E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

E Fm mbona mnakomalia suala la Bashite hivyo?

Yaani sijaona kabisa tofauti ya Bashite na Hamorapa tena bora Hamorapa kiki zake zinamaana lakini Bashite kiki zake za kudhalilisha watu wengine sio kabisa
 
Wakuu tumejadiri mengi kuhusu mheshimiwa huyo, binafsi naona itoshe sasa.

Tuseme imetosha kwa sababu yale machozi ya jana ni kauli ya kuomba msamaha kwa namna moja au nyingine.

Ukiona mwanaume aliyekuwa jasiri na mwenyewe nyodo na majibu ya fedheha na kudharirisha analia , tena analia mbele za watu ujue amejutia makosa yake.

Naomba tuachane na habari za Makonda kama Makonda. Tuendelee na mengine, jamani ameshajifunza somo kubwa sana ninaamini atabadirika sana.

Nawe Bwana Paulo Makonda Maumivu uliyoyapata kwa tukio hili ndiyo waliopata wale ulikuwa unawatukana na kuwadharirisha mbele ya kamera, Mungu amekuonjesha sehemu ndogo sana, acha kutukana na kudharirisha watu.

Nilikwambia siku moja kama unakumbuka kuwa cheo ni dhamana.

Familia ya marehem Kabwe inakutazama kama wewe ndiyo sababisho la yote yaliyomtokea baba yule.

Acha uongozi wa mihemko, tubu kwa wote uliowadharirisha, akiwemo ,manji, mbowe, Gwajima , wema na wengine.

Narudia kuwasihi tena wanajf wenzangu itoshe kuhusu huyu mtu jamani.

Wanaoniunga mkono kwa hili Mungu awabariki sana.

Msiyoniunga mkono niwaombe mjaribu kuvaa uhusika japo kwa dakika moja. Najua mkisha uvaa uhusika kwa dakika moja mtanielewa na kuniunga mkono.
Asanteni.
Atimuliwe tu kama wenzake
 
Mara ya kwanza sikuilewa ile Cocacola Bashite nilipojua nilicheka sana tafadhali mwenye ile coca isiyokuwa na sukari ambayo kwa sasa ni maarufu kwa jina pendwa naomba aitupie.
Usijal
 
Tunatengeneza mayatima wangapi kwa mama yule kufungwa halafu Bashite anadunda? Hivi yale mashirika ya haki za binadamu yako wapi mbona wanafumbia macho hizi double standard?
Huyu jamaa ni zaidi ya pepo
 
Lazima watu wafahamu jela,polisi hakuna mwenyewe.....kama ulikuwa unaeaota wenzako na kuwambia tukutane central na kama wee syo msafi iko Siku na weee utaitwaa tu na ikiwezekana ukawekwa lokup....
Haiwezekani we kiongozi alafu unakuwaa na ukaribu na wafanyabiashara fulani eg gs--
Na wafanya biashara wauza nga--- eg njeki...
Hapo ni sawa na kuwataka kuwalinda watu fulani kwa kuwazima makundi fulani

Ova
Copied
 
Si ajabu anavyo kavitunza kabatini na mfukoni kachapika ile mbaya. Unakandia mtu aliyeko field kwa vitendo kisa una makaratasi umeyatunza kabatini!?
Muulize elimu ya Mwenyekiti wake uone atakavyotoa mapovu.
Mwenyekiti wa CDM kuna wakati aliacha kujiita Freeman Aikaeli Mbowe kwani mbona unachanganya mambo hivi leo hata Yesu akirudi Bashite ataitika jina lipi si atasahaulika huyu
 
Unataka akaonyeshe nini? labda ramani ya Koromije, cheti hana ana leaving tu, masomo yote amepata fafafa zote.
Zero yani,hivi kuna mkuu wa mkoa aliyewahi kupata zero?
 
Unajua Hii Issue ni nyepesi sana, The same method aliyoitumia wakati wa kutaja majina.. Kwanini assiitumie Kuita waandishi wa habari akaonyesha vyeti... kama hakuna shida yoyote ile kwa nini asiite tu waandishi? Nakuhakikishia akifanya hivyo this wont last a week watu watakuwa wameshasahau kwamba kulikuwa na kitu kama hii.

Dah
Km humu jf kuna mtu ana misifa tunaomba aache aisee

Kaka usiogope ukaacha changia mada kwa kujistukia, jiamini na acha siasa kwa kutafuta mambo ambayo hayapo.
 
Naunga mkono hoja,jamani itoshe sasa hii ni too much! Tukilala Makonda tukiamka Bashite wengine mpaka tunaota tupo koromije! Loh! Emu kuweni na huruma hata kiduchu.
asee bado mpaka tuskie yuko magereza kama wananchi wengine walio foji vyeti...sheria ingekua na huruma hata scorpion angekua nje sasahvi kwa kulia tu
 
Wakuu tumejadiri mengi kuhusu mheshimiwa huyo, binafsi naona itoshe sasa.

Tuseme imetosha kwa sababu yale machozi ya jana ni kauli ya kuomba msamaha kwa namna moja au nyingine.

Ukiona mwanaume aliyekuwa jasiri na mwenyewe nyodo na majibu ya fedheha na kudharirisha analia , tena analia mbele za watu ujue amejutia makosa yake.

Naomba tuachane na habari za Makonda kama Makonda. Tuendelee na mengine, jamani ameshajifunza somo kubwa sana ninaamini atabadirika sana.

Nawe Bwana Paulo Makonda Maumivu uliyoyapata kwa tukio hili ndiyo waliopata wale ulikuwa unawatukana na kuwadharirisha mbele ya kamera, Mungu amekuonjesha sehemu ndogo sana, acha kutukana na kudharirisha watu.

Nilikwambia siku moja kama unakumbuka kuwa cheo ni dhamana.

Familia ya marehem Kabwe inakutazama kama wewe ndiyo sababisho la yote yaliyomtokea baba yule.

Acha uongozi wa mihemko, tubu kwa wote uliowadharirisha, akiwemo ,manji, mbowe, Gwajima , wema na wengine.

Narudia kuwasihi tena wanajf wenzangu itoshe kuhusu huyu mtu jamani.

Wanaoniunga mkono kwa hili Mungu awabariki sana.

Msiyoniunga mkono niwaombe mjaribu kuvaa uhusika japo kwa dakika moja. Najua mkisha uvaa uhusika kwa dakika moja mtanielewa na kuniunga mkono.
Asanteni.
Umeeleweka sana mkuu ila naomba nikukumbushe kuwa kwa imani ya dhehebu analoamini mkuu Bashite ni kuwa kitabu kinacho waongoza kina sema mshahara wa dhambi ni mauti.

Kwahiyo tunachokitaka kwasababu aliwatendea dhambi wengine lazima na yeye apoteee!


Twende kazi Bashite kupona kwako lazima lete vyetiiii.
 
Back
Top Bottom