Yeah lipo ndo maana unaona hata polls zinazofanywa ni kwa kundi hilo. Hata kampeni hizi za lala salama ni kwa ajili ya kundi hilo. Wafuasi wao hawahitaji kushawishiwa tena kwa kipindi hiki..!!Hivi kweli hadi sasa kuna kundi la "Undecided Voters"?
Mkuu suala la kupata tabu linatoka wapi?Mkuu nguruvi3 me nashangaa unapata shida ya nn hapa..! James comey yuko sahihi kwa sababu bi clinton akipatikana na makosa,kosa lake ni la kijinai. Hiyo sheria ya hatch act ingawa sijaisoma lkn kwa vyovyote haiwezi kuzuia makosa ya kijinai kuchunguzwa hata km ni ndani ya siku 60 zilizotajwa.
Lkn lingine mkuu Nguruvi3 HC hatakiwi marekani, hili limefanyika ili kupunguza hayo makali yake ili iwe Rahisi kwa trump kushinda bila mizengwe! National poll kwa sasa ni :Clinton 46%+1 na trump 45. Mpaka jtano naamini trump ataongoza mpaka siku ya uchaguzi yenyewe!!!
Yes NY times wameandika kuhusu Taj Mahal na NY Plaza..kuna ukweli wowote kwamba Tax records za Donald Trump zimevujishwa?
Juzi FBI walitoa habari za Baba yake Trump na leo wametoa zinazomhusu Billy Clinton 2001..ila huyu Comey kamharibia sana Hillary Clinton.
..Comey has basically thrown a lifeline to Donald Trump.
..halafu nimesikia kwamba nafasi( Dir FBI) yake ni ya mkataba wa miaka 10. Kwa hiyo hata kama Hillary atashinda huyu bwana ataendelea kutumikia kama Dir wa FBI.
Mnakuja jukwaa hili kufanya nini kama uwezo wa kuchangia ni mdogo,kwanini usikae kimya tu na kuwa msomaji zaidi ili ujifunze kwa wengine.Unatia aibu,rudi kwenye Jukwaa la siasa ukachangie kwa style hiyo ya vijimaswali vya "unalipwa shilingi ngapi?" Huku waachie real GT .Hii kashfa ya emai ya Hillary Clinton ina impact kubwa sana hvyo usijaribu kumtetea hata kidogo, maana ninajua kabisa wewe unampigia kampeni HC mitandaoni.
Japo unajifanya mchambuzi lakini hauko fair
Swali;
Hivi unalipwa sh. Ngapi na HC?