Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Nacho tambua Mimi baada ya uchaguzi watajua nini kiliwakimbiza slaa na lipumba
Mbona husemi nini kilimfukuzisha zzk?
Nacho tambua Mimi baada ya uchaguzi watajua nini kiliwakimbiza slaa na lipumba
Kwa zuzu wako kuna nini kiongozi mkuu?
Mbona husemi nini kilimfukuzisha zzk?
Yale madai kwamba afya yake ni dhaifu sana hujayasikia ?
Yaani wamepigwa surprise wanabaki kutoa povu jinsi mama Regina alivyojenga hoja kumsupport mme wake. Nimempenda sana huyu mama anajua kujieleza na yuko mbele kwenye mapambano sio mama Janet yeye hata ubavuni mwa mme wake haonekani
Mama samia yupi anayepita kuomba kura au samia mwingine?
Kumbe watu wanapend maneno mengi
Yaani wamepigwa surprise wanabaki kutoa povu jinsi mama Regina alivyojenga hoja kumsupport mme wake. Nimempenda sana huyu mama anajua kujieleza na yuko mbele kwenye mapambano sio mama Janet yeye hata ubavuni mwa mme wake haonekani
We kweli hamnazo
Lowasa hajawaita wakina mama Bali yy ndie aliyealikwa.sasa ulitaka yy aseme nn hapo.
Hi ni analysis Na ule mwingine ni matukio.
Huwezi changanya maji na mafuta.
Quuen Esther
We magamba Lowassa anakuhusu nini?