Earphone fake zinavuruga sana

Earphone fake zinavuruga sana

nenda maduka ya sound & Vision ukanunue vitu vya electronic hapo hata mimi baada ya kuuziwa maflash feki nilienda hapo nikanunua flash 8 Gb KWA 12000 NIKASHANGAA FLASH TU NAPEWA Risit ya EFD yenye Warrant Ya 5years, nenda hapo mkuu utapewa airphone orijino
Wapi uko?
 
Umewai kutumiaspeaker ya anker mkuu?
Mimi huwa napigaga mziki, sina ufahamu na hizo Anker unazozungumzia ila JBL ukiipata kutoka nje ni spika inayotema vibaya sana.

Ni miaka inapita sasa hakuna spika za JBL Tanzania labda uagize sababu nyingi ni feki.

JBL spika yake ya mid waweza sema ni Bass.

Samahani kwa kwenda nje ya mada ila hii brand ya JBL kwa upande wa vyombo vya mziki ni level nyingine.
 
Mimi huwa napigaga mziki, sina ufahamu na hizo Anker unazozungumzia ila JBL ukiipata kutoka nje ni spika inayotema vibaya sana.

Ni miaka inapita sasa hakuna spika za JBL Tanzania labda uagize sababu nyingi ni feki.

JBL spika yake ya mid waweza sema ni Bass.

Samahani kwa kwenda nje ya mada ila hii brand ya JBL kwa upande wa vyombo vya mziki ni level nyingine.
Hao jamaa nuksi...nina JBL charger 3 inapiga had shetan hapend
 
Wadau msaada nimenunua earphone juzi tu kwenye smartphone halafu zinakuwa hazisomi.

Msaada please. Nini tatizo....
Njoo nikuuzie nina earphone za Samsung J5 Prime bado mpya kbs .
 
Rock habar ya mjin
Rock.jpg
 
Nataka kujaribu kufanya manunuzi online mimi mwenyewe kwa kuagiza earphones kupitia aliexpress. Naomba msaada jinsi ya kujaza hizo fields za postal code na hapo kwenye apt, suite.
Screenshot_2018-07-14-12-11-41-138_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
 
[emoji3][emoji3]

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Mkuu hii ni habari nyingine!! Kama ndio unataka kuanza kuwa kiziwi ukiziwahi hizi ukaweka hadi mwisho halafu liwe sebene la werason au kofi olomide lazima masikio yazibuke!!! Daaaa si mchezo yaani kila chombo kwenye mziki unakisikia, jf idumu ndio inatupa habari ya mambo mazuri
 
[emoji3][emoji3]

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Mkuu hii ni habari nyingine!! Kama ndio unataka kuanza kuwa kiziwi ukiziwahi hizi ukaweka hadi mwisho halafu liwe sebene la werason au kofi olomide lazima masikio yazibuke!!!hahaaaa, Daaaa si mchezo yaani kila chombo kwenye mziki unakisikia, jf idumu ndio inatupa habari ya mambo mazuri
 
Mkuu hii ni habari nyingine!! Kama ndio unataka kuanza kuwa kiziwi ukiziwahi hizi ukaweka hadi mwisho halafu liwe sebene la werason au kofi olomide lazima masikio yazibuke!!! Daaaa si mchezo yaani kila chombo kwenye mziki unakisikia, jf idumu ndio inatupa habari ya mambo mazuri
Hahah huez kua kiziw mim zangu zina mwaka sasa...nakula ngoma bila shida...

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom