Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,580
Hapo kwenye RED ndipo watu wengi humu huwa wanakutilia mashaka, kama swala ni mtu wa kaskazini kuwa Rais, hakuna hata mmoja mwenye sifa zaidi ya Dr Wilbroad Slaa, kwahiyo basi kama shida yako ni mtu wa kaskazini kuwa Rais nakuomba rasmi kuanzia sasa uanze kumfanyia kampeni shujaa wetu Dr Slaa. CCM ni chama ambacho kimeshakufa hakina tena uhalali wa kuendelea kuitawala Tanzania, miaka 50 waliyopewa sasa imetosha.Wajameni tuwe wakweli toka ndani ya nafsi zetu, kama issue ni rushwa, kwa CCM, its order of the day!. CCM kwa upande wa rushwa imeoza juu mpaka chini na ndani mpaka kwenye kiini, hivyo hayo yanayoendelea ni harufu tuu ya uvundo wa rushwa, rushwa yenyewe halisi, CCM ndio nyumbani kwake!.
Naendelea kusimama na EL ateuliwe kuwa mgombea wa CCM, rais atoke Kaskazini tupate ukombozi wa kweli wa Mtanzania!.
Reply