Dunia itasemaje huyu jamaa akishika madaraka nchini Haiti

Ulitaka umuone jamaa ndani ya suti km mzungu ndio umuone anafaa kuwa kiongozi?
Hili ni tatizo kubwa kwetu sisi weusi kujadili mtu kutokana na mavazi au muonekano.
Hawa wakwetu huku wanaovaa suti wananini cha ziada zaidi ya rushwa na kuuza uhuru wetu kwa wenye pesa?
Yani Mimi Nikiona kiongozi wa Tanzania kavaa suti tu namuona fisadi
 
Back
Top Bottom