Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,464
- Thread starter
- #221
Kaka Yericko kati ya watu nimekuwa nikiwafatilia na kuwapa like kwenye article zao nyingi ni wewe.
Chonde Chonde, weka mahaba pembeni Fanya upembuzi yakinifu uje tena kuchangia Uzi huu. Naamini utafanya hivyo kwani wewe ni kati ya watu makini.
Queen Esther
Chonde Chonde, weka mahaba pembeni Fanya upembuzi yakinifu uje tena kuchangia Uzi huu. Naamini utafanya hivyo kwani wewe ni kati ya watu makini.
Queen Esther
Pole sana mwanaccm uliyevamia mkutano!
Sera yoyote kwa sasa haiwezi kuzungumzwa kwakuwa sera ipo kwenye ilani ambayo itazinduliwa jumamosi viwanja vya jangwani.
Ukawa tupo tofauti na ccm huko kwenu mgombea anaropoka ahadi hewa bila kujua awaahidio leo washaahidiwa tangu 1995 mpaka 2010 na sasa wamechoka! Hawataichagua ccm tena bali Ukawa