Edward Lowassa aumbuka Arumeru Mashariki

Edward Lowassa aumbuka Arumeru Mashariki

jana nimeona thread kuwa EL anaumwa, leo meseji ya EL imekutwa kwenye cm ya mollel tuamini lipi sasa au kapona. ngoja tusubiri tutaona mwisho wake
 
Rafiki zangu wa karibu sana Mheshimiwa Pasco & Matola,

Niliwaambia Lowassa alishapotezwa siku nyingi wakanibishia sijui mpaka leo na baada ya kusoma kisa hiki bado wana amini Lowassa is next President ?.

Kitendo cha Lowassa kumuumbua Mwenyekiti wake ndani ya kikao cha Halmashauri kuu ya taifa kwamba alijua kila kitu katika ule mradi tata wa RICHMOND & DOWANS na kwamba alipelekewa jina la Rostam Aziz na kulikubali wakati mwenyekiti alishajitetea hamjui mmliki wa RICHMOND & DOWANS alikuwa akitengeneza jeneza lake kwa mikono yake mwenyewe.Lowassa alikwenda mbali sana alipohakikisha mazungumzo yake yanawafikia wahariri wa magazeti kupitia simu za kiganjani ndani ya kikao cha Halmashauri kuu !.


 
usijitoe akili kiasi hicho, bakisha angalau za kuchambia.
mathias manga ni diwani wa mlangarini .el.ni mbunge monduli takukuru fuatilieni kwa karibu mtagundua mengi ndani ya wahusika
 
Iwapo yaliyosemwa ni kweli basi hali ya nchi ni tete. Askofu gani huyu anayetajwa? Kwa nini wasiwakamate watoa fedha sawa na wasambaza fedha? Hawa takukuru ni genge jingine la uhalifu nchini. Sina imani nao hata kidogo kwani baada ya mida mtasikia waliokamatwa wameachiliwa kwa uchunguzi au ushahidi wa takukuru haujitoshelezi. Wizi mtupi!

Mkuu kwanza maaskofu na viongozi wote wa madhehebu ya kiroho waliokubali kuchambiwa na lowasa wanapaswa kuwajibishwa na waumini wao. Ni ujinga kuendelea kulamba wachafu miguu ili kupata pesa zao hata kama ni kwa njia zosozohalali. Hivi kwa nini hawa viongozi wa kiroho hawakatai pesa zinazonuka? Mbona Roma Catholic wanamuendekeza huyu bwana wao? KKKT na makanisa-uchwara yamekubali kuzini na wafalme wa dunia hii, ole wao nasema. hawa ndio wanaotupoteza sisi waumini, na tusipoangalia mambo haya kwa jicho makini, ya Rwanda yatajirudia hapa.
 
Rafiki zangu wa karibu sana Mheshimiwa Pasco & Matola,

Niliwaambia Lowassa alishapotezwa siku nyingi wakanibishia sijui mpaka leo na baada ya kusoma kisa hiki bado wana amini Lowassa is next President ?.

Kitendo cha Lowassa kumuumbua Mwenyekiti wake ndani ya kikao cha Halmashauri kuu ya taifa kwamba alijua kila kitu katika ule mradi tata wa RICHMOND & DOWANS na kwamba alipelekewa jina la Rostam Aziz na kulikubali wakati mwenyekiti alishajitetea hamjui mmliki wa RICHMOND & DOWANS alikuwa akitengeneza jeneza lake kwa mikono yake mwenyewe.Lowassa alikwenda mbali sana alipohakikisha mazungumzo yake yanawafikia wahariri wa magazeti kupitia simu za kiganjani ndani ya kikao cha Halmashauri kuu !.



Sasa Mkuu wangu Ngongo naomba unisome vizuri na kwa umakini, Personal mimi kama Matola siwezi kuipigia kura CCM over my dead body, na hata nikipewa sharti kati ya kifo na kuipigia kura CCM mimi nitachaguwa kifo.

