Earphone fake zinavuruga sana

Earphone fake zinavuruga sana

Mimi nimeagiza memory card hatimae juma 3 nimeambiwa nikachukue garama ya pale posta ni shlingi ngap
Mimi huwa nachukua free bila charges, mara chache sana utakuta wanahitaji niwape pesa
 
Ndio nmekwambiaje kachukue za kariakoo sasa ule mdundo

Hivi unajua hapa tunaongelea mdundo gani? Inaonekana ww skio likibanwa tu tayar kwako mdundo...pole mkuu[emoji16]
Sijakubishia ila kuna ka wizi apoSikio likisha banwa ni rahisi kupata mdundo wa earphone acha ubishi
 
Ndio nmekwambiaje kachukue za kariakoo sasa ule mdundo

Hivi unajua hapa tunaongelea mdundo gani? Inaonekana ww skio likibanwa tu tayar kwako mdundo...pole mkuu[emoji16]
Basi baki na uyajuayo
 
nenda maduka ya sound & Vision ukanunue vitu vya electronic hapo hata mimi baada ya kuuziwa maflash feki nilienda hapo nikanunua flash 8 Gb KWA 12000 NIKASHANGAA FLASH TU NAPEWA Risit ya EFD yenye Warrant Ya 5years, nenda hapo mkuu utapewa airphone orijino
(SOUND & VISION) Hawa jamaa wanauza vitu quality sana 2017 nilinunua memory card GB 128 kwa 50,000 Hadi Sasa hivi inapiga kazi kama kawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom