EAC Tanzania kinara kuvutia Wa-USA

Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja...
Kazi nzuri
 
Mabeberu ni wale waliokuwa wanasaini mamikataba ya kinyonyaji, kiwizi, kifisadi enzi za Jakaya Mrisho Kikwete. Wawekezaji wakija kwenye win win situation tutaheshimiana.
 
Mkuu kuna jambo haliko sawa,Hizo investment nadhani ni mpya mpya.
Kenya ina investments nyingi hasa kutokea Marekani kuliko Tanzania na Uganda kwa kipindi kirefu sana.
Tuseme Kenya its saturated zone with American investment, hivyo wametafuta new territory.
Na hizo American investments katika Tanzania ni zipi?
 
Kenya haina madini kama Tanzania, Wamarekani wanataka madini.Kenya pia haina vivutio vingi vya utalii kama Tanzania.
Hakuna cha ajabu hapo kama ambavyo si ajabu mwenye nywele kichwa kizima kutumia muda mrefu kunyoa kuliko mwenye upara kwenye utosi.
Tanzania leads East Africa in drawing American investments

FRIDAY NOVEMBER 12 2021

Arusha. Tanzania leads the other East African Community (EAC) partner states in attracting investments from the United States, the world’s largest economy.

This emerged during the signing of a Memorandum of Understanding (MoU) between the East African Business Council (EABC) and the Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) to lure more investments from the US.

According to EABC - an apex body of private sector associations in the region - total foreign direct investments from the US to Tanzania was $1.5 billion in 2019.

Tanzania is followed by Kenya - which received $353 million in the same year - followed by Uganda $42 million, Rwanda ($11 million) and Burundi which managed to attract $1 million in the same year (2019).

The agreement, signed on Wednesday, outlines several areas of collaboration, including showcasing trade and investment opportunities in the EAC bloc. These include industrial exchange programmes and trade missions to the USA, joint exhibitions and conferences, training programmes and certifications.

Speaking at the signing ceremony, Mr John-Bosco Kalisa, EABC executive director, said the partnership is set to improve joint ventures, production capacities and technology transfers between businesses in East Africa and USA.”

He advised the AGCC to mobilise the African diaspora to invest in East Africa in lucrative sectors such as agri-business and digital innovations to support the economic recovery of the continent amid the Covid-19 pandemic.

For his part, AGCC Chairman Olivier Kamanzi said “AGCC is steadfast to kick-off this partnership, as USA investors are eager to visit and explore trade opportunities in the East African region”.

He stated that the MoU signing paves the way for the African diaspora and US investors to partner with the private sector in Africa and strongly drive the African Continental Free Trade Area (AfCFTA) and the African Union Agenda 2063. He explained that AGCC has mobilised the diaspora to invest and set up a smart city in Malindi, Kenya.

The EAC bloc benefits from preferential market access to the US under the Africa Growth and Opportunity Act (AGOA). In 2015, EAC and the US signed an Agreement on Trade Facilitation, Sanitary and Phytosanitary (SPS) and Technical Barriers to Trade (TBT).

The EAC also initiated negotiations on EAC/US Investment Treaty, and inaugurated the EAC/US Commercial Dialogue.

According to the International Trade Centre (ITC), the EAC bloc imports of goods from US in 2019 stood at $1.124 billion while exports reached $704 million.

The values declined to $963,010 and $681,299 respectively in 2020 due to the Covid-19 pandemic.

Mr Kalisa called for joint advocacy efforts to ensure the extension of the AGOA and commencement of negotiations EAC-US Free Trade Agreement in order to attract more investment into East Africa.

He stated that AGOA has integrated the EAC bloc’s apparel sector into the global value chains.

The partnership is set to boost trade and attract more USA investments in industrial parks, special economic zones, export processing zone in the EAC and unlock market access to U.S.A via AGOA, environmental and climate change innovations and co-organizing the East African Business and Investment Summit 2022.

AGCC is a Chicago-based not-for-profit corporation that specializes in promoting trade, investment, educational exposures, and cultural exchanges globally for Africa’s economic interest and its partners starting from the USA.

Locally, AGCC strives to serve businesses and professionals seeking business opportunities, while also facilitating mutual commerce between US and Africa. AGCC is based in Chicago, Illinois.

Source: The Citizen
 
Mkuu kuna jambo haliko sawa,Hizo investment nadhani ni mpya mpya.
Kenya ina investments nyingi hasa kutokea Marekani kuliko Tanzania na Uganda kwa kipindi kirefu sana.
Tuseme Kenya its saturated zone with American investment, hivyo wametafuta new territory.
Na hizo American investments katika Tanzania ni zipi?
Mkuu hii habari yako unaitoa wapi, Let's share
 
... Mkuu AGGGOT TZ, tafadhali rephrase heading ya thread na content ya Kiswahili. At glance it is as if it is a comparison of what the US, Kenya, Uganda, Rwanda, and Burundi have invested in Tanzania in 2019 of which the US leads as the biggest investor!

Kumbe badala yake ni ulinganisho wa ambacho US imewekeza Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, na Burundi of which Tanzania leads as the biggest recipient in the same year! Kwa thread hii sasa napata picha ni kwanini ukitokea mkanganyiko wa kisheria hususan tafasiri, the English version overrides!
 
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja
===
Marekani ni nchi iliyowekeza Tanzania karibu maratatu ya Jumla ya kiasi ilichowekeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,hadi mwaka 2019 Jumla ya uwekezaji wa Marekani kwa Tanzania ulifikia US$1.5BL sawa na TZS 3.45Trilioni ikifuatiwa na Kenya US$353M, Uganda $42M, Rwanda $11M na Burundi US$1M uwekezaji huu wa,Kenya, Uganda,Rwanda na Burundi ni sawa na Jumla ya $407M au TZS 936.1BL,
===
Baraza la Biashara Africa Mashariki The East African Business Council tayari limesaini makubaliano (MoU) na Kituo cha Kibiashara cha Africa na Dunia cha The Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) ili kuuvuta zaidi uwekeji wa Marekani uje kwa wingi Ukanda huu wa Africa ya Mashariki,
===
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kujali na kuthamini kila mwekezaji awe wa nje au wandani kwani sekta binafsi kwa mujibu wa taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi kwa Tanzania inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi,
===
Tangu Rais Samia aingie madarakani majarida mbalimbali yamekuwa yakiitaja Tanzania kama Sehemu salama zaidi ya kuwekeza kwa mwaka 2021 ikiwa kwenye nafasi ya kumi bora pamoja na Kenya na Rwanda pengine hii ndio inasukuma zaidi kusainiwa kwa hii MoU itakayofungua milango kwa Wamarekani wanaomiliki 25% ya Uchumi wote wa Dunia ambayo ulifikia US$ 84.54Ttrilioni mwaka 2020 kutiririka Africa Mashariki hasahasa Tanzania kwaajili ya kuwekeza zaidi,endelea kujisomea hapo chini

View attachment 2009016
Imewekeza katika miradi gani?
 
Tukisema Rais Samia anakasi nzuri mjaribu kituelewa tu

Sasa huu ushirikiano ndio fungakazi,

Tuendelee kuiombea nchi yetu
2019 Samia alikua Rais? Watu wa Lumumba mjaribu kupunguza mihemko. Andiko linasema kufikia 2019 uwekezaji wa Marekani ulifikia USD 1.5 Billion. Wewe unakuja na porojo za kasi ya Samia.

Nchi ina watu wa hovyo sana hii!
 
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja

Marekani ni nchi iliyowekeza Tanzania karibu maratatu ya Jumla ya kiasi ilichowekeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,hadi mwaka 2019 Jumla ya uwekezaji wa Marekani kwa Tanzania ulifikia US$1.5BL sawa na TZS 3.45Trilioni ikifuatiwa na Kenya US$353M, Uganda $42M, Rwanda $11M na Burundi US$1M uwekezaji huu wa,Kenya, Uganda,Rwanda na Burundi ni sawa na Jumla ya $407M au TZS 936.1BL,

Baraza la Biashara Africa Mashariki The East African Business Council tayari limesaini makubaliano (MoU) na Kituo cha Kibiashara cha Africa na Dunia cha The Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) ili kuuvuta zaidi uwekeji wa Marekani uje kwa wingi Ukanda huu wa Africa ya Mashariki,

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kujali na kuthamini kila mwekezaji awe wa nje au wandani kwani sekta binafsi kwa mujibu wa taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi kwa Tanzania inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi,

Tangu Rais Samia aingie madarakani majarida mbalimbali yamekuwa yakiitaja Tanzania kama Sehemu salama zaidi ya kuwekeza kwa mwaka 2021 ikiwa kwenye nafasi ya kumi bora pamoja na Kenya na Rwanda pengine hii ndio inasukuma zaidi kusainiwa kwa hii MoU itakayofungua milango kwa Wamarekani wanaomiliki 25% ya Uchumi wote wa Dunia ambayo ulifikia US$ 84.54Ttrilioni mwaka 2020 kutiririka Africa Mashariki hasahasa Tanzania kwaajili ya kuwekeza zaidi,endelea kujisomea hapo chini
Nimekubali mziki
 
Kuna watu wanapenda kudharau watu toka Mataifa yaliyoendelea kama Marekani na mengineyo kwa kuwaita eti wao ni "Mabeberu " kitu ambacho sichema kwa ustawi wa nchi na kwanchi zinazotuletea biashara na ajira kama hizi kuwaita "Mabeberu " japo hii sio hoja yangu wacha twende kwenye hoja

Marekani ni nchi iliyowekeza Tanzania karibu maratatu ya Jumla ya kiasi ilichowekeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi,hadi mwaka 2019 Jumla ya uwekezaji wa Marekani kwa Tanzania ulifikia US$1.5BL sawa na TZS 3.45Trilioni ikifuatiwa na Kenya US$353M, Uganda $42M, Rwanda $11M na Burundi US$1M uwekezaji huu wa,Kenya, Uganda,Rwanda na Burundi ni sawa na Jumla ya $407M au TZS 936.1BL,

Baraza la Biashara Africa Mashariki The East African Business Council tayari limesaini makubaliano (MoU) na Kituo cha Kibiashara cha Africa na Dunia cha The Africa Global Chamber of Commerce (AGCC) ili kuuvuta zaidi uwekeji wa Marekani uje kwa wingi Ukanda huu wa Africa ya Mashariki,

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imejipambanua kujali na kuthamini kila mwekezaji awe wa nje au wandani kwani sekta binafsi kwa mujibu wa taarifa za TPSF zinaonesha Sekta binafsi kwa Tanzania inabeba zaidi ya 90% ya ajira zote Tanzania,Lakini inachangia 80% ya mapato yote ya Serikali na inabeba 60% ya uwekezaji wote wa nchi,

Tangu Rais Samia aingie madarakani majarida mbalimbali yamekuwa yakiitaja Tanzania kama Sehemu salama zaidi ya kuwekeza kwa mwaka 2021 ikiwa kwenye nafasi ya kumi bora pamoja na Kenya na Rwanda pengine hii ndio inasukuma zaidi kusainiwa kwa hii MoU itakayofungua milango kwa Wamarekani wanaomiliki 25% ya Uchumi wote wa Dunia ambayo ulifikia US$ 84.54Ttrilioni mwaka 2020 kutiririka Africa Mashariki hasahasa Tanzania kwaajili ya kuwekeza zaidi.

Mkuu AGGGOT TZ , kwanza asante kuleta mada hii, na huu ndio uzuri wa jf, kila mtu yuko free kuleta mawazo yake na yataheshimiwa, hivyo hata mimi hapa naheshimu mawazo yako ila pia nakuelimisha maana kuna vitu inawezekana huvijui kuhusu ubeberu na kudhani ukisaidiwa tuu ndio ukubali kufanyiwa kila kitu.

