Kuna hatari nchi zote za Africa kuingizwa EAC

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,712
6,508
Ninaiona Africa nzima ikiingizwa kwenye Jumuia ya EAC.


Tuwe wakweli hakuna raia wa EAC anaye jua vigezo vya nchi kuwa mwanachama wa EAC,na pia kinacho endelea kwa sasa sio tena EAC ni beyond hapo labda ni kuingiza nchi zote za Africa kwenye EAC.

Nchi za EAC zilikuwa ni Tanzania, kenya, Uganda, Rwanda na Burundi, zaidi ya hapo ni utashi wa viongozi tu kuforce na kuna hatari ikaenda beyond hapo.
 
EAC mungano huu kuna nchi zinanufaika nao kuliko zingine. Lakini mimi ninachokiona, indapo wataendelea kusajili nchi zingine , umakini unahitajika au watu wajiandae kisaikolojia hasa kwenye mifumo ya utawala kisiasa na utamaduni.

Mifumo ya kisiasa na tamaduni mashariki na pembe ya afrika inataka kuendana. Ila mifumo ya afrika ya kati na magharibi ni tofauti. Hizi nchi za kati na magharibi zina mifumo kifaransa,kwenye siasa na utamaduni.

Iwapo wataziingiza nchi hizo na mifumo ya kifaransa itakua imeshaishika afrika nzima. Wale wafoasi wa siasa za majimbo ni wakati wao.lakini pia utamaduni na mawasiliano lazima kutakua na abadiliko. Maana lazima watu wataingia kwenye FRACOPHONE.

kutokana na vitu vilivyomo kwenye muungano huu, kwasababu watanzania bado hawajaelemika kuhusu muungano huu na bado hauja wanufaisha hasa kwa sisi watanzania , kuna hatari kudidimizwa kabisa kiuchumi.

SHIDA YA TANZANIA YETU NI NYEPESI KUANZISHA VITU BILA YA MISINGI IMALA NA DIRA ENDELEVU.

Ukimtafuta mtanzania leo, hata aliemaliza chuo kikuu pale.
Hajui fulsa za EAC, SADIC, CENTRAL COLIDLE . nk, nk, .
Lakini bado wao ndio wako mbele kushawishi nchi zingine kujiunga.
 
Mahali nimedharau hiyo jumuiya ni kuweka mipango mingi isiyotekelezwa. Mfano toka hiyo jumuiya imefufuliwa 1998, walikuwa na makabuliano ya sarafu ya pamoja, Hadi Leo ni porojo tu. Ukipita mipakani ni kama utekelezaji ni tofauti na porojo za makubaliano ya kwenye hiyo mikutano ya viongozi.
 
Ninaiona Africa nzima ikiingizwa kwenye Jumuia ya EAC.


Tuwe wakweli hakuna raia wa EAC anaye jua vigezo vya nchi kuwa mwanachama wa EAC,na pia kinacho endelea kwa sasa sio tena EAC ni beyond hapo labda ni kuingiza nchi zote za Africa kwenye EAC.

Nchi za EAC zilikuwa ni Tanzania, kenya, Uganda, Rwanda na Burundi, zaidi ya hapo ni utashi wa viongozi tu kuforce na kuna hatari ikaenda beyond hapo.

Na ndivyo Nyerere alivyotaka kuiunganisha Africa. Alisema nchi ziungane kwanza kikanda halafu baadaye kanda ziungane na kuwa Africa moja! Nkrumah yeye alitaka ziungane kwa mkupuo wakati nchi nyingi zilikuwa hazijapata uhuru. Matokeo wazo la Nkrumah likasababisha nchi kushindwa kuungana hadi leo. Sasa ni bora twende na hili wazo la Mwalimu hadi tuje tuungane wote!
 
EAC mungano huu kuna nchi zinanufaika nao kuliko zingine. Lakini mimi ninachokiona, indapo wataendelea kusajili nchi zingine , umakini unahitajika au watu wajiandae kisaikolojia hasa kwenye mifumo ya utawala kisiasa na utamaduni.

Mifumo ya kisiasa na tamaduni mashariki na pembe ya afrika inataka kuendana. Ila mifumo ya afrika ya kati na magharibi ni tofauti. Hizi nchi za kati na magharibi zina mifumo kifaransa,kwenye siasa na utamaduni.

