Earphone fake zinavuruga sana

Earphone fake zinavuruga sana

Nmeona woote mnaongelea Eaphone tofaut tofaut ila kwa ushauri tu kwa wale ambao hawapendelei eaphone zenye raba coz tofaut tofaut ila kama mim czpend znazba ckio na skio linashndwa kupumua fresh! kwa ushaur wng eaphone za iphone Zile Og znpiga hatari na azibagui cm sound mpk bass unaskia vzr. sema kwa waliopo dar weng wanauza copy. .. Me nipo mwanza huwa nanunua kwa 30k cjawah kujutia : sifa zake kwanza hazikatik ata uikunje veep na ata ukifulia kweny nguo ynyew fresh
Unazipata wap hz,nilikia nazo zikaibiwa nimetafuta had nimechoka
 
Anker ikasome boss kwa jbl hasa hyo jbl extreme...siku ukikutana nayo utanambia mkuu

Jamaa wanajua had kweny sound za gari...
Hii vipi?
IMG_20190630_192126.JPG
 
😆😆Kabisa mkuu!
Na mimi napenda sana nyimbo zenye midundo mizito kwa hiyo ubongo & ngoma hupata tabu sana
Sasa nyie inabidi mpewe nyanga za Philips zile ama OFIA ndio zinawafaa au tule tu earphone twa Nokia na Samsung chekeche!

Wandewa tunatumia inner ear anyday! Ukiblend na Equalizer ya maana kwenye player yenye DSP hapo balaa lake ni zaidi ya ile mikito ya Sony Xplod ama Piooner za Dicksound 😁😁😁
 
Ilichukua muda gani kuzipata tangu ulipoziagiza? Je, ulitumia free shipping.?... Nimeagiza hizi kitu nina mwezi sasakila nikichungulia naziona bado ziko China hata kutumwa hazijatumwa.
Two weeks tu,nililipia standard shipping

Umemchek seller anasemaje?
 
Two weeks tu,nililipia standard shipping

Umemchek seller anasemaje?
Seller hajibu sms, nilinunua kwenye official store
hapa nafikiria kucancel order...

Wewe ulinunua kwa seller yupi?? nimecheki
 
Sasa nyie inabidi mpewe nyanga za Philips zile ama OFIA ndio zinawafaa au tule tu earphone twa Nokia na Samsung chekeche!

Wandewa tunatumia inner ear anyday! Ukiblend na Equalizer ya maana kwenye player yenye DSP hapo balaa lake ni zaidi ya ile mikito ya Sony Xplod ama Piooner za Dicksound 😁😁😁
Hahahaha poa poa mkuu
 
Official store kama kawa...

Kwaiyo status ikoje?
Seller hajibu sms, nilinunua kwenye official store
hapa nafikiria kucancel order...

Wewe ulinunua kwa seller yupi?? nimecheki
 
Official store kama kawa...

Kwaiyo status ikoje?
Wakati nanunua kulikuwa na njia moja tu ya free shipping... na status yake kwasasa iko hivi, yaani naona mzigo unazunguka tu hukohuko china
Z-Zircon Earphone.PNG


Nimetrack kwa website CAINIAO na haya ndio matokeo
CN000.PNG
Canio 2.PNG
CANIO 1.PNG
Cainio 3.PNG
Z-Zircon Earphone.PNG
 
Wakati nanunua kulikuwa na njia moja tu ya free shipping... na status yake kwasasa iko hivi, yaani naona mzigo unazunguka tu hukohuko china
View attachment 1163302

Nimetrack kwa website CAINIAO na haya ndio matokeo
View attachment 1163308View attachment 1163307View attachment 1163306View attachment 1163305View attachment 1163302
Aaah hahaha hiyo ni ile China registered Mail boss hapo hata Miezi 2 inaweza gonga

Iko hivi ishu sio Free shipping ishu je Umechangua Standard free shipping au Singapore Shipping unless utangoja mzigo hadi miezi 2.
 
Back
Top Bottom