eFootball Special Thread

eFootball Special Thread

Aah kumbe una wiki tu mkuu, endelea ujaze hata miezi miwili tayari utakuwa ushalizoea game kaka..

Pambana na AI kwa wewe usiweke legend mode zitakusumbua mno, anzia professional pale kushuka chini, hiyo professional yenyewe ikikusumbua iache weka ya chini yake..

Na hili game saivi kupata kikosi ni chapu tu, mpaka hiyo miezi miwili ipite nadhani utakuwa tayari kwenye strength nzuri.
Uzuri ushakuwa mcheza magemu ya mpira kabla, ko we uhakika utalimasta tu soon.
Poa mkuu nimekusoma vyema.
 
unafungwa ukiwa unacheza pvp, AI au friend matches tu??

Nilipoona vipigo vinazidi nilitafuta formation moja na aina moja ya mpira...nikaupigia mazoezi mda wote kwenye match najua wapi nitapiga pass ...vingine najifunza taratibu bado mkuu..

Muda mwingine unafungwa sababu ya kuwa na kikosi kidogo chenye strength ndogo...
Al mkuu
 
Nina week nimeanza kulicheza nilizoea dream league aisee napigwa sasa hivi nacheza na professional huyo isack mda wote anaingia kambani, changamoto niliyonayo kuchenga siwezi pia kuwakaba inakua changamoto sana wenyewe wanapiga chenga na kupress ila mimi siwezi nikigusa tuu wameninyanganya. All in all game zuri.
Mkuu hili game lina vitu vingi sana ambavyo unatakiwa uvijue viweze kukusaidia


Cha kwanza sijajua settings zako unatumia zipo kama ni Virtual Pad au Touch and flick

Kama unatumia hiyo ya pili badilisha weka ya kwanza


Then kwenye Joystick unaweza kuta ipo off

Weka move


Then ukitoka hapo kwenye ukabaji upo wa aina mbili

Ukabaji wa kutumia Pressure and Dash ukishika hiyo hushiki direction unashika hiyo tuu mchezaji anafata mpira mwenyewe kuapply pressure alafu baada ya hapo kuna ukabaji wa match up huu unahitaji kushika Match up pamoja na Direction stick ya mchezaji aende kukaba na mara nyingi unakaba kwa mbele ya mchezaji ili uziie pasi au shoot akipiga na pia hii ya matchup ni effective system ya kukaba...

Pia chagua formation Moja ambayo ipo balanced ambayo utaizoea kama 4222 au 4312 na pia angalia playstyle za wachezaji kila sehemu

Mfano kiungo wako namba sita ni heri akawa Anchorman ambaye yeye kazi yake ni kuwalinda mabeki au Orcharchestor ambaye anafata mpira chini kabisa golin na kuanzisha mashambulizi ila ukicheza na Box to Box hawa jamaa wapo kila sehemu...

The same goes to CBs na Full backs wako nao wapo na playstyle zao

Kama huzifahamu tutakuelekeza...


For now this is all i can share

Ukitaka ziadi kuna master Kandambili yupo atakupa ujuzi😃😃😃
 
unafungwa ukiwa unacheza pvp, AI au friend matches tu??

Nilipoona vipigo vinazidi nilitafuta formation moja na aina moja ya mpira...nikaupigia mazoezi mda wote kwenye match najua wapi nitapiga pass ...vingine najifunza taratibu bado mkuu..

Muda mwingine unafungwa sababu ya kuwa na kikosi kidogo chenye strength ndogo...
Sema ulikuja na moto wa Pvp😃😃
 
Mkuu hili game lina vitu vingi sana ambavyo unatakiwa uvijue viweze kukusaidia


Cha kwanza sijajua settings zako unatumia zipo kama ni Virtual Pad au Touch and flick

Kama unatumia hiyo ya pili badilisha weka ya kwanza


Then kwenye Joystick unaweza kuta ipo off

Weka move


Then ukitoka hapo kwenye ukabaji upo wa aina mbili

Ukabaji wa kutumia Pressure and Dash ukishika hiyo hushiki direction unashika hiyo tuu mchezaji anafata mpira mwenyewe kuapply pressure alafu baada ya hapo kuna ukabaji wa match up huu unahitaji kushika Match up pamoja na Direction stick ya mchezaji aende kukaba na mara nyingi unakaba kwa mbele ya mchezaji ili uziie pasi au shoot akipiga na pia hii ya matchup ni effective system ya kukaba...

Pia chagua formation Moja ambayo ipo balanced ambayo utaizoea kama 4222 au 4312 na pia angalia playstyle za wachezaji kila sehemu

Mfano kiungo wako namba sita ni heri akawa Anchorman ambaye yeye kazi yake ni kuwalinda mabeki au Orcharchestor ambaye anafata mpira chini kabisa golin na kuanzisha mashambulizi ila ukicheza na Box to Box hawa jamaa wapo kila sehemu...

The same goes to CBs na Full backs wako nao wapo na playstyle zao

Kama huzifahamu tutakuelekeza...


For now this is all i can share

Ukitaka ziadi kuna master Kandambili yupo atakupa ujuzi😃😃😃
Mkuu hapa sielewi kitu kuna jamaa tuu alinisaidia kuinstall hili game akanielekeza vitu vidogo mengine akaset mwenyewe akasepa, nimejaribu kutafuta setting ilipo ili niangalie hayo mambo ulionielekeza ila sijaona mkuu.
 
Mkuu hili game lina vitu vingi sana ambavyo unatakiwa uvijue viweze kukusaidia


Cha kwanza sijajua settings zako unatumia zipo kama ni Virtual Pad au Touch and flick

Kama unatumia hiyo ya pili badilisha weka ya kwanza


Then kwenye Joystick unaweza kuta ipo off

Weka move


Then ukitoka hapo kwenye ukabaji upo wa aina mbili

Ukabaji wa kutumia Pressure and Dash ukishika hiyo hushiki direction unashika hiyo tuu mchezaji anafata mpira mwenyewe kuapply pressure alafu baada ya hapo kuna ukabaji wa match up huu unahitaji kushika Match up pamoja na Direction stick ya mchezaji aende kukaba na mara nyingi unakaba kwa mbele ya mchezaji ili uziie pasi au shoot akipiga na pia hii ya matchup ni effective system ya kukaba...

Pia chagua formation Moja ambayo ipo balanced ambayo utaizoea kama 4222 au 4312 na pia angalia playstyle za wachezaji kila sehemu

Mfano kiungo wako namba sita ni heri akawa Anchorman ambaye yeye kazi yake ni kuwalinda mabeki au Orcharchestor ambaye anafata mpira chini kabisa golin na kuanzisha mashambulizi ila ukicheza na Box to Box hawa jamaa wapo kila sehemu...

The same goes to CBs na Full backs wako nao wapo na playstyle zao

Kama huzifahamu tutakuelekeza...


For now this is all i can share

Ukitaka ziadi kuna master Kandambili yupo atakupa ujuzi😃😃😃
Screenshot_20250830-152621_eFootball.jpg
Screenshot_20250830-152621_eFootball.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20250830-152621_eFootball.jpg
    Screenshot_20250830-152621_eFootball.jpg
    771.2 KB · Views: 9
Back
Top Bottom