Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

CCM hawatakiwi hata kufanya kampeni maana mambo mazuri waliyoyafanya ni kampeni tosha
Nashangaa jinsi wanavyohangaika
mkuu Tunahitaji watu wenye busara kama hizi zako watano tu tutasonga mbele.
 
Ulifatilia lkn hukusikia alichokiongea toka mwanzo, alianza kwa kusema Leo sikusudii kutoa hotuba

Angalau wewe umesema la maana kuliko wanaojaribu kutetea tu kisa wao ukawa, ni KWELI alisema hivyo, nilimsikia labda tunamuhukumu vibaya!
Ila Kwa alichoongea pia SIJAONA point nzito za kunifanya nikawashawishi dada, mama na mashangazi zangu wakampe kura kama mkombozi wao!!
Lakini pia Nilimuona akitoa hotuba Sheikh Amri Abeid, sidhani kama ingekuwa hotuba yenye mashiko, nasubiri jangwani tena!
 
cha msingi jumamosi tunataka lowasa apewe saa nzima ya kuhutubia pale jangwani. ili atupe sera na mipango mbalimbali iliyopo katika ilani ya ukawa. kitendo cha yeye kupewa muda mfupi hakifai...

Magufuli mlimpa masaa mangapi?
 
Mnataka hadithi nyingi?
Ndio maana hatuendelei watanzania. Huyu jamaa hajaanza kuongea ila watu wamempenda matendo yake. Story mwachie kikwete. Lowassa hana mipasho
 
Pole sana mwanaccm uliyevamia mkutano!

Sera yoyote kwa sasa haiwezi kuzungumzwa kwakuwa sera ipo kwenye ilani ambayo itazinduliwa jumamosi viwanja vya jangwani.

Ukawa tupo tofauti na ccm huko kwenu mgombea anaropoka ahadi hewa bila kujua awaahidio leo washaahidiwa tangu 1995 mpaka 2010 na sasa wamechoka! Hawataichagua ccm tena bali Ukawa
 
Janet Magufuli ni kati ya wanawake wachache ambao nina hakika akiwa First Lady hatasumbua.

Siku zote nina mfananisha mama Janet Magufuli na Mama Maria Nyerere. Huyo atakuwa mama wa wa TZ wote na Mhe. Magufuli baba wa TZ wote.

Mhe. Magufuli na mkewe Madame Janet Mambo ya kuchanganya kazi na familia hawataki. Kama umeisikiliza speech na mama Akilimali Leo amemuonya Madame Regina aachane na hayo Ma NGO na ajikite kuwasaidia wanawake na watoto.

Fanya analysis basi kabla ya kuponda.

Queen Esther

Yaani wamepigwa surprise wanabaki kutoa povu jinsi mama Regina alivyojenga hoja kumsupport mme wake. Nimempenda sana huyu mama anajua kujieleza na yuko mbele kwenye mapambano sio mama Janet yeye hata ubavuni mwa mme wake haonekani
 
Cjaona cha maana hata kimoja alichowaambia, kaishia kuimba ti nselemaaa na kurudia hoja zaidi ya mara 2, Lowassa pumba kabisa. Eti wakamtafutie yye kura, unashindwa kuzunguka ufanye kampen unawatuma kina mama, pumbavu sana.

upumbavu na ulofa ndio wimbo wa ccm
 
Nimuavyo Lowassa tangu enzi za ujana wake si muongeaji sana ila ni mtu wa vitendo zaidi. Na huwa akipania jambo lake kuwa halishindikani. Tukumbushane alipokuwa Waziri na Waziri Mkuu, huwezi kumkuta akiongea sana. Ni jembe la kazi tu hili.

Hasafishiki huyu
 
Yaani hata mimi ningekuwa Lowassa, saa hizi UKAWA mngekuwa mnaiona white house hii hapa mkononi, ila kwa staili hii naona mmeamua kumsaida Magufuli ushindi wa kishindo!

Sasa ndio nini mnafanya?
Eti 'sitawaangusha' pipoooooz....... pipoooooz! 'mchaka mchaka'

Nasema tena 'too much is harmful'
 
Sera atazitowa wapi ye anachotaka ni urais na kama mjuavyo rais hana kazi akipata Waziri Mkuu mzuri nchi inasonga na ye anataka kusafiri jamani akapumzike si unaona nguvu hamna kabisa kuongea tu shida mpaka kampeni ziiiishe atakuwa hoi kimwili na kiakili
 
Back
Top Bottom