Iwapo wataziingiza nchi hizo na mifumo ya kifaransa itakua imeshaishika afrika nzima. Wale wafoasi wa siasa za majimbo ni wakati wao.lakini pia utamaduni na mawasiliano lazima kutakua na abadiliko. Maana lazima watu wataingia kwenye FRACOPHONE.

kutokana na vitu vilivyomo kwenye muungano huu, kwasababu watanzania bado hawajaelemika kuhusu muungano huu na bado hauja wanufaisha hasa kwa sisi watanzania , kuna hatari kudidimizwa kabisa kiuchumi.

SHIDA YA TANZANIA YETU NI NYEPESI KUANZISHA VITU BILA YA MISINGI IMALA NA DIRA ENDELEVU.

Ukimtafuta mtanzania leo, hata aliemaliza chuo kikuu pale.
Hajui fulsa za EAC, SADIC, CENTRAL COLIDLE . nk, nk, .
Lakini bado wao ndio wako mbele kushawishi nchi zingine kujiunga.
Umenena vyema. Watanzania wengi si wafuatiliaji wa vitu, wavivu wabkusoma na kutenda! Kwa asilimia kubwa fursa za EAC zinafaidiwa na wakenya,waganda warwanda sisi tumelala usingizi wa pono!!
 
Mahali nimedharau hiyo jumuiya ni kuweka mipango mingi isiyotekelezwa. Mfano toka hiyo jumuiya imefufuliwa 1998, walikuwa na makabuliano ya sarafu ya pamoja, Hadi Leo ni porojo tu. Ukipita mipakani ni kama utekelezaji ni tofauti na porojo za makubaliano ya kwenye hiyo mikutano ya viongozi.
Wazee wa Talk Shops!! Nimeona leo Museven anaiponda EU eti hawana common language inayowaunganisha wakati wenzao ile block ni tishio kwa dunia tofauti na kikundi chao cha kikoba EAC!
 
Nchi za EAC zilikuwa ni Tanzania, kenya, Uganda, Rwanda na Burundi, zaidi ya hapo ni utashi wa viongozi tu kuforce na kuna hatari ikaenda beyond hapo.
Nakubaliana na wewe, kujitanua hii jumuiya ni mihemko tu ya kisiasa.

Isitoshe baadhi ya nchi wanachama zina mgogoro wa nchi na nchi (Drc na Rwanda), (Kenya na Somalia) na zingine zina migogoro mikubwa ya ndani (Drc, Somalia,Sudan Kusini) hii yote sidhani kama hii jumuiya inaweza kuitatua kwa hali yake ilivyo.
 
Ninaiona Africa nzima ikiingizwa kwenye Jumuia ya EAC.


Tuwe wakweli hakuna raia wa EAC anaye jua vigezo vya nchi kuwa mwanachama wa EAC,na pia kinacho endelea kwa sasa sio tena EAC ni beyond hapo labda ni kuingiza nchi zote za Africa kwenye EAC.

Nchi za EAC zilikuwa ni Tanzania, kenya, Uganda, Rwanda na Burundi, zaidi ya hapo ni utashi wa viongozi tu kuforce na kuna hatari ikaenda beyond hapo.

Hofu kubwa ni hizi nchi mpya kuuangusha hiyo EAC, mkishakuwa wengi shida inaanza. Zile nchi tano zilitosha Sana.
 
Mahali nimedharau hiyo jumuiya ni kuweka mipango mingi isiyotekelezwa. Mfano toka hiyo jumuiya imefufuliwa 1998, walikuwa na makabuliano ya sarafu ya pamoja, Hadi Leo ni porojo tu. Ukipita mipakani ni kama utekelezaji ni tofauti na porojo za makubaliano ya kwenye hiyo mikutano ya viongozi.

Mwaka Kesho 2004 ndio ilikuwa wawe na common currency ila naona imeshindikana mpaka baadae.
 
Na ndivyo Nyerere alivyotaka kuiunganisha Africa. Alisema nchi ziungane kwanza kikanda halafu baadaye kanda ziungane na kuwa Africa moja! Nkrumah yeye alitaka ziungane kwa mkupuo wakati nchi nyingi zilikuwa hazijapata uhuru. Matokeo wazo la Nkrumah likasababisha nchi kushindwa kuungana hadi leo. Sasa ni bora twende na hili wazo la Mwalimu hadi tuje tuungane wote!

Naona wazo la Mwalimu lilikuwa sahihi
 
Back
Top Bottom