Economic Hit Men wako kazini, rushwa kwa wanasiasa zinaifunganisha nchi kuibiwa pakubwa!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,335
24,232
Sasa ni dhahiri, kuna International Economic Hit Men wako kazini.
Nyenzo yao kubwa ni rushwa ya kuifungamanisha nchi na wao , ili wazichote fedha bila kazi, bila jasho na kwa raha mustarehe.
Hili linaonekana hasa za kwetu nchi masikini, na inaelekea watazichota fedha nyingi sana kiulaini.

Tanzania sasa hivi ina kesi zaidi ya 11 katika korti mbali mbali duniani.
Na kwa mwenendo wa kesi kusimamiwa na watu ambao hawana ujuzi wala upeo wa kusimamia kesi , basi tutegemee kupigwa tu.
Economic Hit Men wako kazini.

Kimsingi ukichunguza sana, wanasiasa wamevuta na kuiahidi nchi kwa hao Hit Men.
Bandari hapo bado.

1690451128303.jpeg
 
Sasa ni dhahiri, kuna International Economic Hit Men wako kazini.
Nyenzo yao kubwa ni rushwa ya kuifungamanisha nchi na wao , ili wazichote fedha bila kazi, bila jasho na kwa raha mustarehe.
Hili linaonekana hasa za kwetu nchi masikini, na inaelekea watazichota fedha nyingi sana kiulaini.

Tanzania sasa hivi ina kesi zaidi ya 11 katika korti mbali mbali duniani.
Na kwa mwenendo wa kesi kusimamiwa na watu ambao hawana ujuzi wala upeo wa kusimamia kesi , basi tutegemee kupigwa tu.
Economic Hit Men wako kazini.

Kimsingi ukichunguza sana, wanasiasa wamevuta na kuiahidi nchi kwa hao Hit Men.
Bandari hapo bado.

View attachment 2700466
Kwa rushwa ndogo tu, nchi inateketea.
Haya mambo yanatokea Usalama wa taifa wapo, hata vyombo vingine vya Taifa vipo.
Tunashangilia leo mikataba mibovu, kesho tunajitetea mahakamani tusiibiwe, tunashindwa.
Kweli iwe Case Closed , business as usual?
 
Huo ndio ukweli, Tamaa za kijinga za watu wetu ndio silaha yao kubwa kuimaliza Tanzania.

Dunia kuna mahala imeshajua Tanzania ni chaka lao maana watu wake wengi sio wazalendo bali ni wabinafsi wanaowaza maisha binafsi sana, makabila yao au hata dini zao na sio Utaifa wa Tanzania.

Hili litaiacha nchi na madeni makubwa sana maana mamafia wote wa dunia wako juu ya hili kupitia madalali wao waliojaa hapa ndani.
 
Kusema kweli kwa wizi, ufisadi na utapeli huu wa ccm tunatakiwa kuungana tuipeleke serikali ya ccm kwenye mahakama ya kimataifa ya uhalifu!
Tofauti na hapo ccm itamaliza raslimali zoote kwa huu uhaini inayotufanyia wa Tanzania!
 
Sasa ni dhahiri, kuna International Economic Hit Men wako kazini.
Nyenzo yao kubwa ni rushwa ya kuifungamanisha nchi na wao , ili wazichote fedha bila kazi, bila jasho na kwa raha mustarehe.
Hili linaonekana hasa za kwetu nchi masikini, na inaelekea watazichota fedha nyingi sana kiulaini.

Tanzania sasa hivi ina kesi zaidi ya 11 katika korti mbali mbali duniani.
Na kwa mwenendo wa kesi kusimamiwa na watu ambao hawana ujuzi wala upeo wa kusimamia kesi , basi tutegemee kupigwa tu.
Economic Hit Men wako kazini.

Kimsingi ukichunguza sana, wanasiasa wamevuta na kuiahidi nchi kwa hao Hit Men.
Bandari hapo bado.

View attachment 2700466
Hizo kesi 11 unazosema, makosa yalishafanyika huko nyuma. Ukiwa na mawakili wazuri watakusaidia usiumizwe sana ilia kuumia lazima uumie.

Ni sawa na mtu mwenye kesi ya Mauaji anapoamua kutafta wakili amtetee wakati vielelezo vyote vinaonesha yy kaua.
 
