KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Badiliko hili wala halina TIJA kwa CCM. Ni mjinga tu atakayeacha UBUNGE akagombee U-NEC wa CCM. Ni moja ya mabadiliko ambayo yanahanikizwa na nguvu nyingi walizonazo baadhi ya watu kuliko CCM na vikao vyake. Subiri tu kuonyeshana nguvu kutakakojitokeza ya MNEC wa CCM na Mbunge wa CCM.
Hakuna mbunge mkubwa kuliko chama,ili uwe mbunge ni lazima upate baraka za chama,ukivuliwa uanchama hakuna ubunge mzee..mnec ataendelea kuamua hatma ya mbunge daima ndani ya chama chetu sijui huko kwenye chama vinega mnautaratibu gani wa kuwapata wabunge wenu..