Dunia imejaa watu waongo

Dunia imejaa watu waongo

Mtu yuko zake hapa anavuta hewa ya bure ya MUNGU,

Akitoka anenda kula zake kitimoto wa MUNGU, anashushia na wine iliyotengezwa zabibu za MUNGU,

Kisha Anaenda kwa demu wake aliyeumbwa na MUNGU,

Anapiga zake kimoja kilichodizainiwa na MUNGU,

Anaenda zake kuoga na maji ya MUNGU,

Kisha analala kwenye godoro lake la kunesanesa lilotengezwa na mazao na vyuma vya MUNGU,

Akiamka full kuperuzi jf na vifaa vilivyotengenzwa na malighafi za MUNGU,

kupost kumdhihaki MUNGU.
Kwahiyo ukitomba Mungu amekupa nguvu 🤣
Ukibaka pia Mungu amekupa nguvu
Ukila tigo Mungu amekupa nguvu 🤣

Astaghfirullah 🤣
 
Binadamu huwa tunaishi kwa kulaumu kuwa tunapitia matatizo na changamoto nyingi.
Mpaka pale ambapo mtu apate changamoto ya kiafya au ajali ashindwe kusimama au kufanya kazi ndio anakumbuka kuwa yale yote yalikuwa sii matatizo, tatizo halisi ni hilo moja la ugonjwa.

Licha ya kupitia changamoto nyingi za kila aina zilizo nipiga kila kona ya maisha yangu huwa naanmini mungu yupo.
 
Unafeli sana jamaa wewe ndio yaliyokukuta ulipaswa kumwaga shuhuda humu nasi tupate kujifunza lakini unakuja na thread ya kulalamika bila kuonyesha source ya kulalamika kwako inakuwa haileti maana
Unafeli sana jamaa wewe ndio yaliyokukuta ulipaswa kumwaga shuhuda humu nasi tupate kujifunza lakini unakuja na thread ya kulalamika bila kuonyesha source ya kulalamika kwako inakuwa haileti maana
Kama kulalamika itanipa nafuu acha nilalamike tu
 
Kwahiyo ukitomba Mungu amekupa nguvu 🤣
Ukibaka pia Mungu amekupa nguvu
Ukila tigo Mungu amekupa nguvu 🤣

Astaghfirullah 🤣
Sijaongelea nguvu hapa!

Akili huna. Ni chuki tu kwa muumba wako.

Pole.

Go on hating him atajitenga nawe milele, halazimishi.

And pls Stop quoting me
 
I cannot tolerate you anymore honestly, pls stop quoting me.

MUNGU anataka kupendwa.

Kupendwa ni hiari.

Maadam umemkataa achana naye.

Sasa mtu umemkataa unapoteza muda kumjadili wa nini! !

Kwanini unapoteza muda kujadili kitu ambacho hakipo? ?
Mungu yeye si amekamilika? Anataka tumpende Ili apate faida Gani?
Au Mungu hajakamilika Kuna baadhi ya vitu anavitaka kutoka kwetu Ili akamilike?
Kumbe Mungu anatuhitaji Sana kuliko sisi tunavyomuhitaji
 
Mungu yeye si amekamilika? Anataka tumpende Ili apate faida Gani?
Au Mungu hajakamilika Kuna baadhi ya vitu anavitaka kutoka kwetu Ili akamilike?
Kumbe Mungu anatuhitaji Sana kuliko sisi tunavyomuhitaji
Hakuhitaji ni wewe na shobo zako.

Achana na MUNGU wetu.
 
Hakuhitaji ni wewe na shobo zako.

