eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Msaada natk kusajil wachezaji na shangaa wananiletea hivi
Kabla ya wachezaji kwanza huyo kocha playstyle yake ni Out Wide na siyo Quick Counter, nenda ubadirishe.

Hizo card zenye alama kama ya saa ni za mkopo, bila shaka hiyo ni event.

Kuhusu kufanya usajili unaweza tumia GP kupata standard players lakini kama unazo coins za kutosha unaweza spin(sikushauri 😂)

Ngoja aje mwalimu wa wanafunzi wengi humu aje kukuelekeza vizuri.
Selikavu
 
Kabla ya wachezaji kwanza huyo kocha playstyle yake ni Out Wide na siyo Quick Counter, nenda ubadirishe.

Hizo card zenye alama kama ya saa ni za mkopo, bila shaka hiyo ni event.

Kuhusu kufanya usajili unaweza tumia GP kupata standard players lakini kama unazo coins za kutosha unaweza spin(sikushauri 😂)

Ngoja aje mwalimu wa wanafunzi wengi humu aje kukuelekeza vizuri.
Selikavu
Aseee😃🙌
 
😹badae badae watu waamke ,unq taka kufanya siri
Wazaramo official mmekutana 😃🙌

Hii sasa ndo Kariakoo Derby mpya hakuna mnyonge kwenye Tambo😃😃😃



Ladies and Gentlemen we have a new Kariakoo Derby😃😃😃
IMG_20250906_104352_875.jpg
 
V Chief jana nimekusikilizia nimekukosa leo tutapanda nikupe chance deals ukatumia kujaribu bahati kupata wachezaji wazuri...

Mean while kuna baadhi ya comment za maelekezo kama utakuwa ujafanya unaweza ukafanya vikusaidie

Tutaendelea kupeeana ujuzi taratibu lengo ni moja tuweze mfunga master humu ndani Kandambili 😃😃😃
kassim kimoby mkuu unaweza pitia pia uone cha kukufaa

Mkuu hili game lina vitu vingi sana ambavyo unatakiwa uvijue viweze kukusaidia


Cha kwanza sijajua settings zako unatumia zipo kama ni Virtual Pad au Touch and flick

Kama unatumia hiyo ya pili badilisha weka ya kwanza


Then kwenye Joystick unaweza kuta ipo off

Weka move


Then ukitoka hapo kwenye ukabaji upo wa aina mbili

Ukabaji wa kutumia Pressure and Dash ukishika hiyo hushiki direction unashika hiyo tuu mchezaji anafata mpira mwenyewe kuapply pressure alafu baada ya hapo kuna ukabaji wa match up huu unahitaji kushika Match up pamoja na Direction stick ya mchezaji aende kukaba na mara nyingi unakaba kwa mbele ya mchezaji ili uziie pasi au shoot akipiga na pia hii ya matchup ni effective system ya kukaba...

Pia chagua formation Moja ambayo ipo balanced ambayo utaizoea kama 4222 au 4312 na pia angalia playstyle za wachezaji kila sehemu

Mfano kiungo wako namba sita ni heri akawa Anchorman ambaye yeye kazi yake ni kuwalinda mabeki au Orcharchestor ambaye anafata mpira chini kabisa golin na kuanzisha mashambulizi ila ukicheza na Box to Box hawa jamaa wapo kila sehemu...

The same goes to CBs na Full backs wako nao wapo na playstyle zao

Kama huzifahamu tutakuelekeza...


For now this is all i can share

Ukitaka ziadi kuna master Kandambili yupo atakupa ujuzi😃😃😃

Tupo pamoja.

Boonyeza palipoandikwa Extras
View attachment 3458711

Halafu utabonyeza Game Settings
View attachment 3458715

Halafu utabonyeza Play Settings
View attachment 3458716

Halafu utaweka hizi settings.
View attachment 3458717

Ukihitaji kuweka settings zaidi utakuwa ukiuliza kulingana na settings zilizopo hapo.

Pia weka kikosi chako hapa ili tukusaidie kupanga kulingana na playstyle unayotaka/unayotumia.
 
Back
Top Bottom