haiti

Haiti ( (listen); Haitian Creole: Ayiti [ajiti]); French: Haïti [a.iti]; officially the Republic of Haiti (French: République d'Haïti; Haitian Creole: Repiblik d Ayiti) and formerly known as Hayti, is a country located on the island of Hispaniola in the Greater Antilles archipelago of the Caribbean Sea, to the east of Cuba and Jamaica and south of The Bahamas and the Turks and Caicos Islands. It occupies the western three-eighths of the island which it shares with the Dominican Republic. To its south-west lies the small island of Navassa Island, which is claimed by Haiti but is disputed as a United States territory under federal administration. Haiti is 27,750 square kilometers (10,714 sq mi) in size, the third largest country in the Caribbean by area, and has an estimated population of 11.4 million, making it the most populous country in the Caribbean.
The island was originally inhabited by the indigenous Taíno people, who originated in South America. The first Europeans arrived on 5 December 1492 during the first voyage of Christopher Columbus, who initially believed he had found India or China. Columbus subsequently founded the first European settlement in the Americas, La Navidad, on what is now the northeastern coast of Haiti. The island was claimed by Spain and named La Española, forming part of the Spanish Empire until the early 17th century. However, competing claims and settlements by the French led to the western portion of the island being ceded to France in 1697, which was subsequently named Saint-Domingue. French colonists established lucrative sugarcane plantations, worked by vast numbers of slaves brought from Africa, which made the colony one of the richest in the world.
In the midst of the French Revolution (1789–99), slaves and free people of color launched the Haitian Revolution (1791–1804), led by a former slave and the first black general of the French Army, Toussaint Louverture. After 12 years of conflict, Napoleon Bonaparte's forces were defeated by Louverture's successor, Jean-Jacques Dessalines (later Emperor Jacques I), who declared Haiti's sovereignty on 1 January 1804—the first independent nation of Latin America and the Caribbean, the second republic in the Americas, the first country to abolish slavery, and the only state in history established by a successful slave revolt. Apart from Alexandre Pétion, the first President of the Republic, all of Haiti's first leaders were former slaves. After a brief period in which the country was split in two, President Jean-Pierre Boyer united the country and then attempted to bring the whole of Hispaniola under Haitian control, precipitating a long series of wars that ended in the 1870s when Haiti formally recognized the independence of the Dominican Republic.
Haiti's first century of independence was characterized by political instability, ostracism by the international community and the payment of a crippling debt to France. Political volatility and foreign economic influence in the country prompted the U.S. to occupy the country from 1915 to 1934. Following a series of short-lived presidencies, François 'Papa Doc' Duvalier took power in 1956, ushering in a long period of autocratic rule that was continued by his son Jean-Claude 'Baby Doc' Duvalier that lasted until 1986; the period was characterized by state-sanctioned violence against the opposition and civilians, corruption, and economic stagnation. After 1986, Haiti began attempting to establish a more democratic political system. However, contested elections and unrest led to the assassination of President Jovenel Moïse in 2021.
Haiti is a founding member of the United Nations, Organization of American States (OAS), Association of Caribbean States, and the International Francophonie Organisation. In addition to CARICOM, it is a member of the International Monetary Fund, World Trade Organization, and the Community of Latin American and Caribbean States. Historically poor and politically unstable, Haiti has the lowest Human Development Index in the Americas. Since the turn of the 21st century, the country has endured a coup d'état, which prompted a U.N. intervention, as well as a catastrophic earthquake that killed over 250,000.

View More On Wikipedia.org
  1. figganigga

    Rais Samia, tusifukie Mahindi na Maharage ya Marekani, naomba tuyapeleke Haiti

    Kuna Mahindi ambayo Marekani imetoa msaada kwa Tanzania. Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kawa na wasiwasi nayo. Amedai yamewekewa Virutubisho ambavyo havijulikani. Pia Waziri kasema Tanzania tuna Mahindi mengi hayana Soko, hivyo wangetumia mahindi yetu na kuweka Virutubisho Watanzania wakiwa...
  2. 6 Pack

    Maswali yangu kadhaa kwa wataalam wa mambo ya ulinzi na diplomasia kuhusu kinachoendelea huko Haiti

    Niaje waungwana, Leo ningependa kupata majibu kutoka kwa wajuzi wa mambo ya kidiplomasia, kuhusu kile kinachoendelea huko kwa ndugu zetu wa Haiti. Kwanza nafahamu kwamba baada ya uhuru, kila nchi huwa na uongozi (serikali) ambayo chini yake kuna vyombo mbali mbali vya ulinzi na usalama kwa...
  3. Suley2019