Achana na MUNGU wetu.
Sina shobo na Mungu kaka, naishi maisha yangu tu.
Sifanyi mambo ambayo yatawaumiza Binadamu wenzangu,
Natenda mema siyo Kwa kurarajia kulipwa na Mungu,
Mtu yeyote timamu atafanya mambo mema by nature tu mkuu, kama unasaidia binadamu wenzio Kwa kumhofia Mungu, bora usiwasaidie
 
Sina shobo na Mungu kaka, naishi maisha yangu tu.
Sifanyi mambo ambayo yatawaumiza Binadamu wenzangu,
Natenda mema siyo Kwa kurarajia kulipwa na Mungu,
Mtu yeyote timamu atafanya mambo mema by nature tu mkuu, kama unasaidia binadamu wenzio Kwa kumhofia Mungu, bora usiwasaidie
Utajijua na matendo yako, hayanihusu
 
Utachaguaje Sasa wakati ujazaliwa eti Kiranga huyu jamaa vipi unawezaje kichagya uzaliwe au usizaliwe wakati hujui HATA kama Kuna KITU kinaitwa ubongo.


Naamini mtoa MADA hajaelewa ila Kiranga namsubiri
Mimi nimemuelewa mtoa mada kaongea hoja ya kidhahania ya falsafa kubwa sana

Kwamba.

Ingekuwa maisha ni kama mkataba wa kazi, unapewa kuusoma na kuelewa hii kazi ina wajibu huu na huu, na mshahara huu, asingekubali kusaini mkataba ule na kukubali hiyo kazi.

Kwamba, kama maisha yangekuwa na option ya kukubali au kukataa kuzaliwa kabla mtu hajazaliwa, asingekubali kuzaliwa.

Kuna kitabu kizuri sana kinachambua haya mambo kifalsafa kinaitwa "The Human Predicament : A Candid Guide To Life's Biggest Problems" cha David Benatar, kinaongelea haya mambo kisomi sana.

Nilitaka kukiweka hapa, lakini nikaona bora nisikiweke, kitabu kina mambo mazito sana kinaweza kumfanya mtu ajiue na nisingependa kusababisha hilo.

Kimsingi mtoa mada yuko karibu sana na ukweli kwenye point zake zote, nilikuwa naipitia point moja baada ya nyingine, nikasema kuwa mimi nipo optimistic zaidi yake, lakini hilo linawezekana kuwa linatokana na privilege niliyoipata maishani na mchango wangu kwa watu.

Mfano, mwaka huu nimesomesha watoto wanne chuo. Hawa ni wa kwenye extended family tu hawana support. Nimemkopesha mtu tu nimekutana naye mitandaoni $2,000 kwa mwaka mzima bila riba na wala sina hakika kama atanirudishia. Vimizinga mizinga hivi vya $100 mpaka $500 ndiyo imekuwa kama kawaida. Sasa najiuliza, ningekataa kuzaliwa, hawa waja nani angewasaidia?

Wengine ukiwaambia huna kitu wanakwambia kabisa kuwa General you are the last man standing ukishindwa wewe huku tumeanguka vibaya sana.

So, it's like that movie "It's A Wonderful Life" kwangu mimi. Kama hujaiona itafute.

Kama alivyosema rais J.F Kennedy, mimi sijiulizi dunia itanifanyia nini, najiuliza mimi nitaifanyia nini dunia.

Najua waja wa dunia wana mengi, wengine hata kwenye birthday yako badala ya kukuuliza wakuoe zawadi gani ya birthday wataanza kukuuliza kioande chao cha keki ya birthday kiko wapi?

Ila mtoa maada namuelewa vizuri sana na hizi hoja zake nilizifikiria sana mpaka nikasoma hicho kitabu zimeandikwa kifalsafa zaidi. Mtoa mada kama kaandika kwa hisia raw, anaonekana kama ana hasira yu. Lakini ana hoja za kifalsafa nzito sana.

Nilitaka ku push back point yake ya mwisho namba 8 kuwa hawezi kuchukia kila kitu, kuna vitu atakuwa anavipenda tu. Yani hata hapa JF alipokuja kujieleza, hata kama kuna sehemu anapachukia, lakini hawezi kuchukia mpaka nafasi aliyopata kujieleza na kuona kumbe kuna Kiranga anayaelewa haya mawazo na kashayasoma yameandikwa na wasomi kifaksafa kabisa katika vitabu.

