Kwanini ni Tanzania pekee katika EAC ndiyo haijaruhusu uraia pacha kwa watu wake?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,694
6,396
Nchi zingine zote za Afrika Mashariki zimesharuhusu. Imesalia Tanzania peke yake.

Kwa nini imeamua kujitofautisha? Labda ina akili kuliko nchi zingine zote zilizoruhusu au kinyume chake?

Ya kwanza kuruhusu uraia pacha ilikuwa ni Burundi, mwaka 2000.

Mnamo mwaka 2003, Rwanda nayo iliweka Historia kwa kuruhusu rasmi dual citizenship.

Nchi zingine zilizofuatia na miaka kwenye mabano ni:

Uganda (2005)

Kenya (2010)

Congo DRC (2011), na,

South Sudan (2011).
 
Nchi zingine zote za Afrika Mashariki zimesharuhusu. Imesalia Tanzania peke yake.

Kwa nini imeamua kujitofautisha? Labda ina akili kuliko nchi zingine zote zilizoruhusu au kinyume chake?

Ya kwanza kuruhusu uraia pacha ilikuwa ni Burundi, mwaka 2000.

Mnamo mwaka 2003, Rwanda nayo iliweka Historia kwa kuruhusu rasmi dual citizenship.

Nchi zingine zilizofuatia na miaka kwenye mabano ni:

Uganda (2005)

Kenya (2010)

Congo DRC (2011), na,

South Sudan (2011).
Ni ujinga tu wa viongozi wetu.
 
Tanzania 1964
Kuna watu Wana uraia wa Zanzibar na Tanzania.
Unawazungumzia Wazanzibar?

Hao pekee ndiyo wenye haki ya kuwa raia wa nchi mbili kwa mkupuo. Kwao, ni ruksa hata kushika nafasi za uongozi Zanzibar na Tanganyika.
 
Nchi zingine zote za Afrika Mashariki zimesharuhusu. Imesalia Tanzania peke yake.

Kwa nini imeamua kujitofautisha? Labda ina akili kuliko nchi zingine zote zilizoruhusu au kinyume chake?

Ya kwanza kuruhusu uraia pacha ilikuwa ni Burundi, mwaka 2000.

Mnamo mwaka 2003, Rwanda nayo iliweka Historia kwa kuruhusu rasmi dual citizenship.

Nchi zingine zilizofuatia na miaka kwenye mabano ni:

Uganda (2005)

Kenya (2010)

Congo DRC (2011), na,

South Sudan (2011).
Tuna wivu wa kijinga kwa diaspora!
 
Nchi zingine zote za Afrika Mashariki zimesharuhusu. Imesalia Tanzania peke yake.

Kwa nini imeamua kujitofautisha? Labda ina akili kuliko nchi zingine zote zilizoruhusu au kinyume chake?

Ya kwanza kuruhusu uraia pacha ilikuwa ni Burundi, mwaka 2000.

Mnamo mwaka 2003, Rwanda nayo iliweka Historia kwa kuruhusu rasmi dual citizenship.

Nchi zingine zilizofuatia na miaka kwenye mabano ni:

Uganda (2005)

Kenya (2010)

Congo DRC (2011), na,

South Sudan (2011).
Zanzibar mbona kuna uraia pacha, wana NIDA na kitambulisho cha mzanzibar
 
Tuna wivu wa kijinga kwa diaspora!
Ni kwa sababu tu watawala hawajui wanapoteza hela nyingi kwa kukataa kuwatambua raia wake wanaoishi ughaibuni. Kenya, Uganda na Rwanda zinaizidi Tanzania. Wakati mwingine inaonekana kama viongozi wa Tanzania wana uelewa mdogo wa mabadiliko yanayotokea duniani. Sijui ni kwa sababu ya mwenge😃
 
Uraia pacha ni bomu.

Tuna wakimbizi ambao wapo kwenye maamuzi muhimu ya hii nchi (kwa mujibu wa CDF) na ndio hawa ambao wanadhorotesha uchumi

Tukiruhusu uraia pacha si ndio tunawapa kibali cha kutufukuza nchini mwetu kabisa na kuleta maafa
 
Uraia pacha ni bomu.

Tuna wakimbizi ambao wapo kwenye maamuzi muhimu ya hii nchi (kwa mujibu wa CDF) na ndio hawa ambao wanadhorotesha uchumi

Tukiruhusu uraia pacha si ndio tunawapa kibali cha kutufukuza nchini mwetu kabisa na kuleta maafa
Unataka kuniambia Rwanda iko makini zaidi kiulinzi kuizidi Tanzania? Mbona yenyewe imeruhusu siku nyingi na haijawahi kujutia hilo zaidi ya kuonesha inavyonufaishwa na huo utaratibu?

Mimi sioni kama uwepo wa wakimbixi ni tatizo. Hata Rwanda, South Sudan na Uganda kuna wakimbizi. Watawala wa Tanzania wasione ni sifa kuwa nyuma karibia kila kitu mpaka inatia aibu.

Kama inahofia hilo, iweke Sheria itakayomrahisishia Mtanzania kubaki na Utanzania wake pale anapoamua kuchukua uraia wa nchi nyingine, lakini iwe vigumu kwa raia wa nchi nyingine kupata uraia wa Tanzania.

Hilo nalo litashindikana?
 
Nchi zingine zote za Afrika Mashariki zimesharuhusu. Imesalia Tanzania peke yake.

Kwa nini imeamua kujitofautisha? Labda ina akili kuliko nchi zingine zote zilizoruhusu au kinyume chake?

Ya kwanza kuruhusu uraia pacha ilikuwa ni Burundi, mwaka 2000.

Mnamo mwaka 2003, Rwanda nayo iliweka Historia kwa kuruhusu rasmi dual citizenship.

Nchi zingine zilizofuatia na miaka kwenye mabano ni:

Uganda (2005)

Kenya (2010)

Congo DRC (2011), na,

South Sudan (2011).
Watu wa huku Tanzania ni wengi washamba na wenye roho mbaya ndio wanaozuia Uraia pacha !
Wanazuia kwa sababu wale wanaotoka huko nje wanakuwa wanaongea Kizungu kuliko Watoto wao ambao wanawaandaa kushika madaraka Nchini !!
Wao hofu yao ni Kuongea Kizungu tu 😅😅😅🙏🙏🙏
 
Unataka kuniambia Rwanda iko makini zaidi kiulinzi kuizidi Tanzania? Mbona yenyewe imeruhusu siku nyingi na haijawahi kujutia hilo zaidi ya kuonesha inavyonufaishwa na huo utaratibu?

Mimi sioni kama uwepo wa wakimbixi ni tatizo. Hata Rwanda, South Sudan na Uganda kuna wakimbizi. Watawala wa Tanzania wasione ni sifa kuwa nyuma karibia kila kitu mpaka inatia aibu.

Kama inahofia hilo, iweke Sheria itakayomrahisishia Mtanzania kubaki na Utanzania wake pale anapoamua kuchukua uraia wa nchi nyingine, lakini iwe vigumu kwa raia wa nchi nyingine kupata uraia wa Tanzania.

Hilo nalo litashindikana?
Je kijiografia hizo nchi mbili zinafanana,

Kwangu mimi ni rahisi sana kudhibiti raia kwenye nchi ndogo iliyopakana na nchi chache, kuliko nchi kubwa iliyopakana na nchi nyingi, tena kwa maeneo makubwa
 
Back
Top Bottom