DuhView attachment 477689 poza na ilo
Hatakiwi kuachwa kabisa huyu simbilisiBashite kawa mpole ka maji jeuri yote kumbe hana vyeti kawanyanyasa sana watu wenye vyeti vyao kama wanaishi Burundi leo yamemkuta watu wanasema tupotezee wakati kuna watu wamepoteza maisha kwa kuwa na vyeti feki halau mnanasema tumuache Bashite na nyodo zote zile HAPANA.
DahUnajua Hii Issue ni nyepesi sana, The same method aliyoitumia wakati wa kutaja majina.. Kwanini assiitumie Kuita waandishi wa habari akaonyesha vyeti... kama hakuna shida yoyote ile kwa nini asiite tu waandishi? Nakuhakikishia akifanya hivyo this wont last a week watu watakuwa wameshasahau kwamba kulikuwa na kitu kama hii.
Nasikia kuna mtu humu jf anauza t shirt za bashite,ajitokeze atuelekezeYesss sasa nimegundua mbinu hii kibiashara itaniinua!!!!!! Nanunua jina la Mr bashite af nalitumia kibiashara maana limepata umaarufu kama alivofanya yy kwa makonda
***** habak lazma ashuke![]()
![]()
![]()
Pigo 1 tu
YesUmeona eee
Wala hatuitaki kuijuaEfm inapatikana kawe beach jijini dar es salaam
Taarifa iwafikie wote wasio ifahamu
Wenyewe wanajiita mziki mnene
Nani huyo kama ni kwer afanye mpango maana mm ndo kwanza nafanya manunuzi ya jina then mengne badae ila Kama yupo kwer tuambizane bhanaNasikia kuna mtu humu jf anauza t shirt za bashite,ajitokeze atuelekeze
Hii fursa msiache ipite,mwenyewe hapa nataka kuprint
Ishu sio makonda, ishu ni kufoji ni kosa la jinai. Kuna watumishi walofoji nao wamefukuzwa kazi. Je wao wanakosa gani tofauti na bashite, after all kama ni kweli.Wakuu tumejadiri mengi kuhusu mheshimiwa huyo, binafsi naona itoshe sasa.
Tuseme imetosha kwa sababu yale machozi ya jana ni kauli ya kuomba msamaha kwa namna moja au nyingine.
Ukiona mwanaume aliyekuwa jasiri na mwenyewe nyodo na majibu ya fedheha na kudharirisha analia , tena analia mbele za watu ujue amejutia makosa yake.
Naomba tuachane na habari za Makonda kama Makonda. Tuendelee na mengine, jamani ameshajifunza somo kubwa sana ninaamini atabadirika sana.
Nawe Bwana Paulo Makonda Maumivu uliyoyapata kwa tukio hili ndiyo waliopata wale ulikuwa unawatukana na kuwadharirisha mbele ya kamera, Mungu amekuonjesha sehemu ndogo sana, acha kutukana na kudharirisha watu.
Nilikwambia siku moja kama unakumbuka kuwa cheo ni dhamana.
Familia ya marehem Kabwe inakutazama kama wewe ndiyo sababisho la yote yaliyomtokea baba yule.
Acha uongozi wa mihemko, tubu kwa wote uliowadharirisha, akiwemo ,manji, mbowe, Gwajima , wema na wengine.
Narudia kuwasihi tena wanajf wenzangu itoshe kuhusu huyu mtu jamani.
Wanaoniunga mkono kwa hili Mungu awabariki sana.
Msiyoniunga mkono niwaombe mjaribu kuvaa uhusika japo kwa dakika moja. Najua mkisha uvaa uhusika kwa dakika moja mtanielewa na kuniunga mkono.
Asanteni.
Kumbeeeee ndo mana wamekomaa sana kumbe kisa ngadaBosi wao naye ni miongoni waliomo kwenye Orodha...