Dunia yashangazwa na kubadilika ghafla kwa Rais Samia kutoka kuwa mtenda haki na kuanza uonevu

Samia hajabadilika,Kaacha utawala wa sheria ufanye kaZi yake... Kaacha mahakama na polisi na usalama kufanya kaZi

Kesi ikiisha ataheshimu maamuzi, Ndicho tulichokua tunataka... Sasa akiingilia Leo kesho la polisi tutakua tunamsaidia?

Inakua vipi Leo chadema mnataka Samia aingilie mahakama? Tulieni, kama ya mdude alishinda kesi bila, akina mbowe wakarudishiwa pesa zao, simply because mama alitaka haki itendeke, iweje Leo mnataka aingilie watu walewale waliowapa haki just a few weeks ago? Mimi nadhani tusubiri Tu kesi hii kama zilivyo nyingine na maamuzi yatatoka... Hata wale uamsho wanashukuru mama kuheshimu mahakama...

Pia mbowe asome alama za nyakati - sio kila publicity inamjenga, this one imemchonganishaa zaidi na wananchi wa kawaida... The drama he created was unnecessary
Ikiwa sio kweli mtamlipa fidia na kumsafisha kuwa sio gaidi?
 
Wanasiasa ni wa ajabu Sana.
Wakisema polisi msiwabambikie kesi watu, kumbe kinyume chake ni bambikia zaidi.

Viongozi wetu wanakwama wapi
 
Ukon uchi? Ndio Miafrika yenyewe ndio kazi kushitaki kwa wazungu.
Nenda twiter huko utajua.
Hebu jiulize Great Britain, imeitawala kwa nguvu Scot, mbona hatusikii hizi kelele za kutaka demokrasia?

TBC na CHANNEL 10 si zipo...?

Zipeni kazi kusema haya unayoyajua ili dunia ielewe kuwa Uingereza inaitawala Uskochi kwa nguvu...

Nimekustahi tu ndugu yangu. Lengo langu ilikuwa nikuambie kuwa, huna lolote uñalolijua juu ya United Kingdom i.e Scotland, Wales, England na Northern Ireland...

Ficha ujinga wako. Nyamaza. Usiandike kabisa au soma/fanya research kwanza kabla ya kuandika...
 
Lakini hizo ngebe za Mbowe hatukuziona wakati wa JPM,au unataka kusema swala la katiba ndo limeanza hivi karibuni baada ya SSH kushika hatamu?

Kwa mtu yeyote mwenye akili atangundua kwamba,CDM walitaka kujaribu kina cha maji.SSH amewajibu vyema kama mnavyostahili.

Ni sisi wapinzani wenyewe tutaweza kujitetea, kwa sasa ccm wamepoteza ushawishi kwa umma, hivyo wamejishika na vyombo vya dola ili kuendelea kututawala kwa shuruti. Namna pekee ni sisi wapinzani kugoma kushirikiana na wanaccm.

Hakuna kushiriki msiba wala sherehe ama hafla yoyote ya mwanaccm, hakuna kununua chochote kwenye biashara ya mwanaccm, ama hata kupakia vyombo vyao vya usafiri labda iwe lazima sana. Tusiogope kuhamashana kwenye hili. Kwa vyovyote mbinu hii itamgusa kila mtanzania. Kwenye nyumba za ibada hakuna kutoa sadaka, na kuwaambia viongozi wa dini wanakalia kimya uovu. Mbinu hii haitatuacha na vilema wala kubambikiwa kesi, kutekwa ama kuuwawa. Mbinu hii ilitumiwa Zanzibar na ilifanya kazi.

Madai ya katiba mpya ni ya halali, kwanini wezi wa kura wasio na ushawishi waendelee kututesa na kutuumiza kwa madai yetu halali? Ni juu yetu wapinzani kujiokoa.
 