  1. Beberu ni nani na ubeberu ni nini na kwanini nchi iitwe beberu?. Beberu ni mbuzi dume, huwa anazungukwa na majike wengi, huyo beberu anapotaka, haombi bali anajichukulia tuu kitemi, kibabe. Hivyo ubeberu ni tabia ya nchi moja kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine kibabe, kitemi kwa kuilazimisha hiyo nchi kufanya anachotaka beberu vinginevyo beberu atamfanya kwa nguvu.
  2. Kwa lugha ya Kiingerere ubeberu ni imperialisms na ndio the highest stages of capitalism, mabeberu ni imperial powers na nchi ya Marekani ndio kubwa la mabeberu!. Ubeberu huu uko wa aina tatu, political imperialism, economical imperialism na social imperialism.
  3. Kwa vile ubeberu ni tabia chafu na mbaya, mfano wewe ni masikini wa kutupa unaeishi kwenye lindi la umasikini, akatokea tajiri kukusaidia kukupa chakula masherti ya msaada wake kwako ni pamoja na kukusaidia kum service hadi mkeo, jee utakubali tuu kwasababu ni masikini?.
  4. Au kwa vile una njaa sana, usipopata chakula utakufa njaa, anatokea tajiri anakutupia chakula kama mbwa, anakutupia kitumbua kwenye mchanga wewe unakiokota, unakifuta mchanga na kukila, utamsifia aliyekutupia chakula au utatunza heshima yako na utu wako na ikibidi kulala njaa utalala njaa kuliko kudhalilishwa!. Japo ni masikini lakini unakuwa ni masikini jeuri.
  5. Kubwa la mabeberu aliyataka mafuta ya Iraq, akalobby lobby kwa Saadam akashindwa, akamsingizia Iraq ina WMD, yeye na washarika wake wakamtandika Saadam na sasa mafuta ni kama yao. Je what the Americans did in Iraq, is it right?. Is it justified?. Huu ndio ubeberu!.
  6. Baada ya kumuona Gadafi analiughanisha bara la Africa ndilo Bara linaloongoza kwa rasilimali duniani ila pia ndilo bara linaloongoza kwa umasikini. Akaamua Africa tuungane tuunde Bank of Africa, tuachane na WB. Tuunde Africa Monetary Fund tuachane na IMF.
  7. Mawasiliano yote Africa lazima yapite kwa mabeberu kwanza. Kupiga simu Rwanda, simu hiyo lazima kwanza ipite London, Paris, ndipo ije Kigali. Gadafi hajasema huu ni upuuzi, akapandisha Satellite angani Africa tuachane na ITU. unajua kilichotokea?.
  8. Ni kweli Marekani na mabeberu wengine ni rafiki zetu, ni nchi rafiki, nchi Wafadhili, development partners, na wakitusaidia tunawashukuru sana.
  9. Lakini pia ndio hawa hawa wanaotuingilia mambo yetu ya ndani, kwa kutupa misaada yenye masherti. JPM alikataa Jee anajua kwa hakika what happened to him?.
  10. Naamini nimekuelimisha vya kutosha kuhusu mabeberu na ubeberu na kukuomba sana usiwe kibaraka wa mabeberu, kuwa mzalendo kwa nchi yako. Nakuachia na links ya kukuelimisha zaidi.
Mimi ni Mwalimu Paskali

Rejea





 
Pia hizi ni kampuni za Marekani ziliwekeza:
1) Richmond Development Company LLC of Houston
2) Symbion
3)….

U.S. firm seeks $561 million from Tanzania in power supply dispute​

Fumbuka Ng'wanakilala

DAR ES SALAAM (Reuters) - Symbion Power is seeking $561 million from Tanzania's state power supplier TANESCO via international mediation, accusing it of breach of contract, the U.S. firm said on Tuesday.
More: U.S. firm seeks $561 million from Tanzania in power supply dispute
 
Hata richmond waliwekeza 400m USD 🤣 🤣 , Barrick gold waliwekeza 2 billion 🤣 🤣...nafikiri umepata jibu lako
 
America hakuna pesa ya bure au rahisi, walioishi US wanaelewa vizuri, baba mkopo wa 5000$ ukicheza utalipa 100,000$, utapewa student loan, credit card wanamalizia na mortgage ukija kushtuka uko kona mbaya kuliko mtumwa na hakuna pa kutokea tena, acha waitwe mabeberu tuu tulioishi US tunaelewa hii game
 
Umetafsiri vizuri sana neno "Ubeberu "

Unadhani kwa mifumo ya dunia ya sasa neno hili linastahili kupewa wengine?

