Joe Unruly
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 203
- 187
Mkuu bei gani hii??Mkuu JBL unawaonaje?
Nmekutana na pill yao jana...sound yake makini sana yani bass unaskia sio yakutoka kweny ile pill...nawaza inakuaje area ndogo kutoa mzik wa kias kile...
View attachment 657745