Back to Lowasa, mimi nimejiondowa kwenye ushabiki wa kulishwa sumu za chuki dhidi ya Lowasa baada ya kubaini kumbe ni ugomvi wa watu binafsi ambao Taifa limeaminishwa kwamba Lowasa ni adui wa Taifa hili, napinga si kweli. Hakika huyu angekuwa anaitwa Alhaji Abdalah Lowasa wote wanaomsumbuwa wangeshanyamazishwa siku nyingi na matamko makali ya Bakwata na shura ya Maimamu, au hamkuwahi kusikia kwamba Kikwete anasakamwa kawa sababu ya uislamu wake?
Rudia kuisoma post yako mwenyewe vizuri ndio utagunduwa ni kwa nini mimi nimejitoa katika upuuzi wa kumshambulia Lowasa halafu tunamchekea Kikwete.

Kifuta jasho:
Yaliojiri jana Mahakama ya kisutu katika kesi ya Costa Mahalu.

Mahalu alidai kuwa katika mazungumzo hayo, Kikwete alimuuliza mama huyo, "Hivi ni kwanini kunakuwa na mikataba miwili? na mama huyo alimjibu kuwa hiyo ni kawaida kwa Italia ukitaka kununua jengo kwa bei nafuu.

Profesa Mahalu aliendelea kudai kuwa baada ya kupewa jibu hilo, Kikwete hakuzungumza tena zaidi ya kucheka na kwamba mwenye jengo alimkumbusha kuhusu malipo ya awali ya Dola za Marekani milioni moja ambapo aliafiki na kuahidi kuwa zingelipwa kabla ya mwisho wa mwaka.
 
Huu ndo mwisho wa Lowasa. Ama kweli mbio za sakafuni huishia ukingoni
 
Mimi naona hii ni thread ya promo tu kwa maggamba... ili badae ionekani aliyebaki ni msafi!!!

ukiona wezi wanaliana timing, funga milango, weka makufuli kaa macho na panga, wakipatana utakoma!!!

Mkuu umenifungua macho kuhusu hii thread..... lol
 
Mkuu kwanza maaskofu na viongozi wote wa madhehebu ya kiroho waliokubali kuchambiwa na lowasa wanapaswa kuwajibishwa na waumini wao. Ni ujinga kuendelea kulamba wachafu miguu ili kupata pesa zao hata kama ni kwa njia zosozohalali. Hivi kwa nini hawa viongozi wa kiroho hawakatai pesa zinazonuka? Mbona Roma Catholic wanamuendekeza huyu bwana wao? KKKT na makanisa-uchwara yamekubali kuzini na wafalme wa dunia hii, ole wao nasema. hawa ndio wanaotupoteza sisi waumini, na tusipoangalia mambo haya kwa jicho makini, ya Rwanda yatajirudia hapa.
Hakuna dini inayohubiri Umaskini!!
1.JPG
 
Naam sasa kweli serikali ya jk imeamua kama noma na iwe noma,huyu alitaka kujifanya yeye ni mkubwa kuliko chama na serikali yake..kitu kingine inaonekana lowassa mambo mengi ya kimkakati alikua akimtegemea sana rostam aziz maana tokea rostam aziz ajiweke kando na siasa lowassa strategy zake mwenyewe karibu zote zimekuwa zikisambaratishwa mapema kabla hazijaanza..

Hongera takukuru arusha kwa utumishi uliotukuka na utii kwa amiri jeshi mkuu,mmeyashinda majaribu mkaitanguliza nchi,mzee manumba si mbaya ukichota busara hizi za takukuru arusha.
Usiwe kama huwajui takukuru na usanii wa serikali ya Tanzania.

Mwakalebela ashinda kesi ya rushwa, aula Shirika la Makumbusho
Fredrick Mwakalebela aliyewahi kuwa katibumkuu wa TFF na Mgombea ubunge wa Iringa mjini (CCM) kabla hajawekewa mizengweya rushwa, amepata kazi shirika la makumbusho ya Taifa (National museum ofTanzania) kuwa AFISA UTUMISHI NA UTAWALA MKUU, ama kweli kama wasemavyowaungwana Mungu akifunga mlango moja hufungua mlango mwingine cha muhimu nikutokukata tamaa. kila la kheri Mwakalebela katika majukumu yako mapya.