Tatizo umetengeneza picha kichwani kwako dunia inajali sana viongozi wastaarabu kitu ambacho si kweli. Museveni, Kagame na Magufuli wote wana tabia zinazofanana lakini ni wapi uliwahi kusikia wameadhibiwa kwa tabia zao za hovyo. Tigray (TPLF) wa Ethiopia ni kundi la kigaidi lakini ni mshirika wa Marekani wapi umewahi kusikia wanaandikwa vibaya kwenye vyombo ya kimataifa.

Je Marekani inaonekana kituko kwa kuendelea kumshikilia Julian Assange Uingereza kwa kesi za kubumba. Hakuna anaeguswa na kinachoendelea Tanzania labda Mama akosee hesabu kwa wakubwa wa dunia hii ndio ataundiwa zengwe.

Dunia iliyostaarabika haiwataki viongozi wastaarabu wasio na maslahi kwa wakubwa (Evo Morales wa Bolivia).

Ni sisi wapinzani wenyewe tutaweza kujitetea, kwa sasa ccm wamepoteza ushawishi kwa umma, hivyo wamejishika na vyombo vya dola ili kuendelea kututawala kwa shuruti. Namna pekee ni sisi wapinzani kugoma kushirikiana na wanaccm.

Hakuna kushiriki msiba wala sherehe ama hafla yoyote ya mwanaccm, hakuna kununua chochote kwenye biashara ya mwanaccm, ama hata kupakia vyombo vyao vya usafiri labda iwe lazima sana. Tusiogope kuhamashana kwenye hili. Kwa vyovyote mbinu hii itamgusa kila mtanzania. Kwenye nyumba za ibada hakuna kutoa sadaka, na kuwaambia viongozi wa dini wanakalia kimya uovu. Mbinu hii haitatuacha na vilema wala kubambikiwa kesi, kutekwa ama kuuwawa. Mbinu hii ilitumiwa Zanzibar na ilifanya kazi.

Madai ya katiba mpya ni ya halali, kwanini wezi wa kura wasio na ushawishi waendelee kututesa na kutuumiza kwa madai yetu halali? Ni juu yetu wapinzani kujiokoa.
 
Wana best intelligence inayowapa up to date information ya kinachojiri.

Samia anaanza kuonekana kituko mbele ya Dunia iliyostaarabika, Sijui nani alimdanganya avunje kiapo chake cha kutenda haki bila kuonea!
Wapo washauri wake ambao wanataka vyeo wanajua njia rahisi ya kuvuna vyeo ama kudumu kwenye cheo ni kuwaonea kuwabambikia kesi wapinzani
 
Huo ni mkakati wa ndugai na mwigulu kumuhujumu mama

Aisee mheshimiwa rais suala la tozo unahujumiwa!!!


Mama nataka nikuambia mwigulu na ndugai wanafanya kusudi na kutoa matamko mabaya kuhusu tozo kwa maksudi tu ili wakuhujumu

Mama umesahau kuwa mwigulu na ndugai ni lile genge la S?

Mama naskia hata kukamatwa kwa mbowe ni maagizo ya ndugai....mama haya yanafanyika kupitia mgongo fulani ili kukuchezea shere yaani wanakuhujumu kupitia haya

Lengo lao ni hili ushindwe mapema wamuingize mtu wao madarakani

Mama naamini huwezi kuamuru mbowe afanyiwe vile mama najua hukuamuru tozo mama shtuka mapema....mama hao mawaziri wa mwendazake uliowarithi ni hatari sana.......

Unapaswa ung'amue hili mapema......unahujumiwa kwa maksudi kwa kutumia akili kubwa ili uchukiwe na wananchi huku wao wakijua wanaucheza mchezo kukuharibia
 
Samia hajabadilika,Kaacha utawala wa sheria ufanye kaZi yake... Kaacha mahakama na polisi na usalama kufanya kaZi

Kesi ikiisha ataheshimu maamuzi, Ndicho tulichokua tunataka... Sasa akiingilia Leo kesho la polisi tutakua tunamsaidia?

Inakua vipi Leo chadema mnataka Samia aingilie mahakama? Tulieni, kama ya mdude alishinda kesi bila, akina mbowe wakarudishiwa pesa zao, simply because mama alitaka haki itendeke, iweje Leo mnataka aingilie watu walewale waliowapa haki just a few weeks ago? Mimi nadhani tusubiri Tu kesi hii kama zilivyo nyingine na maamuzi yatatoka... Hata wale uamsho wanashukuru mama kuheshimu mahakama...

