Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

Hii slogan ya "sauti ya wengi ni sauti ya Mungu" inaweza kumtia hasira Mungu. Hebu tuachane nayo wapenda mabadiliko. Mungu hategemei wingi wa watu kuufanya maamuzi yake.

Kweli. Mungu hayuko Ukawa na wala hayuko CCM. Wanasiasa jiuzeni majukwaani na midahalo mufanye muwasaidie ma-undecided kufanya maamuzi. Hawa ndio wanaamua chaguzi duniani kote.
Again, Mwacheni mola pembeni....
 
Yaani leo nimeamini kwamba Lowasa hana uwezo wa kujena hoja. Leo kaishia kusema kuwa anadeka kwa akina mama waliohudhuria mkutano wa BAWACHA
 
Maigizo yapi,au ulitaka aseme atakuoa!

Hakuna maigizo makubwa kama yale ya CCM ya ile siku yao ya FIESTA yao,yaani wasanii kama Shilole walikata viuno na kuwaonesha watazamaji maeneo yao ya nyuma....hahaha sijui CCM walitaka tujifunze nini aisee.
 
nimekua nikimfuatilia sana lowassa lkn sijapata kuona hii style ya kuongea dk10,9,7 hv kama atakuwa anaongea hv hv kwa dk hizo si atatukosesha kura huyu. wana ukawa wenzangu mulio karibu nae mwambieni basi

Inapendeza mwana ukawa kuwa mkweli, hongera!
 
cha msingi jumamosi tunataka lowasa apewe saa nzima ya kuhutubia pale jangwani. ili atupe sera na mipango mbalimbali iliyopo katika ilani ya ukawa. kitendo cha yeye kupewa muda mfupi hakifai...
Sasa nimeamini kweli lengo lenu ni kumuua huyu mzee unasema apewe saa mzima kuhutubia?
 
Unaalikwa kama mgeni rasmi utaongea dakika 4 tu yaani dakika nne alafu unachoka Unataka kupumzika... Pole....
Yaani nimecheka sana. Sijui siku ya kampeni atapngea nini? Ila naamini kwa vile ameandikiwa hotuba ndo kidogo atatumia dakika si zaidi ya nusu saa
 
KUMBE NDIO MAANA KINA CHENGE,TIBAIJUKA,MUHONGO NA NGELEJA HATUWASIKII KABISA WAKIONGEA? Ahsante sana kwa kutujuza hilo mkuu.
Na huo ndo ukweli Mkuu. Siku zote mafisadi kokote waliko wanatembelea na nyota ya fedha zao
 
Kwenye utafiti wako weka exception ya dada Tibaijuka, Riziwani na Mkapa.
Upo hapo....
 
Ameingea point nzuri sana amewaagiza wanawake wadiscuss changamoto znazowakabili then wawasilishe....
 
Mbona yule muuza madawa ya kulevya najieleza vizuri hivyo.Mbona yule muuza pembe za ndovu anajieleza vema kabisa na kukuza chama.Mbona yule wa vijisenti hata ndo mwandishi wa katiba.Acha kujitoa ufahamu.
 
Hatutaki muongeajii sie tunamtaka mtendaji ,Jk kaongea mno lakin manyanya mabheseeeeee doh😆😆😆😁😁😁 torokauje✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌
 
Last edited by a moderator:
Msanii mkubwa Tanzania ni yule anayesema atawapa waalimu wote Laptop wakati waalimu wana madai ya muhimu kuliko hayo.

-Haitoshi wameahidi kutoa milioni 50 kwa kila kijiji,na ukijumlisha hizo hela kwa vijiji vyote Tanzania hii utapata bilioni 900. UKIWAULIZA HIZO HELA ZITATOKA WAPI? NA HUKU TUNA DENI KUBWA KAMA TAIFA? ......HAWAJUI. hahaha ccm bana.
 
cha msingi jumamosi tunataka lowasa apewe saa nzima ya kuhutubia pale jangwani. ili atupe sera na mipango mbalimbali iliyopo katika ilani ya ukawa. kitendo cha yeye kupewa muda mfupi hakifai...

Watamsimamisha saa 12 kasoro dakika 5 ili ahutubie kwa dakika 4 wasingizie muda haukuruhusu na wala hawakutaka kuvunja sheria za uchaguzi...
 
Back
Top Bottom