Source: Mwananchi
 
Rafiki zangu wa karibu sana Mheshimiwa Pasco & Matola,

Niliwaambia Lowassa alishapotezwa siku nyingi wakanibishia sijui mpaka leo na baada ya kusoma kisa hiki bado wana amini Lowassa is next President ?.

Kitendo cha Lowassa kumuumbua Mwenyekiti wake ndani ya kikao cha Halmashauri kuu ya taifa kwamba alijua kila kitu katika ule mradi tata wa RICHMOND & DOWANS na kwamba alipelekewa jina la Rostam Aziz na kulikubali wakati mwenyekiti alishajitetea hamjui mmliki wa RICHMOND & DOWANS alikuwa akitengeneza jeneza lake kwa mikono yake mwenyewe.Lowassa alikwenda mbali sana alipohakikisha mazungumzo yake yanawafikia wahariri wa magazeti kupitia simu za kiganjani ndani ya kikao cha Halmashauri kuu !.


Ngongo,
Nimeshindwa kuelewa kwa nini kura za maoni zinarudiwa kule AruMeru Mashariki. Sababu alooitoa Nape ni ya uongo kwa kuwa wapo wagombea kama akina Dr Kigwangala walikuwa na kura chache mno lakini wakateuliwa kugombea.
 
hahahaha.. kwa kweli nimeamini na sasa namkubali lowassa fuluu. yaani akiwekwa tu, lazima ukute page 5-10. kweli jamaa ni tishio kubwa sana, sio bure huyo rais/mwenyekiti wa chama anakosa usingizi akimfikiria lowassa. humu ndani nimeshaona watu wengi sana wanamkubali, nilitegemea leo mngechambua hotuba ya jana ya rais. lakini naona mmeanza unafiki wa msg zimekutwa. izo message ziko wapi. kama kweli wangeanika, ni fikra za mtu tu.hamna jipya

mi nilitegemea nitakuta labda hoja ya mgombea wa chadema arumeru, au jinsi mbowe alivyokusanya hela kumfanikisha ashinde.

ivi kweli kwa mtu kama lowassa ataweza kukaa na kuchat aagize watu wakachukue hela. lazima anawatendaji wengi tu wa kufanya ivyo. acheni zengwe
 
Hii inaweza kuwa kamba ya mtu mzima edo na wanae anatuma sms hawana mkwanja wa kutwanga ?
 
KIM K, hoja zako huwa hazina mashiko kutokana na CHUKI na UDINI
 
Mkuu kwanza maaskofu na viongozi wote wa madhehebu ya kiroho waliokubali kuchambiwa na lowasa wanapaswa kuwajibishwa na waumini wao. Ni ujinga kuendelea kulamba wachafu miguu ili kupata pesa zao hata kama ni kwa njia zosozohalali. Hivi kwa nini hawa viongozi wa kiroho hawakatai pesa zinazonuka? Mbona Roma Catholic wanamuendekeza huyu bwana wao? KKKT na makanisa-uchwara yamekubali kuzini na wafalme wa dunia hii, ole wao nasema. hawa ndio wanaotupoteza sisi waumini, na tusipoangalia mambo haya kwa jicho makini, ya Rwanda yatajirudia hapa.
Usianze kuhukumu sio kila aitwaye doctor ni doctor kweli. Hali kadhalika professor wote sio ma professor kweli. Huyu ni kijana mchimba madini aliyejipatia fedha zake pale mererani ndo vijana wa hawa wakubwa anaitwa Askofu. Alinunua jengo pale Arusha linaitwa Pallsons Hotel. Sumaye naye anaye wake anaitwa Sunda anamiliki Mount Meru! Akina Kinana na BWM
wanaye wao anaitwa Mrema anamiliki Impala, Naura na ile Ngurdoto. Mkuu kila suruali ina kiraka chake!
 
sasa maneno ya baba wa Taifa aliyoyaongea pale Diamond Jubilee mwaka 1992 yanatimia...
 
Kweli Jakaya kaamua kula hiki kichwa jumla.
Lowassa anatakiwa kutafutwa popote alipo na yeye awekwe ndani
OTIS
 
Back
Top Bottom