Ingekuwa vizuri kama walalamikaji wangekua na ruhusa ya kuomba fidia ya Corporal Punishment (Adhabu Ya Viboko) pia dhidi ya taasisi unayoiburuza mahakamani. Au vyote viwili kwa pamoja (Monetary Compensation & Corporal Punishment)!

Mfano; Kama ukiiburuza TANESCO au TRA mahakamani, unakua na uwezo wa kuomba fidia ya hela waliokusababishia hasara sambamba na adhabu ya viboko dhidi ya hio taasisi unayoiburuza mahakamani!
 
Tatizo hawa wanasiasa wetu wanachoangalia ni rushwa zao hata tukiingia ktk matatizo wao hawajali!
Nchi inaumizwa kila uchwao na wanasiasa wa CCM ambao kwao rushwa na ufisadi ndio asili yao.
 
Nchi hii hadi wasanii wanatuimbia AMKENI lakini ndio kwanza wengine wanavuta shuka na kujifunika gubi gubi.
Ney wa Mitego anasema viongozi wa Tanzania ni Panyaroad waliovaa suti

 
Sasa ni dhahiri, kuna International Economic Hit Men wako kazini.
Nyenzo yao kubwa ni rushwa ya kuifungamanisha nchi na wao , ili wazichote fedha bila kazi, bila jasho na kwa raha mustarehe.
Hili linaonekana hasa za kwetu nchi masikini, na inaelekea watazichota fedha nyingi sana kiulaini.

Tanzania sasa hivi ina kesi zaidi ya 11 katika korti mbali mbali duniani.
Na kwa mwenendo wa kesi kusimamiwa na watu ambao hawana ujuzi wala upeo wa kusimamia kesi , basi tutegemee kupigwa tu.
Economic Hit Men wako kazini.

Kimsingi ukichunguza sana, wanasiasa wamevuta na kuiahidi nchi kwa hao Hit Men.
Bandari hapo bado.

View attachment 2700466
Mzee wa upako Alisha sema tusiwalaumu ma hit men kutokana na kuingia mikataba ya kijinga
 
Sasa ni dhahiri, kuna International Economic Hit Men wako kazini.
Nyenzo yao kubwa ni rushwa ya kuifungamanisha nchi na wao , ili wazichote fedha bila kazi, bila jasho na kwa raha mustarehe.
Hili linaonekana hasa za kwetu nchi masikini, na inaelekea watazichota fedha nyingi sana kiulaini.

Tanzania sasa hivi ina kesi zaidi ya 11 katika korti mbali mbali duniani.
Na kwa mwenendo wa kesi kusimamiwa na watu ambao hawana ujuzi wala upeo wa kusimamia kesi , basi tutegemee kupigwa tu.
Economic Hit Men wako kazini.

Kimsingi ukichunguza sana, wanasiasa wamevuta na kuiahidi nchi kwa hao Hit Men.
Bandari hapo bado.

View attachment 2700466
Mkuu kwan hao hitman ndio wanawalazimisha viongoz wetu wavunje mikataba au kukiuka mashart? Mi Nadhan tawala iliyopo ndio chanzo cha haya yote!! Lawama zote kwa kijani ✔️
 
Mkuu kwan hao hitman ndio wanawalazimisha viongoz wetu wavunje mikataba au kukiuka mashart? Mi Nadhan tawala iliyopo ndio chanzo cha haya yote!! Lawama zote kwa kijani ✔️
Economic Hit Man kwanza anakulegeza kwa rushwa ili uingie mkataba ambao siku unasituka , tayari umeshaingia kwenye chupa.
Pili umeshituka na unashindwa kuwaelezea wananchi kilichotokea, ndio unaona wanasheria uchwara wanapelekwa kinyemela kutetea mkataba , halafu tunapigwa.

Mtu amepewa si ajabu rushwa ya Dola $ milioni moja, Economic Hit Man akazichukua kilaini Dola $ Milioni mia mbili.
 
Economic Hit Man kwanza anakulegeza kwa rushwa ili uingie mkataba ambao siku unasituka , tayari umeshingia kwenye chupa.
Pili umeshituka na unashindwa kuwaelezea wananchi kilichotokea, ndio unaona wanasheria uchwara wanpelekwa kinyemela kutetea mkataba , halafu tunapigwa.
Mtu amepewa si ajabu rushwa ya Dola $ milioni moja, Economic Hitamana akazichukua kilaini Dola $ Milioni mia mbili.
😪😪😪Ila always naamin mtawala wa Africa ni wa hovyo, ma nigga trump was right ✔️
 
Back
Top Bottom