Registered_jf
JF-Expert Member
- Nov 27, 2024
- 920
- 1,454
HULAZIMISHWI.Kwahiyo Mungu ana watu wake š¤£
Hata wewe unaweza kuwa wake.
HULAZIMISHWI.Kwahiyo Mungu ana watu wake š¤£
Tunaomba huo uthibitisho mkuu na sisi tujionee Kwa macho yetu!Mungu yupo aisee amini nakuambia hilo nimelithibitisha kabisaa.
Kwahiyo Mungu ni mbaguzi 𤣠Kwanini awe na watu wake š¤£Umesema Mungu yupo na ana watu wake hii nimeinzingatia sana
Elimu ulikuwepo kabla ya ukoloni kaka Afrika.Education in Africa is scam
Religions systems is scam
Politics Motherfucker is scam
Marriage system is scam too
Yale MAISHA kabla ya ukoloni ndo yalikuwa maisha bora
Kulikuwa hakuna dini
Hakuna education system
Hakuna siasa za kijinga
N.k
ššš hakika mkuuElimu ulikuwepo kabla ya ukoloni kaka Afrika.
Sema mifumo ya Elimu ya Sasa Afrika haitukomboi kwenye Ujinga / Umasikini.
Ila naunga mkono hoja ysko
Kwanini Mungu anatoa vitisho kwamba atachoma moto ambao hawatakuwa Upande wake?HULAZIMISHWI.
Hata wewe unaweza kuwa wake.
Kwanini Mungu anatoa vitisho kwamba atachoma moto ambao hawatakuwa Upande wake? Kwanini atulazimishe tuwe wake wakati Hana msaada kwenye maisha yetu? Sina hata shida ya kuwa mtu wake, nikiwa mtu wa watu inatosha kabisa.
Kwanini Mungu aruhusu mbaya yatokee kwenye Dunia yake?Sasa anatoa vitisho au anakutaarifu?
Kwani hii dunia ya nani?
Mwenye dunia yake kasema ambaye hataki kufuata sheria zake: kumpenda MUNGU mwenyewe na kupenda wenzio kama unavyojipenda ataondolewa.
Hiyo ni taarifa sio kitisho.
Pia lazima ulipe yote uliyofanya, sio unakuja duniani unakuta vitu vizuri vizuri, unaviharibu tu.
Unakuta binti za MUNGU kawaumba wamtumikie wewe unawageuza dampo la uchafu wako, halafu unataka uachwe burebure.
Unakuja duniani kuvurugavuruga tu na kutesa tu watu, Kukosesha haki za watu, kuonea watu, kuumiza watu.
UTALIPA. BY FIRE YOU WILL PAY.
Only that MUNGU wetu ni mwenye Rehema na ameshalipa kwa ajili yako ili uishi milele, kwa DAMU YA YESU utaishi.
Sijajua unataka msaada gani, usikute unataka mahela wakati kwenye Ufalme wa MUNGU hamna hela, mahela yote yatakuja kupigwa kiberiti, so wewe kuhisi hakusaidii ni kukosa hekima / akili.
MUNGU halazimishi mtu, huoni waovu wanavyopeta, ndo wanaongoza kufanikiwa humu duniani na MUNGU kawaacha!
We kama umeamua kumkataa haya, hao watu unaoona wana maana hawalingani kwa vyovyote kwa utukufu na yule aliyewaumba. Ni sawa na kuona robot ana akili kuliko bindamu aliyem program. Ukosefu wa hekima.
Kwenye amri za MUNGU umevunja ngapi na kwanini MUNGU alikuacha ulipozivunja? Kwanini hakukufyekela mbali?Kwanini Mungu aruhusu mbaya yatokee kwenye Dunia yake?
Yeye si mwenye uwezo wote na nguvu zote?
Kwanini akubali na aruhusu ushenzi utokee kwenye himaya yake?
Au Hana uwezo wote? Au
Hana Upendo na Nguvu zote kuzuia mabaya?
Duniani tunaishi Kwa kutegemeana sisi Kwa sisi, Kwa ufupi tunaishi Kwa kutegemea msaada wa mazingira.
Hakuna Mungu kwamba Yuko sehemu Fulani analinda Dunia na vitu vilivyomo.
Ukiwa mgonjwa, ukakosa matibabu ya madaktari au wataalamu wa afya, kinga zako zikawa dhaifu kupambana na ugomjwa wako, utakufa, Mungu hawezi kuja kukusaidia hata kukusogezea glasi ya maji.
Amri za Mungu? Ni zipi hizo mkuu?Kwenye amri za MUNGU umevunja ngapi na kwanini MUNGU alikuacha ulipozivunja? Kwanini hakukufyekela mbali?
Kwani Wewe uovu unaolalamikia hapa kuwa MUNGU kauachilia ni upi?Amri za Mungu? Ni zipi hizo mkuu?
Sijui unaongelea kina nani Sisi huku tumeambiwa tusiue..
Unamuua binadamu mwenzio huku unasema Mungu ndiyo kasema.
Ujinga mtupu
Wewe mwenyewe AIMungu hawezi kunifanya chochote mkuu, Mungu siyo kitu halisi.