So niliona namba 8 kuna pushback fulani inawezekana kufanyika. Na hiyo oushback ndiyo inayoweza kutumika kuwa hooeful kuwa kuna sehemu ya maisha ambayo ni nzuri bado. Maisha ni bike unavyojipanga kuishi, maisha hayako hapa kukupendelea wewe.

So there is some pushback, especially kuanzia hapo namba 8. Lakini nikaona that is a value judgement statement na yeye ana haki ya kusema hivyo kama yeye.
 
Kwa joto la Dar halafu maji ya kuoga hakuna lazima stress zikumalize na kuanza kujiuliza idea nzima ya life ni nini 😁😂
Dah umenifanya nimecheka aisee tokea nibandike huu uzi 😄 🤣 😂
Mimi nimemuelewa mtoa mada kaongea hoja ya kidhahania ya falsafa kubwa sana

Kwamba.

Ingekuwa maisha ni kama mkataba wa kazi, unapewa kuusoma na kuelewa hii kazi ina wajibu huu na huu, na mshahara huu, asingekubali kusaini mkataba ule na kukubali hiyo kazi.

Kwamba, kama maisha yangekuwa na option ya kukubali au kukataa kuzaliwa kabla mtu hajazaliwa, asingekubali kuzaliwa.

Kuna kitabu kizuri sana kinachambua haya mambo kifalsafa kinaitwa "The Human Predicament : A Candid Guide To Life's Biggest Problems" cha David Benatar, kinaongelea haya mambo kisomi sana.

Nilitaka kukiweka hapa, lakini nikaona bora nisikiweke, kitabu kina mambo mazito sana kinaweza kumfanya mtu ajiue na nisingependa kusababisha hilo.

Kimsingi mtoa mada yuko karibu sana na ukweli kwenye point zake zote, nilikuwa naipitia point moja baada ya nyingine, nikasema kuwa mimi nipo optimistic zaidi yake, lakini hilo linawezekana kuwa linatokana na privilege niliyoipata maishani na mchango wangu kwa watu.

Mfano, mwaka huu nimesomesha watoto wanne chuo. Hawa ni wa kwenye extended family tu hawana support. Nimemkopesha mtu tu nimekutana naye mitandaoni $2,000 kwa mwaka mzima bila riba na wala sina hakika kama atanirudishia. Vimizinga mizinga hivi vya $100 mpaka $500 ndiyo imekuwa kama kawaida. Sasa najiuliza, ningekataa kuzaliwa, hawa waja nani angewasaidia?

Wengine ukiwaambia huna kitu wanakwambia kabisa kuwa General you are the last man standing ukishindwa wewe huku tumeanguka vibaya sana.

So, it's like that movie "It's A Wonderful Life" kwangu mimi. Kama hujaiona itafute.

Kama alivyosema rais J.F Kennedy, mimi sijiulizi dunia itanifanyia nini, najiuliza mimi nitaifanyia nini dunia.

Najua waja wa dunia wana mengi, wengine hata kwenye birthday yako badala ya kukuuliza wakuoe zawadi gani ya birthday wataanza kukuuliza kioande chao cha keki ya birthday kiko wapi?

Ila mtoa maada namuelewa vizuri sana na hizi hoja zake nilizifikiria sana mpaka nikasoma hicho kitabu zimeandikwa kifalsafa zaidi. Mtoa mada kama kaandika kwa hisia raw, anaonekana kama ana hasira yu. Lakini ana hoja za kifalsafa nzito sana.

Nilitaka ku push back point yake ya mwisho namba 8 kuwa hawezi kuchukia kila kitu, kuna vitu atakuwa anavipenda tu. Yani hata hapa JF alipokuja kujieleza, hata kama kuna sehemu anapachukia, lakini hawezi kuchukia mpaka nafasi aliyopata kujieleza na kuona kumbe kuna Kiranga anayaelewa haya mawazo na kashayasoma yameandikwa na wasomi kifaksafa kabisa katika vitabu.

