E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

kuna nesi kafungwa miaka 28 kwa kosa la kufoji vyeti ili apate ugali wa wanawe, je na huyo unamzungumziaje????? hebu jaribu kuvaa uhusika wa watoto wa huyu Mama.

kulia sio sababu ya kutuaminisha yeye hakununua na wala hatumii vyeti vya mtu mwingine, hatutaweza kukaa kimya hadi akiri kuwa anatumia vyeti visivyo vyake ambayo kisheria inajulikana ni makosa, na mtuhumiwa huwa anafungwa jela miaka saba.

Unajua Hii Issue ni nyepesi sana, The same method aliyoitumia wakati wa kutaja majina.. Kwanini assiitumie Kuita waandishi wa habari akaonyesha vyeti... kama hakuna shida yoyote ile kwa nini asiite tu waandishi? Nakuhakikishia akifanya hivyo this wont last a week watu watakuwa wameshasahau kwamba kulikuwa na kitu kama hii.
 
Bashite kawa mpole ka maji jeuri yote kumbe hana vyeti kawanyanyasa sana watu wenye vyeti vyao kama wanaishi Burundi leo yamemkuta watu wanasema tupotezee wakati kuna watu wamepoteza maisha kwa kuwa na vyeti feki halau mnanasema tumuache Bashite na nyodo zote zile HAPANA.
Siku zote ukiwa na kasoro lazima ujihami
 
Alisema haogop kufa sasa hata ajafiywa analia mara haogop mbwa mwitu aende uko
 
Clouds walikua wanampango wa kumuhoji bashite, walibadili gia angani ama!!?
 
Yesss sasa nimegundua mbinu hii kibiashara itaniinua!!!!!! Nanunua jina la Mr bashite af nalitumia kibiashara maana limepata umaarufu kama alivofanya yy kwa makonda
 
Makonda kaanza kupigiwa kelele kitambo sana kuhusu elimu yake, alipaswa awe na busara hakuna mtu angegundua kama ana mapungufu.
 
Unapokubali upinzani alafu utaki kukosolewa maana Yake wewe ni dictator koz umekubal kuwalizisha wazungu moyoni mwako hakuko hivyo mpinzani kwa nchi za Africa anapewa jukum LA kupinga tu so kutawal anaonekana mi mkorofi tu MTU wa uchochez.wamejisahau kuwa wao ndy wanamfany mtawaliw kuwapinga kwa mienedo yao,
Hii aibu hiii,Mungu ndo anajua
 
Back
Top Bottom