    Waziri Mkuu wa Haiti Ariel Henry ajiuzulu

    Waziri Mkuu wa Haiti, Ariel Henry amejiuzulu wadhifa wake baada ya shinikizo la wiki kadhaa. Shinikizo hilo limesababisha ghasia kufuatia mzozo wa kisiasa na kiuchumi, uliopelekea kuibuka kwa makundi yenye silaha yanayochochea machafuko. Henry kwa sasa yuko Puerto Rico, baada ndege iliyombeba...
  4. BARD AI

    Waziri Mkuu wa Haiti ajiuzulu baada ya Makundi ya Uhalifu kumshinikiza aachie madaraka kabla ya kurejea nchini humo

    HAITI: Waziri Mkuu Ariel Henry amekubali kujiuzulu baada ya kuwepo shinikikizo la Makundi ya Uhalifu yaliyomtaka kuachia madaraka kwa hiari kabla ya kurejea nchini humo kutoka Puerto Rico alikofikia wakati akirejea kutoka nchini Kenya. Henry alichukua nafasi hiyo mwaka 2021 baada ya Rais...
  5. Maghayo

    Haiti inahitaji sasa hivi kama Kagame

    Mzuka wanajamvi! Haiti inahitaji kiongozi kama Paul Kagame wa Rwanda. Mkali strict katili na dikteta. Ambaye akitawala alete hofu, nidhamu na utii wa sheria. Kukiwa na utawala kama huu niliulezea kwenye hii nchi baada ya miaka kumi Haiti itakuwa kama Rwanda. Upuuzi unaendelea Haiti...
  6. Mto Songwe

    Hivi watu weusi duniani kote tuna matatizo? Haiti ina miaka zaidi ya 200 ya uhuru lakini maendeleo haifikii South Korea

    Hivi watu weusi dunia kote tuna matatizo nini? Inashangaza taifa la Haiti lililo huru kwa zaidi ya miaka 200 iliyopita toka miaka ya 1700s huko linazidiwa maendeleo na South Korea iliyo huru baada ya vita vya pili vya dunia miaka ya 1948 na iliyo ingia vita vya wenyewe kwa zaidi ya miaka...
  7. Lady Whistledown

    Serikali ya Haiti yatangaza hali ya Hatari na Marufuku ya Kutoka Nje Usiku

    Serikali imetangaza hali ya dharura na amri ya kukaa ndani (kuanzia Saa 12 Jioni - 11 Asubuhi) hadi Machi 6, 2024 kwa Wakazi wa eneo la Ouest linalojumuisha Mji Mkuu katika jitihada za kukabiliana vurugu kwenye Magereza Mawili zilizowawezesha Maelfu ya wafungwa kutoroka Machi 3, 2024 Vurugu...
  8. Kijakazi

    Kenya forces after a Haiti, who is next?

    Kenya military forces itaongoza UN kuivamia nchi ya Haiti ambayo tangia assasination wa raisi wao Jovenal Moise aliyegomea corona vax na lockdown haijaonja amani na utulivu. Kenya inatumiwa na USA kuivamia Haiti, na hii itakuwa ni game changer, kwenye eneo letu, west afrika wana ecowas ambayo...
  9. JanguKamaJangu

    Mahakama Kuu ya Kenya yaizuia Serikali kupeleka Askari kupambana na magenge Nchini Haiti

    Mahakama Kuu ya Kenya imezuia Serikali kupeleka Askari kupambana na magenge Nchini Haiti Mahakama imeeleza kuwa hatua ya kupeleka Askari Polisi ni kinyume cha Sheria kwa vile Baraza la Usalama la Kitaifa halina mamlaka ya kisheria ya kutuma Polisi nje ya Kenya bali linaweza kupeleka Wanajeshi...
  10. BARD AI

    Bunge la Kenya laidhinisha Polisi kutumwa nchini Haiti

    Bunge la Kenya limeidhinisha kutuma kikosi cha maafisa wa polisi kusaidia kuzima ghasia za magenge nchini Haiti, licha ya amri ya mahakama inayozuia kutumwa kwa maafisa hao kusubiri kusikizwa kwa kesi. Uamuzi wa wabunge hao ulikuja siku ya Alhamisi, mara tu mahakama ilipokuwa ikisikiliza ombi...
  11. N

    Wakati Mahakama na Bunge nchini Tanzania zikiwekwa mfukoni na CCM, huko nchini Kenya Mahakama kuu imezuia Polisi wa nchi hio kutumwa nchini Haiti.

    Mahakama kuu ya Kenya angalau imeonesha uhuru wa kufanya maamuzi pasipo kuingiliwa na serikali katika kufanya maamuzi yake tofauti kabisa na hali iliopo kwa jirani yake Tanzania kwa kuzuia kwa muda kutumwa kwa maafisa wa polisi nchini Haiti kufuatia pingamizi/ombi lililowasilishwa na chama cha...
  12. Kijakazi

    Ruto to deploy Kenyan troops to Haiti, do you see parallels?

