Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

Mmmmh jamani pamoja kuwa mi ni ukawa damdam ila leo nimekuwa disappointed. Kwa nini chadema wamefanye mkutano then wasiseme chochote!? Bad bad bad

mkuu usiwe na haraka kama mkojo wa asubuhi, subiri jumamosi tar. 29 utazijua mbivu na mbichi. Leo walioalikwa tu na kutambulishwa kwa wanawake. Au ulitaka waige wanachofanya maccm ?
 
Hana Cha Kuongea Yule! Wake Kwa Wambea Walikaa Kwa Umakini Kumsikiliza Alafu Akaishia Kuimbisha Wimbo Utadhani Wako Joging
 
Sasa kijana kilambalambila kwani ule ni uzinduzi wa kampeni? Wadau najua madesa yametuadhiri lakini tutjitahidi kutumia hata zile alizo tujalia Mola wetu jamani hili ndilo linatufanya kupoyeza Imani hata kwa makampuni ya kigeni hawawezi kutuamini kutokana na kiwango kidogo cha kuchambua hoja.
 
Subilini ilani yetu j1 kieleele cha nn???jf kila mtu anajioma kipanga!!!
 
'sitawaangusha' pipoooooz....... pipoooooz! 'mchaka mchaka'

Too much is harmful![/QUO
Malofa huwa kawaida yao kufanya maigizo, daaaah mbona nyie mnapata shida saaana na kutumia nguvu nyingi kuzuia maigizo yaaacheni yaendelee muone cha moto
 
Mbinu za Lowasa zinawanyima usingizi kama hamumjui vizuri Lowasa na mbinu zake kamuulizeni Kikwete jinsi alivyoingia ikulu 2005
 
Cjaona cha maana hata kimoja alichowaambia, kaishia kuimba ti nselemaaa na kurudia hoja zaidi ya mara 2, Lowassa pumb la kabisa. Eti wakamtafutie yye kura, unashindwa kuzunguka ufanye kampen unawatuma kina mama, pumbavu sana.
Tumefanikiwa. Tulitaka mumjadili Lowassa badala ya yule sitawaangusha.
 
Mi Nnachoamini Bado Halima Mdee Anakazi Kubwa Kuwateka Wanawake Watz Kuwapgia Kura Ukawa...Kwa Style Hii Sidhani Ile Mizizi Ya Ccm Kwa Wanawake Kama Imeguswa Hata Kutikiswa Kdgo...This Was The Only Chance To Prove Kwamba Ukawa They Got Smthng For Women,unfortunately Imekatisha Tamaa Sana Na Shauku Kubwa Ya Wanawake Waliokua Atlst Na Iman Ndgo Na Ukawa...Ukicompare Jins Magufuli Alivowaongelea Wanawake Na Lowassa Unaweza Pata Picha,ukawa Inakazi Kubwa Sana Kuteka Kura Nying Za Wanawake Wanaoiamini Ccm Ambao Ni Weng Zaid Na Nahsi Hata Imepoteza Baadhi Ya Kura Walizokua Na Uhakika Nazo....All In All Still I Belive Wanaweza Kuwa Na Chance Nyingne Jmos 29
 
Heshima kwenu wana JF.

Nimefatilia kwa karibu sana sana hotuba ya Mhe. Mgombea u Rais kupitia UKAWA aliyoitoa hapa LAPF kwenye kongamano la wanawake BAWACHA na kubaini jambo moja kubwa sana.

Kauli mbiu ya kongamano ni "LOWASA NA HATMA ZA CHANGAMOTO ZA WANAWAKE TANZANIA"

Nimesikitika kuwa nilitegemea kwenye hotuba Yake ataweza kuelezea mikakati ya ukombozi huo wa mwanamke. Nasikitika kuwa sikuona mahali popote akiongelea changamoto hizo na jinsi ya kuzitatua.

Ameishia kuimba Wimbo wa Mhe. Magufuli "Alinselema Hadija, mchaka mchaka chinja" na kuzungumza mambo ya MAHABA!!!!!!!!

Nasikitika kusema mimi kama mwanamke nimeondoka na kiu yanguuuu!!!!!!!!!! Ngoja nimsubiri mzee original wa Alinselema. I hope atatuondolea kiu hii!!!!!! Tunataka kuona SERA za ukweli za kumkomboa mwanamke, sio MAIGIZO.

Naomba kuwasilisha.

Queen Esther
Jibu lako hili hapo
Wale mapopoma mnaohoji kwanini Lowassa hajaongea chochote ni kwamba ule ni mkutano wa akina mama.
Na pale amealikwa kama mgeni rasmi na kusikiliza matatizo na changamoto zinazowapata akina mama katika suala zima na afya, maendeleo na elimu pia.
Ndio maana kasema kwamba matatizo yetu ameyasikia, na yatakuwepo katika ilani.
Pia alisema pale hajaenda kutoa hotuba bali kusikiliza vilio vya akina mama.
Mnataka nini? Halafu wengi mnaohoji hilo ni wanaume!
Mimi kama mwanamke nasema ASANTE SANA LOWASA.
NINA MATUMAINI NA WEWE...
KURA YANGU NA FAMILIA YANGU NI YAKO NA NAKUAHIDI KUKUTAFUTIA KURA KAMA ULIVYOTUOMBA.
 
Mnapenda sana kuambiwa maneno matamu yasiyo na matendo. Mnapenda sana kudanganywa. Mpeni nafasi huyu jamaa muone kazi yake. Hatutaki maneno tunataka maendeleo tu. Maneno tuliyapata kwa mkwere yanatosha.
 
mkuu usiwe na haraka kama mkojo wa asubuhi, subiri jumamosi tar. 29 utazijua mbivu na mbichi. Leo walioalikwa tu na kutambulishwa kwa wanawake. Au ulitaka waige wanachofanya maccm ?

Tulishazoe, mbivu mbichi kila siku blabla hakuna cha maana. Natarajia Lawama ndo zitakua nyingi
 
Hii slogan ya "sauti ya wengi ni sauti ya Mungu" inaweza kumtia hasira Mungu. Hebu tuachane nayo wapenda mabadiliko. Mungu hategemei wingi wa watu kufanya maamuzi yake.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Queen Esther kwa nini kwanza unadhani yaliyokuwa matamanio yako ndiyo ilikuwa ni kiu ya wanawake wa Tanzania na waliokwenda Pale? Mbowe alisema Bungeni kuwa serikali imetumiaa zaidi ya milioni 106 kumtibu Rose Kamili kwa sababu alishambuliwa na wahuni wa CCM kwenye uchaguzi mdogo wa Kalenga, tena mbele ya mwanamke mwenzie Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa. Unadhani wanawake kama Rose kamili na wengine wa aina yake walionyanyaswa na mfumo ulipo kiu yao ni nini kama si kuondolewa kwa CCM inayolea mfumo dhalimu unaodhalilisha utu wa watanzania?
 
Last edited by a moderator:
Ww ulitaka aseme nn kama hautaki.mabadiliko ww ndo unatakiwa ukapimwe akili.Miaka 50 bado unapenda kisicho pendeka. badika achana na ahadi hewa.
 
Nimuavyo Lowassa tangu enzi za ujana wake si muongeaji sana ila ni mtu wa vitendo zaidi. Na huwa akipania jambo lake kuwa halishindikani. Tukumbushane alipokuwa Waziri na Waziri Mkuu, huwezi kumkuta akiongea sana. Ni jembe la kazi tu hili.
 
Back
Top Bottom