Me kila muda najisahau nafungua jfNasikia ni siku 90, aisee ni nyingi sana watu waje tukubaliane tuhamie telegram tuendelee na ratiba zetu mpaka kutakapokaa sawa.
Hamna mtu ajiunge tu then akahide details zake kabla hajaingia kwenye group.Telegram au mtengeneze email 😃😃za majina yenu ya huku tutafutane huko😂😂😂
Whatsapp wengi mwahofia usalama
Hapana, Telegram situmiiUna telegram chief...
Kama unayo ina option ya kuhide details for privacy purposes twende huko link ya group ipo hapo
Sawa shusha nondoKama hauna twende hapa hapa
Maana network yangu ipo chini plus VPN ndo kabisa yan
Kwa atakaeihitaji ashushe vpn ya 1.1.1.1 kutoka playstore halafu ajiunge telegram baada ya hapo afiche taarifa zake binafsi kabla hajajiunga kwenye group.Link ya Telegram hii hapa...
![]()
JF Champions League
WALL OF CHAMPIONS The Conqueror 🏆🏆🏆 Gilberto 🏆 Selikavu 🏆 Mr Devil 🏆 Negan🏆 Fair play Award Corrie De Killer🏅t.me
Kama huwez kuiaccess utaniambia mimi au Razorblade kuna namna ya kujiunga na telegram kwa sasa
Okay nipe username yakoHapana, Telegram situmii
Username SM969 twenzaoOkay nipe username yako
Kuna kitu kinaitwa treasure link hii ukiichukua unapata zile chance deals za kujaribu bahati ya kupata wachezaji zaid ya 80...
Nipe username yako then ingia online utaona invite pale juu ya friend accept then nitakuinvite room join... Tutaenda kwenye match hatuchezi na usikabe me nitafunga goli moja match itaisha then utaanza kupewa rewards zako kuwa mtulivu kuna moja itakuja ya hiviView attachment 3467102
Ikija usibonyeze next bonyeza kati kati ya hilo box la Gold itafunguka ndani chini kabisa pemben wameandika acquire utabonyeza watakuuliza kama ufanye favorite utakubali au utakataa haina shida....
Tutaenda match tatu zote zikiisha fanya hivi ukizipata zote tatu ludi hapa nikupe maelekezo mengine sasa
NakujaUsername SM969 twenzao
Ukimaliza match immediately lud hapaUsername SM969 twenzao
Tayari huko lete maelekezo mengineUkimaliza match immediately lud hapa
Zote tatu hakikisha umeacquire mara tatu nitakuwa nikimaliza match natoka nakupa tena invite
Umezipata hizo zote tatu sio...Tayari huko lete maelekezo mengine
Ngoja nikuinvite sasaUmezipata hizo zote tatu sio...
Sasa tutalud Room hizi match mbili ushinde me sitokaba we ufunge goli match iishe
Baaada ya match mbili kuisha lud hapa mwanzon...
Bonyeza kwenye match...
Chagua efootball league
Chagua Vs AI cheza mechi tatu alafu ushinde zote za efootball league na hao Ai shida zote
Ukilud hapa mwanzo nenda kwenye contract utakuta zipo kama 80 hivi nenda pale walipo akina torres aza kuspine moja moja mpka zote ziishe ukipata mcheza mzuri kama Torres au yoyote wao wanakuwa na boosters kwenye card zao kialama cha blue chenye nembo ya Efootball kdg hivi utasema
Hapana nakuinvite mimiNgoja nikuinvite sasa
Kingine mchukue Rodri asee😃Ngoja nikuinvite sasa