E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

Tatizo hana nidhamu...ana kiburi na anafanya mambo kitoto toto sana hadi sometimes anajikuta mdogoake p magufuli,na mwaka huu atajuta sioni sababu inayomfanya asitoe vyeti vyake atoe vyeti hatutaki ujanja ujanja.
 
Dar es alaam sio mahala pa kuparamia, watanzania sio watu wa kuchezea mara zote, za mwizi 39 ikifika 40 umenaswa. Huyu araC atakuwa amejifunza tu, nasema atakuwa amenyooka. Siyo yeye tu hata wangne wenye majivu, kiburi, na majigambo. Mungu hadhihakiwi jamani. NARUDIA tena, atakuwa amejifunza tu... Kwamba Tanzania... haihitaji sana kiherehere...hasa wale wanajuwa kilipo .. kibao cha "KARIBU DAR ES ALAAM" watakuwa wanalielewa hili. Tunapiga vyote, tunapinga kwa nguvu zote biashara na matumizi ya madawa ya kulevya na Matumizi ya vyeti feki. Lakini kwa namna nyingne kuwa tunajifunza kutokata tamaa, jamaa amehaso sana, jamaa ameanza kitambo kusaka mafanikio, kama ingekuwa ni mv wa kukata tamb angeachana kabisa na kutafta mafanikio kupitia elimu ya kitini. Huyu kwa upande wa pili he is hero. Yaani lazima utambue kuwa bahati hufuta juhudi na c juhudi kufuata bahati. But yote kwa yote, tumepata funzo na kama ww bado hujapata funzo, njo Kolomije walimwengu wakufunze.
 
Naunga mkono hoja,jamani itoshe sasa hii ni too much! Tukilala Makonda tukiamka Bashite wengine mpaka tunaota tupo koromije! Loh! Emu kuweni na huruma hata kiduchu.
Tuki give up tutakua hatuna utofauti na yeye, operation zake zote hazifiki mwisho kutokana na kugive up au kutokua na msingi imara sasa sisi tutaenda nae taratibu kwa misngi imara huku hotuba ya bandarini kuhusi wenye vyeti feki ikiwa kama wimbo wetu kila asubuhi na jioni, kabla sijacoment nasikiliza kwanza ile hotuba ya bandarini.
 
Toba ya kweli ni kutubu na kuacha asijiite paul ajiite bshite tutajua ametubu kweli.Nataka kujiunga na ccm nabonyeza namba ngapingapi?
 
kuna nesi kafungwa miaka 28 kwa kosa la kufoji vyeti ili apate ugali wa wanawe, je na huyo unamzungumziaje????? hebu jaribu kuvaa uhusika wa watoto wa huyu Mama.

kulia sio sababu ya kutuaminisha yeye hakununua na wala hatumii vyeti vya mtu mwingine, hatutaweza kukaa kimya hadi akiri kuwa anatumia vyeti visivyo vyake ambayo kisheria inajulikana ni makosa, na mtuhumiwa huwa anafungwa jela miaka saba.
Kwahiyo ukiendelea kumjadiri hapa na yeye atafungwa? Au huyo nesi atafunguliwa?
 
[HASHTAG]#Barua[/HASHTAG] ya wazi kutoka [HASHTAG]#wananchi[/HASHTAG] wa Dar ES Salaam kwenda kwa [HASHTAG]#MkuuWaMkoa[/HASHTAG]....

Mh mkuu ulitukataza tusikeshe bar tukatii,ulitukataza tusile mirungi tukatii,ulituagiza tufanye usafi kila jmos tukatii,na mengine mengi...

Wewe tunakuomba [HASHTAG]#vyeti[/HASHTAG] vyako unaenda kulia kanisani kwani huko ndiyo sehemu ulipovihifadhi vikapotelea?
 
Hata tukiongea 24 hrs kuhusu Makonda hatutaletewa vyakula majumbani mwetu. Mleta mada uko sawa kabisa. Life has to go on, tufanye kazi na tuyaache ya Makonda.
Alete vyeti,kazi tunafanya na tunamkomalia
 
Back
Top Bottom