    Haya as if Kenya hakuna gangs, US funded and trained Kenyan troops zitatumwa Haiti eti kuzuia uhalifu, ikumbukwe tangia raisi wa watu wa Haiti auliwe Ikulu na so called gangs Haiti haijatulia na inashutumu CIA kuhusika, sasa US an fund Kenyan forces to be deployed in Haiti, Haitian are blacks...
  13. BARD AI

    Haiti: Serikali yaomba msaada wa kijeshi kukabili maandamano ya kupinga utawala

    Ombi hilo limesainiwa na Waziri Mkuu Ariel Henry kwenda Jumuiya za Kimataifa linaeleza kuwa nchi inakabiliwa na hatari ya mgogoro mkubwa wa kibinadamu na hivyo inahitaji msaada wa haraka kudhibiti uhalifu wa magenge yenye silaha. Tayari Ubalozi wa Marekani umesema Serikali yao haiwezi kwasasa...
  14. JanguKamaJangu

    Haiti: Waandishi wauawa kwa risasi wakiwa kazini, miili yao yachomwa moto

    Waandishi wa Habari wawili wameuawa kwa kupigwa risasi kisha miili yao kuchomwa moto na wahalifu katika Mji wa Cite Soleil wakati wakiripoti matukio ya vurugu yanayofanywa na makundi ya kihalifu. Mji huo umekuwa na matukio hayo, makundi tofauti yanapigana ili kutawala, hali inayolalamikiwa na...
  15. BARD AI

    Marekani kupeleka Haiti msaada wa Tsh. Bilioni 11.6

    Msaada huo umetengwa kutoka kwenye Mfuko Mkuu wa Dharura (CERF), ili kushughulilkia hali mbaya ya Chakula nchini humo inayosababishwa na ghasia za magenge ya waasi Ripoti ya Mashirika ya Misaada ya Umoja wa Mataifa imeonesha tangu mwezi Julai 2022, takriban watu 500 wameuawa katika mapambano...
  16. JanguKamaJangu

    Wakimbizi 17 wa Haiti wafariki baada ya mashua kuzama

    Wakimbizi 17 wa Haiti wamefariki Dunia baada ya mashua waliyokuwa wakiitumia kuzama kwenye maji huku wengine wengi wakiwa hawajulikani walipo. Walikuwa njiani kuelekea Miami Nchini Marekani kupitia Bahamas, sababu ya kukimbia Nchi yao zikitajwa kuwa ni umasikini na vurugu za wahalifu. Kikosi...
  17. JanguKamaJangu

    Mamia ya Watoto Haiti wahifadhiwa shuleni kukwepa machafuko ya wahalifu

    Mamia ya Watoto Nchini Haiti wamehifadhiwa katika shule mbalimbali Jijini Port-au-Prince baada ya kutokea kwa machafuko ya mapigano ya wahalifu ndani ya mwezi huu Julai 2022. Wengi wa watoto wanalala kwenye madarasa na asilimia kubwa ya Watoto hao wametengana na wazazi wao. Vurugu hizo...
  18. Lady Whistledown

    Umoja wa Mataifa waonya watoto kuajiriwa katika magenge ya kihalifu nchini Haiti

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji wa haki za watoto kwa kuajiriwa na magenge ya kihalifu, huku ghasia zinazoongezeka katika mji mkuu wa #Port-au-Prince, zikisabisha vifo vya makumi ya raia na zikiwalazimisha maelfu ya watu kuyahama makazi yao - Naibu msemaji wa Umoja wa...
  19. JanguKamaJangu

    Haiti: Ndege yaanguka mtaa wenye watu wengi, yaua watu sita

    Ndege ndogo imeanguka katika mtaa wenye watu wengi katika Jiji la Nchini Port-au-Prince Nchini Haiti, jana Aprili 20, 2022 na kuua watu sita akiwemo rubani wa ndege hiyo. Ndege hiyo ilikuwa ikiruka kutoka Uwanja wa Ndege wa Port-au-Prince saa 9:44 Alasiri kuelekea katika Jiji lingine Nchini...
  20. Miss Zomboko

    Seneta wa zamani wa Haiti akamatwa Jamaica kwa mauaji ya Rais

    Polisi nchini Haiti imesema seneta wa zamani ambaye ni mshukiwa mkuu katika mauaji ya aliyekuwa rais wa nchi hiyo Jovenal Moise ametiwa mbaroni nchini Jamaica. Msemaji wa jeshi la polisi Gary Desrosiers [Derosieri] ameliambia shirika la habari la Associated Press kwamba John Joel Joseph yuko...
Back
Top Bottom