tumbo lako litobolewe ili uwe unatembea na mfuko wa mikojo yako, Ini, hili likifa Ngosha hesabu siku, mwili kukosa nguvu na kudhoofika, akili kutokuwa timamu kila wakati, yaani wewe uko bwi muda tu muda wote, lazima hata maamuzi yako yatakuwa na mashaka kwa wenzako...Ni maradhi mengi mno mkuu, tahadhari tu...kama maradhi gani