Registered_jf
JF-Expert Member
- Nov 27, 2024
- 920
- 1,460
MUNGU amekataza kutoa binadamu kafara.
" Wamejenga mahali pa juu pa kuabudia pa Baali ili kuteketeza wana wao katika moto kuwa sadaka kwa Baali, kitu ambacho sikukiamuru wala kukitaja, wala hakikuingia akilini mwangu. "
Yeremia.19.5.NENO
" Wamejenga mahali pa juu pa kuabudia pa Baali ili kuteketeza wana wao katika moto kuwa sadaka kwa Baali, kitu ambacho sikukiamuru wala kukitaja, wala hakikuingia akilini mwangu. "
Yeremia.19.5.NENO