Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,577
Pumba Express!!Majungu na Ukuda Jazz Band.
Pumba Express!!Majungu na Ukuda Jazz Band.
Hizi ID mpya ambazo zinaonesha pasi na shaka yeyote kwamba mwenye ID hii tunaye hapa muda mrefu kwa ID nyingine huwa nakosa majibu ya malengo ya watu, na nyingi ya ID hizi zimefunguliwa mwezi Februaly, na jinsi ya kugunduwa malengo halisi ya watu hawa hutoweza hata siku moja kukutana nao jukwaa lingine zaidi ya hili jukwaa la siasa!! why?....
Mussa Wangota![]()
Today 15:44
#229![]()
Junior Member Array
Join Date : 27th February 2012
Posts : 6
Rep Power : 302
si lazima kuwa upande mmoja ndio uujenge
Iwapo yaliyosemwa ni kweli basi hali ya nchi ni tete. Askofu gani huyu anayetajwa? Kwa nini wasiwakamate watoa fedha sawa na wasambaza fedha? Hawa takukuru ni genge jingine la uhalifu nchini. Sina imani nao hata kidogo kwani baada ya mida mtasikia waliokamatwa wameachiliwa kwa uchunguzi au ushahidi wa takukuru haujitoshelezi. Wizi mtupi!
Nakuomba unisome vizuri, nimesema hivi sielewi sababu za Lowassa kuyatumia makanisa ktk kampeni zake -pengine blaa..blaa, hili ni swala la wakristu kulishtukia kwamba huyu mtu sio binadamu ni nusu mnyama.Mkuu Mkandara binafsi mimi naheshimu sana michango yako hapa jamvini, wewe ni sehemu ya watu makini hapa JF, lakini hili la kwamba Rais ajae ni lazima awe mkristo halina mjadala ndani ya CCM na Lowasa analijuwa hili vyema, labda vyama vya upinzani ndio havitoendeshwa na utashi huu, lakini Mwislamu yeyote mjanja na anaeona mbali tayari ameshaujuwa ukweli huu na ndio maana katika sarakasi za urais ndani ya CCM husikii majina ya kiislamu, hili liko wazi, na ndio maana hata Bernad Membe baada ya kugunduwa kwamba haesabiki kama mkristo bali Mwislamu nae ameshanawa mikono mapemaaa!!
Aiseeeh ! Mie nilipomuona Hilary Clinton anafungua Symbion, aka Dowans aka Richmond, nikajua kilichobaki nikuvaa mabomu !Mkuu siku hizi mawazo makubwa kama haya hapa sio mahali pake, mmetengewa ukumbi wenu maalum unaitwa FIKRA PEVU.
Hapa habari zinazotakiwa siku hizi ni Lowasa Fisadi, Chadema gogoro lanukia, n:K, lakini mambo uliyoyaongea ni mazito kiasi kwamba hawajui kama tawala za duniani zinapangwa na Freemassons, so what if kama Lowasa ni Agent wao? who to stop? Na kwa nini Dr Slaa mpaka leo haijulikani alipata kura ngapi! na hata Kikwete mwenyewe kama kweli aliongoza kwa kura halali nae hajui alipigiwa kura ngapi!!
Ni kwa nini Kikwete awe Rais wa kwanza kutoka Africa kuonana na Obama? na nina uhakika mavuvuzela mengi humu hajajui kwamba Richmond sasa hivi ndio Symbion Power mali ya Wamarekani, je kuna kiherehere yeyote aliwahi kuhoji uharari wa mkataba huo?
Kama maelezo yako haya yote yanatoka ndani ya nafsi yako je uko tayari siku kumsifia Godbless Lema kwa jambo zuri atakalofanya?
Huu ni ushindi mkubwa kwa Lowasa na ni onyo kwa wale wote wanaounderestimate nguvu za Lowasa ndani ya CCM. acha kukurupuka hili haliwahusu CHADEMA bali ilikuwa ni vita kati ya kamati kuu ya CCM dhidi ya Lowasa na amewagaragaza, sasa ni wakati muafaka wa JK kujiandaa kumuachia uenyekiti wa chama Lowasa. many more to come!!Mtoto wa Marehemu Sumari nasikia kashinda kwa kishido Chadema-Kata JF vichwa vinauma.
Kama ungelijua tu yanayotayarishwa kwa Taifa la kesho sidhani kama ungekuwa na fursa hata ya kusema uloyasema kwa shangwe.Mtoto wa Marehemu Sumari nasikia kashinda kwa kishido Chadema-Kata JF vichwa vinauma.
hii waambie akina Nape na Chiligati!!Mtoto wa Marehemu Sumari nasikia kashinda kwa kishido Chadema-Kata JF vichwa vinauma.
Mkandara neno zito sana hili, ila/but/lakini;
....
In other words tukiingia ndani zaidi Kikwete kwekwa pale na wamarekani piga ua atakayekuja atawekwa na hao hao wamarekani ambapo Kikwete hatakuwa na ubavu wa kumfanya lolote
Utasemaje hongera kumbe waliokamatwa ni ma capos tu. Godfather bado anatamba!
Watu walikuwa wakishangilia Lowassa kaumbuka nikawambia labda hawamjui Lowassa, kuna mwingine simkumbuki akaongeza Lowassa anaweza kuongoza CC kwa remote control na kweli imejidhihirisha jamaa hata hayuko kwenye ukumbi lakini ameugaragaza uongozi karibu wote wa juu kasoro m/kiti wake.Hivi mpaka dakika hii bado kuna uhalali wa hii Thread kuitwa eti Lowasa aumbuka Arumeru Mashariki?
Kama ni habari za uhakika zilizopatika kwamba Sioi Sumari Ameshinda kwa kishindo, basi hii thread isomeke hivi:
LOWASA KIDUME, AIGARAGAZA KAMATI KUU YA CCM, MSEKWA ATOKEA MLANGO WA UWANI, CHILIGATI AGOMA KUTOA PRESS RELEASE, HUKO FACEBOOK NAPE NNAUYE NAE AGOMA KU UPDATES STATUS ZAKE ZA MBWEMBWE.