Hakika umejiuliza swali ambalo hata Mimi nimeshajiuliza Mara kadhaa.Habari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?
Hakika umejiuliza swali ambalo hata Mimi nimeshajiuliza Mara kadhaa.Habari wakuu
Hiki kituo cha redio wanajiita mziki mnene siwaeliwi kabisa,mana kila break lazima wamponde Bashite.
Amewakosea nini?
Sawa mkuu, zipo kwa fridge za kutosha.Niwekee chupa 3
Yangu,mke wangu na mwanangu vivi
Pongezi uhuru Fm....Hiyo ndio Kazi ya Vyombo vya Habari, kuibua uovu na kutetea wanaonyanyaswa! Pongezi kwa Efm.
Mkuu anything too much is harmful.
Mara ya kwanza sikuilewa ile Cocacola Bashite nilipojua nilicheka sana tafadhali mwenye ile coca isiyokuwa na sukari ambayo kwa sasa ni maarufu kwa jina pendwa naomba aitupie.nauza jezi zina jina la bashite mgongoni bei 15000 unaletewa ulipo
Tunatengeneza mayatima wangapi kwa mama yule kufungwa halafu Bashite anadunda? Hivi yale mashirika ya haki za binadamu yako wapi mbona wanafumbia macho hizi double standard?kuna nesi kafungwa miaka 28 kwa kosa la kufoji vyeti ili apate ugali wa wanawe, je na huyo unamzungumziaje????? hebu jaribu kuvaa uhusika wa watoto wa huyu Mama.
kulia sio sababu ya kutuaminisha yeye hakununua na wala hatumii vyeti vya mtu mwingine, hatutaweza kukaa kimya hadi akiri kuwa anatumia vyeti visivyo vyake ambayo kisheria inajulikana ni makosa, na mtuhumiwa huwa anafungwa jela miaka saba.
Lazima watu wafahamu jela,polisi hakuna mwenyewe.....kama ulikuwa unaeaota wenzako na kuwambia tukutane central na kama wee syo msafi iko Siku na weee utaitwaa tu na ikiwezekana ukawekwa lokup....Huyu Bashite awe tu mpole ajipeleke central mwenyewe