Earphone fake zinavuruga sana

Earphone fake zinavuruga sana

Saiz wana ofaa hyo apo utaipata kwa usd 119 kutoka usd 149

Na jbl extreme saiz bei ya ofa ni 199usd kutoka 299 usd

Pita hapa kweny site yao ujionee

Official JBL Store - Speakers, Headphones, and More!

Sound inayotoka mkuu huwez amini
Kwahiyo bei hapana, kuna hizi zinaitwa ANKER.. mkuu ni dollar 50 tu, lakini mdundo wake ni kama subwoofer. Hatari sana Inakaa na charge siku nzima. Nimewaagizia sana wanafunzi wa UDOM.
c33973e1cb83f5a7b843085f22acbd1e.jpg
74554e349b519035f6089a1ef560f2b4.jpg
 
Kwahiyo bei hapana, kuna hizi zinaitwa ANKER.. mkuu ni dollar 50 tu, lakini mdundo wake ni kama subwoofer. Hatari sana Inakaa na charge siku nzima. Nimewaagizia sana wanafunzi wa UDOM.
c33973e1cb83f5a7b843085f22acbd1e.jpg
74554e349b519035f6089a1ef560f2b4.jpg

3cbbf049f46ba56f1bc26946b465a99c.jpg
Anker ikasome boss kwa jbl hasa hyo jbl extreme...siku ukikutana nayo utanambia mkuu

Jamaa wanajua had kweny sound za gari...
 
320a80fb96fea7b9dd313b5e65f27db1.jpg

Kama ni za Xiaomi kariakoo nyingi ni fake, labda uagize online. (kwa maelezo ya chief mkwawa). Ni bora utafute hizi za Samsung ndio zinapatikana hapa bongo kwa uraisi
ce6ea78e37aa6bd0517cf68cbd3ca490.jpg
Shida ni kuwa hazipigi inavyotakiwa,huwa napenda inner ear kwa maana kishindo chake ni kama unasubwoofer maskioni. Ndio raha ya muziki ilipo
 
Sijawah ila jbl nawajua tangu kweny sound za gari had home theater...anyway ngoja nifanye review ya anker ikinivutia nijarbu kuagiza nione..naona iko cheap
Tafuta hii Anker SoundCore Pro 25W Premium Portable Wireless Bluetooth Speaker with Superior Bass and High Definition Sound with 4 Drivers, naona kwenye reviews wanaisifu sana..
9348ced0141ac05f6248c34a767c29e1.jpg
3ad3da0c67d776c9f9a900fa3515e0b0.jpg
 
Mkuu JBL unawaonaje?

Nmekutana na pill yao jana...sound yake makini sana yani bass unaskia sio yakutoka kweny ile pill...nawaza inakuaje area ndogo kutoa mzik wa kias kile...

View attachment 657745

Ahh hii kitu niliikuta duka la tech 360 mazee, kwa sisi tuliozoea enzi za chuo chuo na masubwoofer yale ya wachina, kwa kweli hata mimi nilishangaa vibaya sana.. nikaamini kweli JBL kwenye sound ni noma
 
Back
Top Bottom