So niliona namba 8 kuna pushback fulani inawezekana kufanyika. Na hiyo oushback ndiyo inayoweza kutumika kuwa hooeful kuwa kuna sehemu ya maisha ambayo ni nzuri bado. Maisha ni bike unavyojipanga kuishi, maisha hayako hapa kukupendelea wewe.

So there is some pushback, especially kuanzia hapo namba 8. Lakini nikaona that is a value judgement statement na yeye ana haki ya kusema hivyo kama yeye.
Mkuu asante kwa mda wako uliotumia kuandika hapa ,
1 nashukuru kunielewa
Kwenye hii dunia kupata mtu akakuelewa ni kazi sana
2 nimepata kitu kwa comment yako
3 ombi naweza kuja PM?
 
Sina shobo na Mungu kaka, naishi maisha yangu tu.
Sifanyi mambo ambayo yatawaumiza Binadamu wenzangu,
Natenda mema siyo Kwa kurarajia kulipwa na Mungu,
Mtu yeyote timamu atafanya mambo mema by nature tu mkuu, kama unasaidia binadamu wenzio Kwa kumhofia Mungu, bora usiwasaidie
Umejuaje unatenda mema mkuu?
 
Dah umenifanya nimecheka aisee tokea nibandike huu uzi 😄 🤣 😂
Mkuu asante kwa mda wako uliotumia kuandika hapa ,
1 nashukuru kunielewa
Kwenye hii dunia kupata mtu akakuelewa ni kazi sana
2 nimepata kitu kwa comment yako
3 ombi naweza kuja PM?
Karibu sana PM. Hizi falsafa kubwa nyingine ukiziweka hapa public watu wanaweza kujiua ikawa tatizo.
 
Umejuaje unatenda mema mkuu?
Ukimpa mtu chakula Hilo siyo jambo jema?
Au ukimchoma mtu kisu Hilo siyo jambo baya?
Au bila dini na Mungu usingejua kwamba kuua ni jambo baya?
 
Maisha kabla ya ukoloni ndo yalikuwa maisha bora. UONGO.

Wahadzabe wanaokula kinyesi ndo wana maisha bora?

Ukeketaji.
Kuua mapacha.

Kuua mke baada ya mume kufa (kama India huko)

Kuua albino.
Kuua wenye ulemavu wa viungo.

Kuzika watu wakiwa hai wamsindikize chifu aliyekufa.

Kafara za watoto wachanga kwa miungu.
Unajua hata hao wakoloni walikuwa wanatoa kafara mabinti zao?
Au kisa wamekuletea Biblia unaona wao Historia zao ni safi?

Wana history zao za ajabu pengine labda kuzidi hata sisi, baada ya kuona hazina maana wakaziacha.
 
Mimi nimemuelewa mtoa mada kaongea hoja ya kidhahania ya falsafa kubwa sana

Kwamba.

Ingekuwa maisha ni kama mkataba wa kazi, unapewa kuusoma na kuelewa hii kazi ina wajibu huu na huu, na mshahara huu, asingekubali kusaini mkataba ule na kukubali hiyo kazi.

Kwamba, kama maisha yangekuwa na option ya kukubali au kukataa kuzaliwa kabla mtu hajazaliwa, asingekubali kuzaliwa.

Kuna kitabu kizuri sana kinachambua haya mambo kifalsafa kinaitwa "The Human Predicament : A Candid Guide To Life's Biggest Problems" cha David Benatar, kinaongelea haya mambo kisomi sana.

Nilitaka kukiweka hapa, lakini nikaona bora nisikiweke, kitabu kina mambo mazito sana kinaweza kumfanya mtu ajiue na nisingependa kusababisha hilo.

