GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,197
- 110,665
Kwahiyo unadhani labda Mimi ni MPIGA MLUZI kama Wewe?Yan kama mwanaume vile
Kwahiyo unadhani labda Mimi ni MPIGA MLUZI kama Wewe?Yan kama mwanaume vile
Yani Mimi Nikiona kiongozi wa Tanzania kavaa suti tu namuona fisadiUlitaka umuone jamaa ndani ya suti km mzungu ndio umuone anafaa kuwa kiongozi?
Hili ni tatizo kubwa kwetu sisi weusi kujadili mtu kutokana na mavazi au muonekano.
Hawa wakwetu huku wanaovaa suti wananini cha ziada zaidi ya rushwa na kuuza uhuru wetu kwa wenye pesa?