Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Na sasa Mbowe anataka huruma ya Mama.Nafikiri hotuba ya SSH ilijieleza vya kutosha juu ya swala la katiba, yeye aliwaomba kistaarabu kabisa kuwa mmpe muda kidogo Ili amalize shughuli zinazomkabili Ili akimaliza ageukie swala la katiba.
Kiongozi wenu akaotisha kongamano na kumjibu kwa ngebe kuwa hawezi kumpa muda Rais,yeye kama nani? Ile miaka mitano ya JPM alikuwa wapi mbona hakuwahi kumjibu hivyo licha ya JPM kutangaza wazi kuwa hataki kusikia swala la katiba? Leo hii huyu aliekubali ndo amjibu hivyo?
Kivyovyote vile mbowe alimdharau saana SSH.
Akae kwa kutulia, rais ana kazi nyingi sana