Kimsingi mtoa mada yuko karibu sana na ukweli kwenye point zake zote, nilikuwa naipitia point moja baada ya nyingine, nikasema kuwa mimi nipo optimistic zaidi yake, lakini hilo linawezekana kuwa linatokana na privilege niliyoipata maishani na mchango wangu kwa watu.

Mfano, mwaka huu nimesomesha watoto wanne chuo. Hawa ni wa kwenye extended family tu hawana support. Nimemkopesha mtu tu nimekutana naye mitandaoni $2,000 kwa mwaka mzima bila riba na wala sina hakika kama atanirudishia. Vimizinga mizinga hivi vya $100 mpaka $500 ndiyo imekuwa kama kawaida. Sasa najiuliza, ningekataa kuzaliwa, hawa waja nani angewasaidia?

Wengine ukiwaambia huna kitu wanakwambia kabisa kuwa General you are the last man standing ukishindwa wewe huku tumeanguka vibaya sana.

So, it's like that movie "It's A Wonderful Life" kwangu mimi. Kama hujaiona itafute.

Kama alivyosema rais J.F Kennedy, mimi sijiulizi dunia itanifanyia nini, najiuliza mimi nitaifanyia nini dunia.

Najua waja wa dunia wana mengi, wengine hata kwenye birthday yako badala ya kukuuliza wakuoe zawadi gani ya birthday wataanza kukuuliza kioande chao cha keki ya birthday kiko wapi?

Ila mtoa maada namuelewa vizuri sana na hizi hoja zake nilizifikiria sana mpaka nikasoma hicho kitabu zimeandikwa kifalsafa zaidi. Mtoa mada kama kaandika kwa hisia raw, anaonekana kama ana hasira yu. Lakini ana hoja za kifalsafa nzito sana.

Nilitaka ku push back point yake ya mwisho namba 8 kuwa hawezi kuchukia kila kitu, kuna vitu atakuwa anavipenda tu. Yani hata hapa JF alipokuja kujieleza, hata kama kuna sehemu anapachukia, lakini hawezi kuchukia mpaka nafasi aliyopata kujieleza na kuona kumbe kuna Kiranga anayaelewa haya mawazo na kashayasoma yameandikwa na wasomi kifaksafa kabisa katika vitabu.

So niliona namba 8 kuna pushback fulani inawezekana kufanyika. Na hiyo oushback ndiyo inayoweza kutumika kuwa hooeful kuwa kuna sehemu ya maisha ambayo ni nzuri bado. Maisha ni bike unavyojipanga kuishi, maisha hayako hapa kukupendelea wewe.

So there is some pushback, especially kuanzia hapo namba 8. Lakini nikaona that is a value judgement statement na yeye ana haki ya kusema hivyo kama yeye.
Anaepewa makataba ni MTU anayejitamhua Sasa hapo hujitambui SABABU KATIKA mkitadha huo MTU huyo anachaguaje wakati HATA ubongo wake huelewi chcchote.

YAANI unaanzaje kuchagua ukiwa wapi?
 
Anaepewa makataba ni MTU anayejitamhua Sasa hapo hujitambui SABABU KATIKA mkitadha huo MTU huyo anachaguaje wakati HATA ubongo wake huelewi chcchote.

YAANI unaanzaje kuchagua ukiwa wapi?
Hujaelewa neno kidhahania, abstract.

Kufikiri nje ya box la kilichopo na kuweka dunia ambayo ingewezekana kuwapo.

Kwamba, dunia ingekuwa unapata nafasi ya kuchagua uzaliwe au usizaliwe, kabla ya kuzaliwa, mtoa mada asingechagua kuzaliwa.

Sasa mbona unalazimisha kufikiri ndani ya box la dunia iliyopo wakati ushaambiwa kuwa hii ni hoja ya kidhahania, abstract, ya kuangalia dunia ambayo ingewezekana kuwapo ambayo ni tofauti na hii?

Huelewi abstract thinking ni nini?
 
Back
Top Bottom