masaule120
Senior Member
- Jul 16, 2015
- 176
- 33
mleta uzi labda tukurekebishe kwamba siyo BAVICHA bali ni BAWACHA hivyo kwa hili unaonekana hata haujui unachokiongea.
Huyu hajielewi
mleta uzi labda tukurekebishe kwamba siyo BAVICHA bali ni BAWACHA hivyo kwa hili unaonekana hata haujui unachokiongea.
Lowassa alikua muuza sura sindio
Jamaa kichekesho sana.nimeacha gazeti langu kusoma kumbe nikapoteza muda.jamaa anawaomba wamtafutie kira alafu wakitane gurudoto wakajadiliane matatizo yao.kwa hiyo sasa hajui matatizo na pia hajitaji kisikia matatizo yao mpaka ashinde.kwa sababu Leo mama na Dada zetu wameingiza chao wakaishia kushangilia bila kujiuliza huyu MTU si mpumbavu na lofa?huyu ndo mwanasiasa duniani mwenye hotuba mbovu haijawahi kutokea.no wonder anatafuta huduma mitaani kwa maigizo.
Labda nikuulize wewe.
Mimi ni Queen Esther. Uwanja wa kina mama ndio haswa unaonihusu. Nitafungua Uzi mwingine wa Madame Samia wakati ukifika. Kwa hapa zingatia kichwa cha habari tafadhali. Usitoke nje ya mada.
Queen Esther
Sio wote wanaokwenda mahali wanasikiaga kila kinachoosemwa,mtu kashasema hakukusudia kutoa hotuba bado watu wanadai kiu yao haijaisha lbd wanakiu nyingine tofauti.
Wewe ni mpumbavu na lofa.hivi umemwelewa nini au mahaba?
Mkutano ulimaanisha kumtambulisha "First Lady" wa mgombea wa CHADEMA. kwa vyovyote vile naye alipaswa kumtambulisha mumewe ambaye ndiye mgombea uraisi. Ndiyo maana Lowassa hakutoa hutoba yoyote ile zaidi ya salamu tu.
Zile dk tano alizoongea alikuwa anasalimia? Pia Angalia mada na matangazo yote ya mkutano wa Leo ilihusu nini. Na nini kimefanyika. Fanya tathmini uniambie.
Unless yote yalikuwa ni MAIGIZO.
Queen Esther
Itifaki ilizingatiwa, kwa sasa Lowasa ana kazi moja tu nayo ni kutafuta kura nasema tena rudia hotuba ya mama Regina
unajua mm sielewi jambo moja unapo zungumzia hakukata kiu yako unaana gan? hv kuna k2 chenye mashiko juu ya wanawake kama kilichopo ndan ya ktba ya warioba hata kama ulitaka aseme vyote vnavyowafuraisha bt kama akipo kwenye katiba is nothing wataweza kufaidika wachache bt kikiwa kwenye katiba mtafaidika wote na ndo falsafa ya ukawa ku bring back ktba ya warioba leo hata akiwa rais mpaka mawaziri wote wanawake c kwamba wanamke wa tanzania atakomboka na kujifungulia chini au jembe la mkono lakini ikiwekwa kwenye katiba zikajulikana haki na wajibu kila mtu atafaidika kuliko kusubl ahadi za uongo za wanasiasa
Huna hoja zaidi ya Viroja ndio maana nimekwambia kamsikikilize samia na fix zake mabomba yatatoa maziwa , wenye maskio wamesikia kasema nn
Nakwambia lowassa analindwa na fuata upepo hana lolote
Kweli anamuigiza Magufuli naona anakumbuka Gurdoto Mwaka 2005 JK alipowapeleka.
Zile dk tano alizoongea alikuwa anasalimia? Pia Angalia mada na matangazo yote ya mkutano wa Leo ilihusu nini. Na nini kimefanyika. Fanya tathmini uniambie.
Unless yote yalikuwa ni MAIGIZO.
Queen Esther
Lowassa kachanganyikiwa anarazimisha afya