Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,270
- 24,267
Jifunze kusoma mtiririko wa post vizuri, ndio ukoment.Mnakuja jukwaa hili kufanya nini kama uwezo wa kuchangia ni mdogo,kwanini usikae kimya tu na kuwa msomaji zaidi ili ujifunze kwa wengine.Unatia aibu,rudi kwenye Jukwaa la siasa ukachangie kwa style hiyo ya vijimaswali vya "unalipwa shilingi ngapi?" Huku waachie real GT .
Umedandia treni kwa mbele, ona unavyojidhalilisha sasa!
unajua maana ya propaganda lakini?