'The FBI is Trumpland': anti-Clinton atmosphere spurred leaks, sources say
“The FBI is Trumpland,” said one current agent.
The currently serving FBI agent said Clinton is “the antichrist personified to a large swath of FBI personnel,” and that “the reason why they’re leaking is they’re pro-Trump.”
There are ties between Trump surrogate Rudy Giuliani, the former New York mayor, and the FBI’s New York field office, which reportedly pressed the FBI to revisit the Clinton server investigation after beginning an inquiry into Weiner’s alleged sexual texting with a minor.
Yako mengi nyuma ya pazia.
Mkuu habari hii sasa imepata nguvu.
Rudi Gillian alihojiwa na Fox News siku 13 zilizopita na kusema 'something big is coming, we can go down without a fight' alipoulizwa ana maana gani akasema 'just wait'
Leo amehojiwa na Wolf Blitzer wa CNN. Kwanza amekiri kuwa aliongea na rafiki zake wa FBI wa zamani waliomweleza kutoridhishwa na maamuzi ya Comey ya July.
Halafu akasema habari nyingi alizosoma magazeti na hakuwa na knowledge
Guliian akasema alipoulizwa na fox na kusema kuna jambo linakuja alimaanisa matangazo ya kushtukiza. Wolf akamuuliza, wakati anahojiwa na radio Waltson alisema ameambiwa na active FBI member. Gullian akasema kama alisema hivyo alikosea
Wolf akamzungusha tena kwa kumuuuliza kama aliongea na wastaafu wa FBI, Gullian akasema ndiyo hao ni rafiki zake wa zamani aliofanya nao kazi.
Wolf akamuuliza, hivi hao si wamekula kiapo cha kutoa toa siri maisha yao yote ilikuwaje wakamwambia yaye. Gullian akakwepa na kusema hawakuongea na wastaafu
Hii inakuja baada viongozi wawili wa Dmeiocrat kumwandikia inspector wa FBI kuchungua leak ya habari hizo kabla Comey hajazitoa.
Kwa mtazamo huo, Gullian anaonekana kujua nini kinaendelea. Tatizo ni kuwa uchunguzi ukifanyika ima utamwekea mahali pagumu au utawaweka FBI wastaafu mahali pagumu
KURA ZA MAONI
Kura za maoni zinaonyesha mabadiliko.
New Hampshire imetoka lean Dem na sasa ni toss up
Utah imetoka toss up na sasa ni lean Republican. Arizona ni lean Republican
Kwa mujibu wa CNN hadi sasa Clinton ana electoral vote 268, s shy of 270. Donald Trump ana 204, 64 shy of 270.
Kwa mtazamo huo, Trump anatakiwa kushinda Ohio, Florida, NC, New Hampshire, Iowa , Nevada na Colarado ili kufikisha 268.
Kura mbili zitapatikana kwa state of maine na Nabraska.
State hizi hazitoi electoral vote kwa winner take all bali kwa congressional district
Congressiona district zina maana wanagawanya viti kutokana na nani kashinda kwa wingi eneo gani. Hapo kuna possibility ya kupata 2 na kufanya 270
Kwa upande wa Clinton anachotakiwa ni kushinda state moja tu hata yenye lectral vote chache kama New Hampshire. Ndio maana team ya Clinton imegawanyika, North Carolina, NH na Florida
HABARI ZA KUVURUGA UCHAGUZI
Kuna taarifa za serikali ya Marekani kuwa Russia itafanya hacking ya system za uchaguzi
Hili ni ku undermine uchaguzi wa Marekani na kuthibitisha kauli ya uchaguzi ni rigged
Vyombo vingi vya habari vinaonyesha wasi wasi na azma ya Russia ya kuingilia uchaguzi
Concern hii inatokana na WikiLeaks, kuna msemo wa kiingereza unosema 'Chicken are coming home to roost'
Tunafuatilia zaidi