Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

KWANZA HUO U Queen Nani Alikupa? Unaonekana Lowasa Wakati Anatoa Mambo Mazito Ulikuwa Umwaza Bwana Wako Nyumbani, Na Ndo Maana Umeshindwa Kuelewa.
 
Acha hiyo 85 Jana, mm 77 national service nimekuta alinselema. Huyu queen zero kaahidiwa ukuu WA wilaya labda.
 
Nahisi lowasa anatumika kuua upinzani.
Mbona mi pale ningeweza kupiga porojo?!
 
Angeanza kusimulia hadithi za kufumaniwa kama za magufuli au za mbayuwayu
kama za Kikwete Urefu wa hotuba ungezidi tu.
 
Kila mtu na maumbile yake.Kuna waongeaji wazuri na kuna wengine si waongeaji.Ni hulka ya.watu kuwa.tofauti.Lowassa aonekanavyo si muongeaji sana.Sijawahi msikia akiongea kama mwanasiasa hata alivhokuwa CCM so siwezi kumuhukumu kwa maumbile yake.

Hajui kuongea yeye anajua kupiga tu
 
lowassa nenda mikoani ccm wametawanyika wanashambulia kutokea kila upande kwa njia ya barabara kijiji kwa kijii wewe uko dar na wa wanawake!

kibajaji na nape wako kanda ya ziwa,mwigulu kigoma,samia kwako kasakazini,magufuli nyanda za juu kusini,makongoro,sitta...

11891172_864257830316591_634273818602380453_n.jpg


11924272_864257900316584_4344071826358873893_n.jpg


11230219_864258263649881_3279538486299486421_n.jpg


11953056_864257833649924_2249136443249631645_n.jpg
 
Heshima kwenu wana JF.

Nimefatilia kwa karibu sana sana hotuba ya Mhe. Mgombea u Rais kupitia UKAWA aliyoitoa hapa LAPF kwenye kongamano la wanawake BAWACHA na kubaini jambo moja kubwa sana.

Kauli mbiu ya kongamano ni "LOWASA NA HATMA ZA CHANGAMOTO ZA WANAWAKE TANZANIA"

Nimesikitika kuwa nilitegemea kwenye hotuba Yake ataweza kuelezea mikakati ya ukombozi huo wa mwanamke. Nasikitika kuwa sikuona mahali popote akiongelea changamoto hizo na jinsi ya kuzitatua.

Ameishia kuimba Wimbo wa Mhe. Magufuli "Alinselema Hadija, mchaka mchaka chinja" na kuzungumza mambo ya MAHABA!!!!!!!!

Nasikitika kusema mimi kama mwanamke nimeondoka na kiu yanguuuu!!!!!!!!!! Ngoja nimsubiri mzee original wa Alinselema. I hope atatuondolea kiu hii!!!!!! Tunataka kuona SERA za ukweli za kumkomboa mwanamke, sio MAIGIZO.

Naomba kuwasilisha.

Queen Esther

Pole dada ila si unajua mgombea wenu hajui kujielezea
 
Nadhani umemsikiliza mama Regina Lowasa alivyotoa hotuba ya changamoto za wanawake, Lowasa kamwachia mkewe ajimwage yeye kawapa kazi moja wanawake ya kumtafutia kura

Hopeless, kwa hiyo ndo atakuwa anawaachia na kina Mbowe waongee. Kwa wenye ufahamu na kujitambua HATUMPI kura ya urais!
 
Wanapoteza muda, Mama Regina anamuembea kura Mumewe angepaswa kuongea Mumewe sio Mama Regina. Ni sawa na Mume wa Mama Samia kumuombea Kura Samia kwa kina Baba inachekesha?

Unakumbuka kazi aliyokuwa anaifanya Salma Kikwete mwaka 2010 au unajitoa ufahamu kwa sababu ya mahaba yako kwa ccm? Hivi unajuwa nguvu ya ushawishi ya firstlady kwa wanawake wenzie? Au kwa sababu umeambiwa Lowasa atawahutubia wanawake basi ukudhani Lowasa ndiye mzungumzaji pekee. Mamvi yuko kimkakati mtapata shida sana
 
Mr.nkongu ndasu Lowasa si mtu wa taarabu taarabu yeye ni kazi ni tofauti saana hata huyo mkwere wao wa Msoga huyo Lowasa ni action man.
 
Wanapoteza muda, Mama Regina anamuembea kura Mumewe angepaswa kuongea Mumewe sio Mama Regina. Ni sawa na Mume wa Mama Samia kumuombea Kura Samia kwa kina Baba inachekesha?

Huo mkutano uliandaliwa na bawacha kwa ajili ya mama Regina
 
Shule ni kitu muhimu sana,lowassa amesema kazi kubwa kwa sasa ni kutafuta kura na hata mimi hilo ni ndo jukumu kubwa. Kwenye kikao cha bawacha unataka aongee nini!!? Amewaambia tukishapiga kura tutakutana arusha ngurudoto. Hujaelewa nini hapo??
 
Tafadhali Tanesco Jumamosi zimeni umeme ili tusidhalilike nchi nzima.
 
Mmmmh jamani pamoja kuwa mi ni ukawa damdam ila leo nimekuwa disappointed. Kwa nini chadema wamefanye mkutano then wasiseme chochote!? Bad bad bad
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom