Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
Safari hii hakuna pa kupumulia!!!
Waulize wanaomjua JK, akikubadilikia kakubadilikia,
kama (JK) angekuwa bado upande wa EL hayo hote yasingetokea lakini sasa wapo tofauti kabisa
na hii vita inapoelekea EL atachemsha kabisa na hata huo uraisi hataweza kuusimamia akiwa ndani ya CCM hii ya JK-Mukama