E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

Ila waliomkamata wamekosa ushahidi
 
Ujanja unamwsho wake
Rate race
Bashit mwenyewe mpigaji tangia akiwa uvchichiem....eti mtu anahifanya mzalendo anatembea na gari la mln 300 .....ofisini kwake katumiaa garama za mamilion toka mfukoni kwake.....sjui Ana Kenya magorofa.....sjui Ana apartment viva.....yaani serikali hii inayojifanya kijana matumizi lakini kuna wengine wanaishi na wanatumiaa kwa vitu garamaaa......
Eti bashit mzalendo......hao hao anaowakombatiaa ni wachafu......anachofanya ni sawa na kutaka kuwasafishia njiaa wengine
Viatu alivyopewa ni vikubwa mnooo.......kwake

Ova
 
Bashit mwenyewe mpigaji tangia akiwa uvchichiem....eti mtu anahifanya mzalendo anatembea na gari la mln 300 .....ofisini kwake katumiaa garama za mamilion toka mfukoni kwake.....sjui Ana Kenya magorofa.....sjui Ana apartment viva.....yaani serikali hii inayojifanya kijana matumizi lakini kuna wengine wanaishi na wanatumiaa kwa vitu garamaaa......
Eti bashit mzalendo......hao hao anaowakombatiaa ni wachafu......anachofanya ni sawa na kutaka kuwasafishia njiaa wengine
Viatu alivyopewa ni vikubwa mnooo.......kwake

Ova
Huyu Bashite awe tu mpole ajipeleke central mwenyewe
 
Hao ni washindani wa mawingu, na makonda anapendelea sana huko kwenye mawingu! Sehemu iliyobaki nakuachia ufikirie.
 
Back
Top Bottom