Pia mbowe asome alama za nyakati - sio kila publicity inamjenga, this one imemchonganishaa zaidi na wananchi wa kawaida... The drama he created was unnecessary
Inamchonganisha kudai katiba kupitia makongamano ?!. Ulitaka wadai kwa mtutu ?!

Lumumba , akili ziko wapi ?
 
Ukon uchi? Ndio Miafrika yenyewe ndio kazi kushitaki kwa wazungu.
Nenda twiter huko utajua.
Hebu jiulize Great Britain, imeitawala kwa nguvu Scot, mbona hatusikii hizi kelele za kutaka demokrasia?
Hata msiojua kitu sasa mnajifanya wajuaji juu ya mambo ya "Great Britain na Scotland"!Huo ndio ujuha mkubwa sana unaoliandama taifa letu sasa hivi, kiasi cha kiongozi wa nchi kudhani sala zake yeye ni muhimu zaidi kuweza kuzuia ugonjwa unaosambaa duniani kwa kasi.

Hawa ndio watu waliowashikia waTanzania mitutu ya bunduki vichwani ili wasiweze kuhoji chochote na kutafuta haki zao.

Eti unaitwa nani? 'Omulasil'? Ni jana au juzi tu nimekutana nawe humu humu JF na mawazo ya ajabu ajabu na kukupa taarifa,... kumbe ndiyo tabia yako hii ya kujitia unajua jambo kumbe huna unalojuwa juu yake. Unatumia tu udanganyifu kuhadaa wajinga wenzio humu JF?
 
Msiwasobokee sana wazungu na wao wana matatizo makubwa sana kwenye nchi zao sema tu wezetu wana uzalendosama hawaweki kila kitu kwemye midia
 
Samia hajabadilika,Kaacha utawala wa sheria ufanye kaZi yake... Kaacha mahakama na polisi na usalama kufanya kaZi

Kesi ikiisha ataheshimu maamuzi, Ndicho tulichokua tunataka... Sasa akiingilia Leo kesho la polisi tutakua tunamsaidia?

Inakua vipi Leo chadema mnataka Samia aingilie mahakama? Tulieni, kama ya mdude alishinda kesi bila, akina mbowe wakarudishiwa pesa zao, simply because mama alitaka haki itendeke, iweje Leo mnataka aingilie watu walewale waliowapa haki just a few weeks ago? Mimi nadhani tusubiri Tu kesi hii kama zilivyo nyingine na maamuzi yatatoka... Hata wale uamsho wanashukuru mama kuheshimu mahakama...

Pia mbowe asome alama za nyakati - sio kila publicity inamjenga, this one imemchonganishaa zaidi na wananchi wa kawaida... The drama he created was unnecessary
Ni kweli
JamiiForums-1797793390.jpg
 
Samia hajabadilika,Kaacha utawala wa sheria ufanye kaZi yake... Kaacha mahakama na polisi na usalama kufanya kaZi

Kesi ikiisha ataheshimu maamuzi, Ndicho tulichokua tunataka... Sasa akiingilia Leo kesho la polisi tutakua tunamsaidia?

Inakua vipi Leo chadema mnataka Samia aingilie mahakama? Tulieni, kama ya mdude alishinda kesi bila, akina mbowe wakarudishiwa pesa zao, simply because mama alitaka haki itendeke, iweje Leo mnataka aingilie watu walewale waliowapa haki just a few weeks ago? Mimi nadhani tusubiri Tu kesi hii kama zilivyo nyingine na maamuzi yatatoka... Hata wale uamsho wanashukuru mama kuheshimu mahakama...

Pia mbowe asome alama za nyakati - sio kila publicity inamjenga, this one imemchonganishaa zaidi na wananchi wa kawaida... The drama he created was unnecessary
Kudai katiba ni kosa??
 
Back
Top Bottom