Huwezi kutukana mamba ukianza kuvuka mto mjomba,
Ndio maana nikasema ujue kuishi nao kwa faida...lakini ukweli waliyotutawala na marekani daima ni mabeberu.
 
Mkuu AGGGOT TZ , kwanza asante kuleta mada hii, na huu ndio uzuri wa jf, kila mtu yuko free kuleta mawazo yake na yataheshimiwa, hivyo hata mimi hapa naheshimu mawazo yako ila pia nakuelimisha maana kuna vitu inawezekana huvijui kuhusu ubeberu na kudhani ukisaidiwa tuu ndio ukubali kufanyiwa kila kitu.

  1. Beberu ni nani na ubeberu ni nini na kwanini nchi iitwe beberu?. Beberu ni mbuzi dume, huwa anazungukwa na majike wengi, huyo beberu anapotaka, haombi bali anajichukulia tuu kitemi, kibabe. Hivyo ubeberu ni tabia ya nchi moja kuingilia mambo ya ndani ya nchi nyingine kibabe, kitemi kwa kuilazimisha hiyo nchi kufanya anachotaka beberu vinginevyo beberu atamfanya kwa nguvu.
  2. Kwa lugha ya Kiingerere ubeberu ni imperialisms na ndio the highest stages of capitalism, mabeberu ni imperial powers na nchi ya Marekani ndio kubwa la mabeberu!. Ubeberu huu uko wa aina tatu, political imperialism, economical imperialism na social imperialism.
  3. Kwa vile ubeberu ni tabia chafu na mbaya, mfano wewe ni masikini wa kutupa unaeishi kwenye lindi la umasikini, akatokea tajiri kukusaidia kukupa chakula masherti ya msaada wake kwako ni pamoja na kukusaidia kum service hadi mkeo, jee utakubali tuu kwasababu ni masikini?.
  4. Au kwa vile una njaa sana, usipopata chakula utakufa njaa, anatokea tajiri anakutupia chakula kama mbwa, anakutupia kitumbua kwenye mchanga wewe unakiokota, unakifuta mchanga na kukila, utamsifia aliyekutupia chakula au utatunza heshima yako na utu wako na ikibidi kulala njaa utalala njaa kuliko kudhalilishwa!. Japo ni masikini lakini unakuwa ni masikini jeuri.
  5. Kubwa la mabeberu aliyataka mafuta ya Iraq, akalobby lobby kwa Saadam akashindwa, akamsingizia Iraq ina WMD, yeye na washarika wake wakamtandika Saadam na sasa mafuta ni kama yao. Je what the Americans did in Iraq, is it right?. Is it justified?. Huu ndio ubeberu!.
  6. Baada ya kumuona Gadafi analiughanisha bara la Africa ndilo Bara linaloongoza kwa rasilimali duniani ila pia ndilo bara linaloongoza kwa umasikini. Akaamua Africa tuungane tuunde Bank of Africa, tuachane na WB. Tuunde Africa Monetary Fund tuachane na IMF.
  7. Mawasiliano yote Africa lazima yapite kwa mabeberu kwanza. Kupiga simu Rwanda, simu hiyo lazima kwanza ipite London, Paris, ndipo ije Kigali. Gadafi hajasema huu ni upuuzi, akapandisha Satellite angani Africa tuachane na ITU. unajua kilichotokea?.
  8. Ni kweli Marekani na mabeberu wengine ni rafiki zetu, ni nchi rafiki, nchi Wafadhili, development partners, na wakitusaidia tunawashukuru sana.
  9. Lakini pia ndio hawa hawa wanaotuingilia mambo yetu ya ndani, kwa kutupa misaada yenye masherti. JPM alikataa Jee anajua kwa hakika what happened to him?.
  10. Naamini nimekuelimisha vya kutosha kuhusu mabeberu na ubeberu na kukuomba sana usiwe kibaraka wa mabeberu, kuwa mzalendo kwa nchi yako. Nakuachia na links ya kukuelimisha zaidi.
Mimi ni Mwalimu Paskali

Rejea





Verse versa is True
No free lunch
 
Back
Top Bottom